Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

so lisu wanna be the New Nyerere and you fools here are surpoting him?Hawa wakina Lisu nawafananisha na WaLibya waliokua against na Gadaf kisa uloho wa madaraka
 
Mkuu, nani amesema hapa kuwa Mwl. Nyerere hakuwa mwanadamu?.

Tukubaliane tu kuwa, Mh. Tundu Lissu amepasua jipu ambalo wengi waliogopa na wanaendelea kuogopa kulipasua. Kwa lugha inayoeleweka na wengi, amemchana chana Mwl. Nyerere na pamoja na kitabu chake cha Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania.

We jamaa Ni liCCM moja chochezi Sana, uspin maneno kwa headline ya kumchonganisha Tundu Lissu ka hoja alizotoa ambazo ni kweli tupu. Then unajifanya unakuja ghilba za kuuma na kupuliza. Acheni njaa vijana, hii nchi ina fursa nyingi sana, unaweza kuishi hata kwa kufuga samaki Tu badala ya kuwa fagio la wanasiasa.
 
Ntazitafuta post zako za kumponda FaizaFoxy kila alipokuwa akiyasema hayo aliyoyasema Lissu jana na mengine. Nyerere niliwahi kusema humhumu JF ni ndumila kuwili.

Nyerere kuhusu Muungano wa Zanzibar alifata maelekezo ya Kanisa. Ngoja na Tundu Lissu aitwe na Kanisa muone kama hajabadilika, mtakuja kunambia humuhumu JF.

Kama leo mnavyodiriki kukubali maneno ya FaizaFoxy kwa kuwa tu yametoka kinywani mwa Tundu, basi iko siku mtayakubali na haya ya shinikizo la Kanisa. Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.

Sijui niikuite dada, mama au bibi yangu anyway wote tunakubali kuwa Nyerere anamakosa na mapungufu yake kama mwanadamu. Lakini kwa hii shutuma ya lissu kwenye bmk, wewe na lissu wako mmekosa hekima. Kwa nini nasema hivyo?

Nyerere alitoa angalizo kuwa hatawalazimisha waznz muungano kama wataudai uvunjike wao wenyewe sio kutumiwa na watu kutoka nje. Hapo ndipo hekima na hoja ya Nyerere ilipo jikita.

Sasa wewe na lissu wako mlisha jiuliza na kujiridhisha kuwa je, Jumbe na wenzake wengi hawakuwa wanatumiwa na watu kutoka nje?

Tangu Nyerere auachie urais wameshakuja marais watatu wa jmt na wawili kati ya hao wa dini yetu. Je wamemfanyia nini jumbe pale mji mwema au nao ni waongo kama Nyerere. Acheni hizo bwana lissu kwa hili kakosa hekima.
 
Hawa wanasiasa waachane na Mwalimu Nyerere,kama katiba mpya imewashinda si wauvunje huu muungano,kila kitu Nyerere!ina maana Nyerere ndo pekee aliupenda muungano?waache siasa za kinafiki,hakuna mtakatifu kuliko Nyerere.
Unaweza kuujadili muungano bila ya nyerere?
 
Unapotosha. Kwanza, maneno hayo hayakusemwa kwa Mwalimu Nyerere. Pili, maneno " haramu na halali" yalifutwa hivyo huwezi kuyapata kwenye hansard.
Nani anapotosha?. Mimi au Mh. Lissu?.

Maneno kutokuwekwa kwenye hansard haina maana kuwa wananchi hawakuyasikia yale aliyoyasema na baadaye akayarudia kwa lugha nyingine ambayo maana yake ni sawa na maneno aliyoyasema.
 
Mkuu, ninashukuru kwa kunisaidia kwa sababu kuna wengine hawawezi hata kujenga hoja ndani ya hoja. Kama baadhi ya watu wanashindwa kuelewa hata mantiki iliyowazi. Sishangai kuona suala la katiba kwa kiwango kikubwa limekuwa ni suala la vyama vya siasa pekee huku kundi kubwa la watu likikubali kila kile kinachofanywa na viongozi wao wa kisiasa ndani ya bunge Maalum.

leo nimebanwa kidogo namajukum isipokuwa nataka ufaham kwamba

-Lisu hakuongea kwa mafumbo bali waziwazi na kwa ufasaha akiwalenga ccm na wasomi wake kwa kupotosha nakuishi kwa ujanja ujanja.

S. sita alimueleza wazi usianze kuhukum kwani tumekuja pamoja na huu hautakuwa mjadala

1. Alirusha maneno hayo moja kwa moja kwa kuwalenga shivj na mwakyembe na ccm kwa ujumla wake sio hakusingle out-Nyerere nakusoma rejea ya maandishi yao najinsi walivyokanusha na kubadilika kimshangao.

2. Nikatika rejea zake alimnukuu Nyerere kwa jicho la zanzibar ni serkali 3 kwa Tanzania bara ni serikali moja, kwa maana ya hawa wanaolazimisha serikali mbili wanapotosha kwa mujibu wa Lisu

3. Kila jambo na wakati wake nakwamba siku za uhai wake Nyerere alisema endapo itafaa kufanya marekebisho katika muungano nisuala la wanachi kufanya maamuzi hayo.

4.Hata hivyo kulingana na wakati, mazingira, na uhitaji wa watu inawezekana kwa wakati ule ilikuwa sahihi kabisa kuiatamia Zanzibar kwa kila mbinu mpaka pale mambo mazuri yatakapowadia kama ilivyo sasa kwamba imeimarika na nibusara ikajiendesha kwa faida na maslahi ya wazanzibar

5. Nikwa ukweli kwamba Nyerere alikuwaflexible na alikubaliana na mambo kugeuka kadri ya mahitaji
Mfano
-vyama vingi
-uvunjaji azimio la arusha, japo ilimuudhi sana na ukweli unaonekana jinsi maadili na ufisadi ulivyotamalaki

Hivyobasi pamoja nakumhusisha lisu na kauli ile nivema kutafakali kwa ujumla wake

A) niwatugan ambao wanabisha serkali tatu kwa hoja za uwongo pale mjengon?

B) Ieleweke Nyerere hayupo pale kupotosha ninani anayeambiwa anaishi kwa uwongo, amezoea vya kunyonga na hawezi kubali vya halali? (Pale kwenye mjadala)

C) Lisu aliposema ukweli huo unajidhilisha na mzozo wa kusoma maoni ya wachache, ccm waling'ang'ania, sasa yanawatokea puani walidhani kilajambo nikudanganya hapa bado alithibisha waongo alowakusudia ni ccm.

Pamoja nahayo yote, mapungufu yaliyojitokeza na kubanishwa huu ndiyo wakati wake kuyarekebisha, kwanini waongo na wasiotaka halali wasiwe ccm kwa ujumla wao kwa kupinga hoja zenyemashiko kwa rejea za uwongo, kulazimisha na kupindisha ukweli?

Kudokwa jina moja kwamba Lisu amwita Nyerere.... Niupotoshaji wa maana halisi ya hoja za Lisu kwa maana amelenga kundi la watu sio mtu ndiyo sababu ya kuwanyoshea kidole akina mwakyembe, shivji nk.

Narudia unajaribu kucheza na akili za wengi kumchonganisha Lisu ilikukidhi malengo yako, maana ww na ccm wenzako mmeumizwa vibaya na vyakutosha na hoja za Lisu nakwasababu ww ni ccm sifa zote unazo
-muwongo
-hujazoea vyakuchinja, Lisu amechinja
-unaishi kwa mazoea, hupendi mtu kuibuka na kupewa sifa nje ya ccm
-nauendekeza majungu

Kwasababu ndugu u-ccm sikushangai, pole mkuu ninamajukum muhim kwasasa endelea na propaganda za kiccm,
 
Bange bange bangeee...zimesababisha uropokee bange bange bangee zita.....
 
Mkuu huyu FaizaFoxy ni mdini balaa! Yaani kamwona Pengo tu; Mufti kwake sio issue. Sometimes huyu ni wa kupuuza tu.

Faiza na kundi lake akina Ritz wanamdharau sana Sheikh Simba kwa kuwa anatokea Shinyanga. Hawajawahi kumuona kama Mufti wao toka aondoke Sheikh Hemed Bin Jamaa mtu wa pwani mwenzao.
 
Last edited by a moderator:
adui wa nyerere mzee mtei atakuwa alimtuma tundu lisu amtukane nyerere

Tundu lisu hapaswi kufanya hvyo kuomba msamaha,Nyerere ni kweli kuna mabaya kayafanya na yapo mazur,ila kwa ujumla aliongoza nch kwa ukandamizaji.aliongoza ktk kundi la watu wenye elimu ya kawaida.
 
Punguza udini utaeleweka. Lissu hajachambua mambo kidini bali kisiasa na ameeleweka vizuri sana. Sasa wewe na makuwadi wenzio mnapoanza kutuletea habari za Kariakoo na misikitini hamueleweki. Mnafiki mkubwa wewe.

Hivi kwani Tundu Lissu kaanza kumshutumu Nyerere Leo kama mtakumbuka huyu huyu Tundu Lissu alisha wahi kumuita Nyerere Dikteta na wala hajakosea Nyerere alikuwa fatani sana.
 
Wewe punguani kweli tafsiri yako ya udini mtu akiwa Muislam mambo ya Msikiti yameingiaje hapa kama siyo unafiki, kwako uwa hakuna Mkirsto mdini wadini wote ni Waislam.

Ritz huyu dudus ni mwehu hana akili na kama anazo ni za kuvuka barabara ili asigongwe na gari.
 
Mimi huwa nadhani wanasheria ni watu wazuri sana katika uwanja wa siasa hasa ukiangalia kwa kutumia darubini katika siasa za nchi za magharibi utakuta kuwa, viongozi wengi wa nchi hizo ni wanasheria na wamefanikiwa/wanafanikiwa katika siasa zao.

Kama hoja yako ni kweli, kwa nini inakuwa tofauti kwa Mh. Tundu Lissu?.

Unadhani wanafanikiwa sababu tu ni wanasheria????!!!
 
Faiza na kundi lake akina Ritz wanamdharau sana Sheikh Simba kwa kuwa anatokea Shinyanga. Hawajawahi kumuona kama Mufti wao toka aondoke Sheikh Hemed Bin Jamaa mtu wa pwani mwenzao.
Usitake kutugawa Waislamu kwa Ubara na Upwani hatuna kitu kama hicho.

Sisi si kama Mkatoliki nyerere aliyemshughulikia Kolimba kwa sababu tu si Mkristo mkatoliki.
 
Faiza na kundi lake akina Ritz wanamdharau sana Sheikh Simba kwa kuwa anatokea Shinyanga. Hawajawahi kumuona kama Mufti wao toka aondoke Sheikh Hemed Bin Jamaa mtu wa pwani mwenzao.
Siyo kweli umeamua kutuwekea maneno kwenye midomoni mwetu.

Kwa kukusaidia tu ufahamu Waislam hawapo chini ya Bakwata.

Bakwata iliundwa na Nyerere kwa kazi maalum.
 
so lisu wanna be the New Nyerere and you fools here are surpoting him?Hawa wakina Lisu nawafananisha na WaLibya waliokua against na Gadaf kisa uloho wa madaraka

Godmanhustler, Verry true, Huyu Lisu anatumiwa na watu wenye maelekezo toka nje ya nchi kuisambaratisha TZ, hafai kabisa! Halafu lilivyokua jinga linadhani ni sifa kuuponda na kuusambaratisha muungano, ile dhambi ya ubaguzi itaendelea kuwatafuna cdm.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom