MASHANJARA
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 379
- 500
Lissu ni mtu kazaliwa tu mbishi na mbinafsi. Sasa makamanda ndio mkatafsiri ni mpinzani tangu kuzaliwa. Mumeona katika orodha ya madai kwa rais wa jamhuri karibu yote ni kuhusuu maslahi yake binafsi.Na Mwal. Maziku, Singida
Makamanda salaam!
Waswahili wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Kitendo cha kiongozi wa CHADEMA Ndugu Lissu kutanguliza maombi binafsi kwa Rais ni usaliti mkubwa usio kubarika. Kwa hakika mtu huyu hakustahili kupewa majukumu ya umakamu Mwenyekiti kwani ameonyesha dhamira yake si njema, baadhi ya maombi ni pamoja na ;
1. KUOMBA KULIPWA MISHAHARA YA KIBUNGE, POSHO, NA MALUPULUPU YOTE- Kwa akili ya kawaida huwezi kupinga mtu kudai maslahi yake lakin hoja yangu ni kwanini aweke jambo hili kama kipaumbele akijua fika mahitaji ya chama? Unakumbuka msimamo wetu juu ya posho?
2. ATAFUTIWE PASSPORT YA KUSAFIRIA BAADA YA KUPOTEZA YA AWALI- Kiongozi wa chama cha Upinzani unakutana na Rais unaanza na hoja ya pasi ya kusafiria ? tena uliyoipoteza kwa uzembe ? Yani tabia za kina John Mrema kwenda kulewa pale Triple Seven ndio unaanza kuzionyesha wazi wazi? Ulipoteza vipi ile ya awali?
3. APATIWE ULINZI BINAFSI NA WASAIDIZI WA KUTEMBEA NAO- Hivi kaka Tundu Lissu umekuaje wewe? Umepata fursa ya kipekee kuzungumza na Rais unaweka hili kama kipaumbele? Hili lilipaswa kuwa nje ya majadiliano kaka, aisee aibu naona mimi. Tumbo Tumbo Tumbo!
4. WABUNGE 19 - VITI MAALUM WAONDOLEWE BILA KUFUATA KANUNI- Hili liko wazi wabunge waondelewe baada ya Baraza kuu kukutana na sio kufanya uhuni kutokana na wivu dhidi ya Halima na wenzie. Kaka Lissu wewe hujui kwanini mpaka sasa baraza halijakaa? Umetuangusha sana TL sheria haiko hivyo!
Kama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo tusipopata viongozi wazuri huyu Lissu na wenzie wanaojijali wao tu na matumbo yao wataua chama hiki. Sasa nimeelewa kwanini Kamanda Mbowe hataki kumpa mtu mwingine kiti, wengi wabinafsi na Tundu Lissu ni mmoja wao.
Na hawa wapinzani wa JF kama vile misukule haionagi mabaya ya viongozi waoLissu ni mtu kazaliwa tu mbishi na mbinafsi. Sasa makamanda ndio mkatafsiri ni mpinzani tangu kuzaliwa. Mumeona katika orodha ya madai kwa rais wa jamhuri karibu yote ni kuhusuu maslahi yake binafsi.
Utasikia posho zangu, mshahara wangu, passport yangu, ulinzi wangu. Etc 😂... eti ndio mtu kuna wapinzani mnamfananisha na mandela? Sikuwahi kusikia mandela akidai kitu binafsi ila kua tayari kuteseka kwa kudai haki. Sio huyu mtu mlak mbinafsi na muoga kama kunguru. 😂
Ulitaka ampe zitto,kubenea,nasari,waitara na wasaliti wengine ili ccm walambwe miguu?Na Mwal. Maziku, Singida
Makamanda salaam!
Waswahili wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Kitendo cha kiongozi wa CHADEMA Ndugu Lissu kutanguliza maombi binafsi kwa Rais ni usaliti mkubwa usio kubarika. Kwa hakika mtu huyu hakustahili kupewa majukumu ya umakamu Mwenyekiti kwani ameonyesha dhamira yake si njema, baadhi ya maombi ni pamoja na ;
1. KUOMBA KULIPWA MISHAHARA YA KIBUNGE, POSHO, NA MALUPULUPU YOTE- Kwa akili ya kawaida huwezi kupinga mtu kudai maslahi yake lakin hoja yangu ni kwanini aweke jambo hili kama kipaumbele akijua fika mahitaji ya chama? Unakumbuka msimamo wetu juu ya posho?
2. ATAFUTIWE PASSPORT YA KUSAFIRIA BAADA YA KUPOTEZA YA AWALI- Kiongozi wa chama cha Upinzani unakutana na Rais unaanza na hoja ya pasi ya kusafiria ? tena uliyoipoteza kwa uzembe ? Yani tabia za kina John Mrema kwenda kulewa pale Triple Seven ndio unaanza kuzionyesha wazi wazi? Ulipoteza vipi ile ya awali?
3. APATIWE ULINZI BINAFSI NA WASAIDIZI WA KUTEMBEA NAO- Hivi kaka Tundu Lissu umekuaje wewe? Umepata fursa ya kipekee kuzungumza na Rais unaweka hili kama kipaumbele? Hili lilipaswa kuwa nje ya majadiliano kaka, aisee aibu naona mimi. Tumbo Tumbo Tumbo!
4. WABUNGE 19 - VITI MAALUM WAONDOLEWE BILA KUFUATA KANUNI- Hili liko wazi wabunge waondelewe baada ya Baraza kuu kukutana na sio kufanya uhuni kutokana na wivu dhidi ya Halima na wenzie. Kaka Lissu wewe hujui kwanini mpaka sasa baraza halijakaa? Umetuangusha sana TL sheria haiko hivyo!
Kama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo tusipopata viongozi wazuri huyu Lissu na wenzie wanaojijali wao tu na matumbo yao wataua chama hiki. Sasa nimeelewa kwanini Kamanda Mbowe hataki kumpa mtu mwingine kiti, wengi wabinafsi na Tundu Lissu ni mmoja wao.
Umetumwa we mpuuzi, Unaongea pumba gani?Na Mwal. Maziku, Singida
Makamanda salaam!
Waswahili wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Kitendo cha kiongozi wa CHADEMA Ndugu Lissu kutanguliza maombi binafsi kwa Rais ni usaliti mkubwa usio kubarika. Kwa hakika mtu huyu hakustahili kupewa majukumu ya umakamu Mwenyekiti kwani ameonyesha dhamira yake si njema, baadhi ya maombi ni pamoja na ;
1. KUOMBA KULIPWA MISHAHARA YA KIBUNGE, POSHO, NA MALUPULUPU YOTE- Kwa akili ya kawaida huwezi kupinga mtu kudai maslahi yake lakin hoja yangu ni kwanini aweke jambo hili kama kipaumbele akijua fika mahitaji ya chama? Unakumbuka msimamo wetu juu ya posho?
2. ATAFUTIWE PASSPORT YA KUSAFIRIA BAADA YA KUPOTEZA YA AWALI- Kiongozi wa chama cha Upinzani unakutana na Rais unaanza na hoja ya pasi ya kusafiria ? tena uliyoipoteza kwa uzembe ? Yani tabia za kina John Mrema kwenda kulewa pale Triple Seven ndio unaanza kuzionyesha wazi wazi? Ulipoteza vipi ile ya awali?
3. APATIWE ULINZI BINAFSI NA WASAIDIZI WA KUTEMBEA NAO- Hivi kaka Tundu Lissu umekuaje wewe? Umepata fursa ya kipekee kuzungumza na Rais unaweka hili kama kipaumbele? Hili lilipaswa kuwa nje ya majadiliano kaka, aisee aibu naona mimi. Tumbo Tumbo Tumbo!
4. WABUNGE 19 - VITI MAALUM WAONDOLEWE BILA KUFUATA KANUNI- Hili liko wazi wabunge waondelewe baada ya Baraza kuu kukutana na sio kufanya uhuni kutokana na wivu dhidi ya Halima na wenzie. Kaka Lissu wewe hujui kwanini mpaka sasa baraza halijakaa? Umetuangusha sana TL sheria haiko hivyo!
Kama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo tusipopata viongozi wazuri huyu Lissu na wenzie wanaojijali wao tu na matumbo yao wataua chama hiki. Sasa nimeelewa kwanini Kamanda Mbowe hataki kumpa mtu mwingine kiti, wengi wabinafsi na Tundu Lissu ni mmoja wao.
Aliporudi hapa na kuzurura kila kona ya nchi mpaka akipiga selfie kwenye mishikaki,nani alimlinda?Dada yangu Maryam, ingekuwa ndio wewe umepigwa risasi hizo zote thelasini na., Je ungemuomba nini raisi wa JMT!
Mkuu wacha kumtisha kwa lugha kama "usijaribu tena tumekusamehe"Mariam unayejiita ni Mwalimu huko Singida hili limebuma. Hongera kwa kuogeshwa matusi unaayostahili. Humu ndani watu wanajitambua. Sio ofisi ya Chama chako kileeee au bunge lako lileeeee. Wewe ni mpotoshaji mkuu. Habari ya TL na Rais iko televised dunia nzima kwa usahihi wake wewe unajaribu kupotosha. Usijaribu tena tumekusamehe. Leo ijumaa.
Mimi nilisema zamani humu Lissu sio mwanasiasa mzuri hili la mama ni wazi amemtelekeza Mbowe na kamtelekeza kitamboNa Mwal. Maziku, Singida
Makamanda salaam!
Waswahili wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Kitendo cha kiongozi wa CHADEMA Ndugu Lissu kutanguliza maombi binafsi kwa Rais ni usaliti mkubwa usio kubarika. Kwa hakika mtu huyu hakustahili kupewa majukumu ya umakamu Mwenyekiti kwani ameonyesha dhamira yake si njema, baadhi ya maombi ni pamoja na ;
1. KUOMBA KULIPWA MISHAHARA YA KIBUNGE, POSHO, NA MALUPULUPU YOTE- Kwa akili ya kawaida huwezi kupinga mtu kudai maslahi yake lakin hoja yangu ni kwanini aweke jambo hili kama kipaumbele akijua fika mahitaji ya chama? Unakumbuka msimamo wetu juu ya posho?
2. ATAFUTIWE PASSPORT YA KUSAFIRIA BAADA YA KUPOTEZA YA AWALI- Kiongozi wa chama cha Upinzani unakutana na Rais unaanza na hoja ya pasi ya kusafiria ? tena uliyoipoteza kwa uzembe ? Yani tabia za kina John Mrema kwenda kulewa pale Triple Seven ndio unaanza kuzionyesha wazi wazi? Ulipoteza vipi ile ya awali?
3. APATIWE ULINZI BINAFSI NA WASAIDIZI WA KUTEMBEA NAO- Hivi kaka Tundu Lissu umekuaje wewe? Umepata fursa ya kipekee kuzungumza na Rais unaweka hili kama kipaumbele? Hili lilipaswa kuwa nje ya majadiliano kaka, aisee aibu naona mimi. Tumbo Tumbo Tumbo!
4. WABUNGE 19 - VITI MAALUM WAONDOLEWE BILA KUFUATA KANUNI- Hili liko wazi wabunge waondelewe baada ya Baraza kuu kukutana na sio kufanya uhuni kutokana na wivu dhidi ya Halima na wenzie. Kaka Lissu wewe hujui kwanini mpaka sasa baraza halijakaa? Umetuangusha sana TL sheria haiko hivyo!
Kama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo tusipopata viongozi wazuri huyu Lissu na wenzie wanaojijali wao tu na matumbo yao wataua chama hiki. Sasa nimeelewa kwanini Kamanda Mbowe hataki kumpa mtu mwingine kiti, wengi wabinafsi na Tundu Lissu ni mmoja wao.
LISSU AELEZA MAMBO SABA (7) ALIYOZUNGUMZA NA RAIS SAMIANa Mwal. Maziku, Singida
Makamanda salaam!
Waswahili wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Kitendo cha kiongozi wa CHADEMA Ndugu Lissu kutanguliza maombi binafsi kwa Rais ni usaliti mkubwa usio kubarika. Kwa hakika mtu huyu hakustahili kupewa majukumu ya umakamu Mwenyekiti kwani ameonyesha dhamira yake si njema, baadhi ya maombi ni pamoja na ;
1. KUOMBA KULIPWA MISHAHARA YA KIBUNGE, POSHO, NA MALUPULUPU YOTE- Kwa akili ya kawaida huwezi kupinga mtu kudai maslahi yake lakin hoja yangu ni kwanini aweke jambo hili kama kipaumbele akijua fika mahitaji ya chama? Unakumbuka msimamo wetu juu ya posho?
2. ATAFUTIWE PASSPORT YA KUSAFIRIA BAADA YA KUPOTEZA YA AWALI- Kiongozi wa chama cha Upinzani unakutana na Rais unaanza na hoja ya pasi ya kusafiria ? tena uliyoipoteza kwa uzembe ? Yani tabia za kina John Mrema kwenda kulewa pale Triple Seven ndio unaanza kuzionyesha wazi wazi? Ulipoteza vipi ile ya awali?
3. APATIWE ULINZI BINAFSI NA WASAIDIZI WA KUTEMBEA NAO- Hivi kaka Tundu Lissu umekuaje wewe? Umepata fursa ya kipekee kuzungumza na Rais unaweka hili kama kipaumbele? Hili lilipaswa kuwa nje ya majadiliano kaka, aisee aibu naona mimi. Tumbo Tumbo Tumbo!
4. WABUNGE 19 - VITI MAALUM WAONDOLEWE BILA KUFUATA KANUNI- Hili liko wazi wabunge waondelewe baada ya Baraza kuu kukutana na sio kufanya uhuni kutokana na wivu dhidi ya Halima na wenzie. Kaka Lissu wewe hujui kwanini mpaka sasa baraza halijakaa? Umetuangusha sana TL sheria haiko hivyo!
Kama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo tusipopata viongozi wazuri huyu Lissu na wenzie wanaojijali wao tu na matumbo yao wataua chama hiki. Sasa nimeelewa kwanini Kamanda Mbowe hataki kumpa mtu mwingine kiti, wengi wabinafsi na Tundu Lissu ni mmoja wao.
Dada yangu Maryam, ingekuwa ndio wewe umepigwa risasi hizo zote thelasini na., Je ungemuomba nini raisi wa JMT!
Afadhali mtu awe mjinga kuliko kuwa mpumbavu...huyu amefikia hiki cheo cha piliAcha ujinga... (Ujinga ni hali ya kutokujua kitu, English: Ignorance).
kaongelea hoja ya katiba mpya. hapa umekwepa kuiwekaNa Mwal. Maziku, Singida
Makamanda salaam!
Waswahili wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Kitendo cha kiongozi wa CHADEMA Ndugu Lissu kutanguliza maombi binafsi kwa Rais ni usaliti mkubwa usio kubarika. Kwa hakika mtu huyu hakustahili kupewa majukumu ya umakamu Mwenyekiti kwani ameonyesha dhamira yake si njema, baadhi ya maombi ni pamoja na ;
1. KUOMBA KULIPWA MISHAHARA YA KIBUNGE, POSHO, NA MALUPULUPU YOTE- Kwa akili ya kawaida huwezi kupinga mtu kudai maslahi yake lakin hoja yangu ni kwanini aweke jambo hili kama kipaumbele akijua fika mahitaji ya chama? Unakumbuka msimamo wetu juu ya posho?
2. ATAFUTIWE PASSPORT YA KUSAFIRIA BAADA YA KUPOTEZA YA AWALI- Kiongozi wa chama cha Upinzani unakutana na Rais unaanza na hoja ya pasi ya kusafiria ? tena uliyoipoteza kwa uzembe ? Yani tabia za kina John Mrema kwenda kulewa pale Triple Seven ndio unaanza kuzionyesha wazi wazi? Ulipoteza vipi ile ya awali?
3. APATIWE ULINZI BINAFSI NA WASAIDIZI WA KUTEMBEA NAO- Hivi kaka Tundu Lissu umekuaje wewe? Umepata fursa ya kipekee kuzungumza na Rais unaweka hili kama kipaumbele? Hili lilipaswa kuwa nje ya majadiliano kaka, aisee aibu naona mimi. Tumbo Tumbo Tumbo!
4. WABUNGE 19 - VITI MAALUM WAONDOLEWE BILA KUFUATA KANUNI- Hili liko wazi wabunge waondelewe baada ya Baraza kuu kukutana na sio kufanya uhuni kutokana na wivu dhidi ya Halima na wenzie. Kaka Lissu wewe hujui kwanini mpaka sasa baraza halijakaa? Umetuangusha sana TL sheria haiko hivyo!
Kama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo tusipopata viongozi wazuri huyu Lissu na wenzie wanaojijali wao tu na matumbo yao wataua chama hiki. Sasa nimeelewa kwanini Kamanda Mbowe hataki kumpa mtu mwingine kiti, wengi wabinafsi na Tundu Lissu ni mmoja wao.