Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 5,168
- 1,549
neno uongo si tusi..
hayo mengine ni misemo ambayo hata kwenye kanga ipo..so hakuna cha ajabu..
mnatafuta huruma ya umma tu hakuna chochote
We unaweza kumwambia mzazi wako, kwamba amezowea vya "Haramu vya halali haviwezi" na pia "amezowea vya kunyonga na vya kuchinja haviwezi", na "Amezowea kuishi kwa uongouongo na hawezi kuishi katika kweli"! We binafsi unaweza kumwambia hivyo Mzazi wako?