Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Maisha ya Tundu Lissu yamejaa majaribu makubwa na vizingiti vingi anavyowekewa na wasiomtakia mema ikiwepo system.
Mfano,
Walidhani watamshinda kwa hoja bungeni ikashindikana.
Walidhani watamshinda mahakamani kwa makesi ikashindikana.
Wakaona wamuuwe Mungu akakataa ikashindikana.
Wakasema hatarudi nchini amerudi.
Wakasema atakamatwa akitua airport hajakamatwa.
Wakasema hatachaguliwa na chama chake akachaguliwa.
Wakasema hatapewa fomu kwavile Ana kesi mahakamani kapewa fomu.
Na Sasa wanasema hatashinda tumuachie mungu muda utaamua.
Kiufupi maisha ya tundu lisu yanatupa somo kubwa Sana kwenye maisha.
Mfano,
Walidhani watamshinda kwa hoja bungeni ikashindikana.
Walidhani watamshinda mahakamani kwa makesi ikashindikana.
Wakaona wamuuwe Mungu akakataa ikashindikana.
Wakasema hatarudi nchini amerudi.
Wakasema atakamatwa akitua airport hajakamatwa.
Wakasema hatachaguliwa na chama chake akachaguliwa.
Wakasema hatapewa fomu kwavile Ana kesi mahakamani kapewa fomu.
Na Sasa wanasema hatashinda tumuachie mungu muda utaamua.
Kiufupi maisha ya tundu lisu yanatupa somo kubwa Sana kwenye maisha.