Na hili la Corona litawapa shida sana wakati wa kampeni. maana mmedhihirisha nyie hamuamini Mungu ni muweza wa yote
Vipi tena, umeanza matusiHivi hapa ulikuwa unadoea sembe kwa mama nitilie? View attachment 1511279
Lissu si ni mzimu jamani au ni mtu? hivi yuko Singida kwao au kuzimu? au mimi ndo sielewi? wazungu wabaya mno wameharibu my mind!! binafsi nachukizwa sana na kujazwa habari zake wakati hayupo bongo na wala haji huku kulala segerea panapomsubiri!! na akiwa huko jela wasiojulikana watamaliza kazi yao!!huku uzunguni hakuna biashara ya kupoteza muda kuzungumzia kivuli cha mzimu kama Lissu!Nyalandu asome alana za nyakati na kisha amuachie Lissu.
Lissu anaweza kuliko Jpm, Nyarandu and Membe all combined.Najaribu kuimagine Rais Nyalandu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Kuna wakati alikuwa kwenye wanted list ya FBI baada ya makosa aliyofanya huko Iowa; shukrani sana kwa Mkapa na Kikwete, waliyamaliza!
Pamoja na kuwa Tundu Lissu ni mropokaji sana, ana akili zaidi ya Nyalandu. Linapokuja swala linalohitaji uchambuzi, Lissu anaweza kulikabili vizuri kuliko Nyalandu
Umeongea point. Chama makini hakiwezi kukaribishwa na CCM yaani Malaika na majini wakae pamoja?? Never!Chama cha upinzani kilichobaki tz niCDM tu. NYU gibe zote ni udanganyifu. Ndiyo maana Ccr na Aztec zilikaribishwa ikulu ila chama kuu likaachwa. Ajabu what was the message kwa wapiga kura ? Kwamba hizi ni ccm b????
Wewe unapiga kura??Lisu anajisumbua bure tu, hapitishwi kwenye chama.
Lissu ni noma saana kama wamedhamini kivuli je akirudi itakuwaje??Kampeini ya nini kwa Lissu? Lissu akirudi hapa tayari ni kampeini tosha yeye anasubiri kuapishwa tu
Jibu swali kwani kula kwa mama ntilie ni matusi, si unapromote wanyonge??Vipi tena, umeanza matusi
Muislamu safi hujenga hoja.
Mimi siyo praise timu, naandika reality.Jibu swali kwani kula kwa mama ntilie ni matusi, si unapromote wanyonge??
Halafu siku hizi vipi umejoin Lumumba praise team??
Au unajifagilia Uras/ Uded kama Hassani Ngoma??
Tundu Lissu anawania u-Rais wa UbelgijiHawa hapa
View attachment 1511129
Mwingine huyu hapa anaitwa Jumbe ni mwakilishi wa Tundu Lissu
View attachment 1511132
Kazi iliyobaki ni kwa Vikao vya chama kukamilisha mchakato .
Mungu ibariki Chadema
Unasema sio praise team na unafanya praising hapa. Tutolee uchafu wako hapa. Kwani Omar Al bashir hakusambaza wanajeshi nchi nzima Sudan??? Mwisho wake ulikuwaje??? Kwani Muthalika juzi hakusambaza Askari hapo Malawi??? Mwisho wale ulikuwaje???Mimi siyo praise timu, naandika reality.
Hakuna ushindi kwa vyama vya upinzani kama hakuna tume huru. JKT ndiyo watasambazwa nchi nzima kusimamia kura. 90% plus inatafutwa. ushindi wa kishindo. ingawa hata uchaguzi ukifanyika halali kabisa bado anashinda ila siyo kwa kishindo.
Lengo la CCM ni ushindi wa kishindo
Praise timu inategemea unaimbia wapi, hata wewe huko uliko ni praise timu ya huko. kwa hiyo wote ni praise timu tunaoimbia timu tofauti.Unasema sio praise team na unafanya praising hapa. Tutolee uchafu wako hapa. Kwani Omar Al bashir hakusambaza wanajeshi nchi nzima Sudan??? Mwisho wake ulikuwaje??? Kwani Muthalika juzi hakusambaza Askari hapo Malawi??? Mwisho wale ulikuwaje???
Hakuna jiwe litabaki mwaka huu October. Hata muibe kura kiasi gani ila nguvu ya umma inaenda kukataa udhalimu wenu mwaka huu. Amini nakwambia Lissu anaingia Ikulu hapo October 2020.
Endeleeni tu kusema mazingira ya Sudan na Malawi ni tofauti wakati saivi mmeanza kutangaza mchana kweupe tena waziwazi kuwa mtadeal na watu wasiowaunga mkono no matter wako wapi.Praise timu inategemea unaimbia wapi, hata wewe huko uliko ni praise timu ya huko. kwa hiyo wote ni praise timu tunaoimbia timu tofauti.
Au wewe hujioni kama ni praise timu ya upande mwingine?
Mazingira ya Sudani na Malawi ni tofauti sana, na ukiendelea kulinganisha hivyo, utasubiri sana hapa Tanzania. Tusubiri Octoba ndiyo utajua Tanzania ni sawa na Sudani na hiyo Malawi au hapana.
Ni siasa siasani....kunywa coke urelax. Mwaka wa vituko huuMbona suala la Tundu Lissu linaendeshwa kisanii Sana.
Ni mgombea kweli ama tunajazana upepo tu.
Kuna watu wakiiona hii picha tayari boxer zimeshalowa..
Bora kuharibu kura kuliko kumpigia mtu tofauti na Lisu TunduIkiwa chama kitampa ridhaa