Lucas Ndyamkama
New Member
- Mar 25, 2014
- 2
- 1
Tundu Lissu amejenga hoja lakini ni Kwanini katika ujengaji hoja wake unaangazia tu upande mmoja tu wa mabaya aliyoyafanya Mwalimu, Watanzania Mimi naamini Mwalimu kama binadamu wengine alikosea mambo kadha wa kadha. Lakini vile vile amefanya mazuri mengi sana ambao hata Tundu leo hii anafurahia matunda yake. Kumuita Mwalimu ni muhuni na muongo nikuishiwa hoja na kukosa busara.