Tundu Lissu na "Maslahi yangu kwanza"

Tundu Lissu na "Maslahi yangu kwanza"

Mariam unayejiita ni Mwalimu huko Singida hili limebuma. Hongera kwa kuogeshwa matusi unaayostahili. Humu ndani watu wanajitambua. Sio ofisi ya Chama chako kileeee au bunge lako lileeeee. Wewe ni mpotoshaji mkuu. Habari ya TL na Rais iko televised dunia nzima kwa usahihi wake wewe unajaribu kupotosha. Usijaribu tena tumekusamehe. Leo ijumaa.
 
mleta uzi ni masikini sana na mwenye akili za kimasikini mno zinazowaza uteuzi tu si kingine , yaani hata akili ya kuku ya kuvukia barabara hana kabisaaa, huo ndio ukweli
 
Unaamka na kuanzia kutoa mada kabla huja nawa uso haya ndy madhara yake.sasa bila Lisu nani angemuona Rais,hayo ni yako mpangilio wa alicho anzia hadi mwisho ni yeye,.
 
Na Mwal. Maziku, Singida

Makamanda salaam!

Waswahili wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Kitendo cha kiongozi wa CHADEMA Ndugu Lissu kutanguliza maombi binafsi kwa Rais ni usaliti mkubwa usio kubarika. Kwa hakika mtu huyu hakustahili kupewa majukumu ya umakamu Mwenyekiti kwani ameonyesha dhamira yake si njema, baadhi ya maombi ni pamoja na ;

1. KUOMBA KULIPWA MISHAHARA YA KIBUNGE, POSHO, NA MALUPULUPU YOTE- Kwa akili ya kawaida huwezi kupinga mtu kudai maslahi yake lakin hoja yangu ni kwanini aweke jambo hili kama kipaumbele akijua fika mahitaji ya chama? Unakumbuka msimamo wetu juu ya posho?

2. ATAFUTIWE PASSPORT YA KUSAFIRIA BAADA YA KUPOTEZA YA AWALI- Kiongozi wa chama cha Upinzani unakutana na Rais unaanza na hoja ya pasi ya kusafiria ? tena uliyoipoteza kwa uzembe ? Yani tabia za kina John Mrema kwenda kulewa pale Triple Seven ndio unaanza kuzionyesha wazi wazi? Ulipoteza vipi ile ya awali?

3. APATIWE ULINZI BINAFSI NA WASAIDIZI WA KUTEMBEA NAO- Hivi kaka Tundu Lissu umekuaje wewe? Umepata fursa ya kipekee kuzungumza na Rais unaweka hili kama kipaumbele? Hili lilipaswa kuwa nje ya majadiliano kaka, aisee aibu naona mimi. Tumbo Tumbo Tumbo!

4. WABUNGE 19 - VITI MAALUM WAONDOLEWE BILA KUFUATA KANUNI- Hili liko wazi wabunge waondelewe baada ya Baraza kuu kukutana na sio kufanya uhuni kutokana na wivu dhidi ya Halima na wenzie. Kaka Lissu wewe hujui kwanini mpaka sasa baraza halijakaa? Umetuangusha sana TL sheria haiko hivyo!

Kama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo tusipopata viongozi wazuri huyu Lissu na wenzie wanaojijali wao tu na matumbo yao wataua chama hiki. Sasa nimeelewa kwanini Kamanda Mbowe hataki kumpa mtu mwingine kiti, wengi wabinafsi na Tundu Lissu ni mmoja wao.
Lissu ni mtu kazaliwa tu mbishi na mbinafsi. Sasa makamanda ndio mkatafsiri ni mpinzani tangu kuzaliwa. Mumeona katika orodha ya madai kwa rais wa jamhuri karibu yote ni kuhusuu maslahi yake binafsi.
Utasikia posho zangu, mshahara wangu, passport yangu, ulinzi wangu. Etc 😂... eti ndio mtu kuna wapinzani mnamfananisha na mandela? Sikuwahi kusikia mandela akidai kitu binafsi ila kua tayari kuteseka kwa kudai haki. Sio huyu mtu mlaku mbinafsi na muoga kama kunguru. 😂
 
Lissu ni mtu kazaliwa tu mbishi na mbinafsi. Sasa makamanda ndio mkatafsiri ni mpinzani tangu kuzaliwa. Mumeona katika orodha ya madai kwa rais wa jamhuri karibu yote ni kuhusuu maslahi yake binafsi.
Utasikia posho zangu, mshahara wangu, passport yangu, ulinzi wangu. Etc 😂... eti ndio mtu kuna wapinzani mnamfananisha na mandela? Sikuwahi kusikia mandela akidai kitu binafsi ila kua tayari kuteseka kwa kudai haki. Sio huyu mtu mlak mbinafsi na muoga kama kunguru. 😂
Na hawa wapinzani wa JF kama vile misukule haionagi mabaya ya viongozi wao

Yenyewe ni kutetea tu hata kama ni ushuzi na mimavi yanatetea tu
 
Na Mwal. Maziku, Singida

Makamanda salaam!

Waswahili wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Kitendo cha kiongozi wa CHADEMA Ndugu Lissu kutanguliza maombi binafsi kwa Rais ni usaliti mkubwa usio kubarika. Kwa hakika mtu huyu hakustahili kupewa majukumu ya umakamu Mwenyekiti kwani ameonyesha dhamira yake si njema, baadhi ya maombi ni pamoja na ;

1. KUOMBA KULIPWA MISHAHARA YA KIBUNGE, POSHO, NA MALUPULUPU YOTE- Kwa akili ya kawaida huwezi kupinga mtu kudai maslahi yake lakin hoja yangu ni kwanini aweke jambo hili kama kipaumbele akijua fika mahitaji ya chama? Unakumbuka msimamo wetu juu ya posho?

2. ATAFUTIWE PASSPORT YA KUSAFIRIA BAADA YA KUPOTEZA YA AWALI- Kiongozi wa chama cha Upinzani unakutana na Rais unaanza na hoja ya pasi ya kusafiria ? tena uliyoipoteza kwa uzembe ? Yani tabia za kina John Mrema kwenda kulewa pale Triple Seven ndio unaanza kuzionyesha wazi wazi? Ulipoteza vipi ile ya awali?

3. APATIWE ULINZI BINAFSI NA WASAIDIZI WA KUTEMBEA NAO- Hivi kaka Tundu Lissu umekuaje wewe? Umepata fursa ya kipekee kuzungumza na Rais unaweka hili kama kipaumbele? Hili lilipaswa kuwa nje ya majadiliano kaka, aisee aibu naona mimi. Tumbo Tumbo Tumbo!

4. WABUNGE 19 - VITI MAALUM WAONDOLEWE BILA KUFUATA KANUNI- Hili liko wazi wabunge waondelewe baada ya Baraza kuu kukutana na sio kufanya uhuni kutokana na wivu dhidi ya Halima na wenzie. Kaka Lissu wewe hujui kwanini mpaka sasa baraza halijakaa? Umetuangusha sana TL sheria haiko hivyo!

Kama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo tusipopata viongozi wazuri huyu Lissu na wenzie wanaojijali wao tu na matumbo yao wataua chama hiki. Sasa nimeelewa kwanini Kamanda Mbowe hataki kumpa mtu mwingine kiti, wengi wabinafsi na Tundu Lissu ni mmoja wao.
Ulitaka ampe zitto,kubenea,nasari,waitara na wasaliti wengine ili ccm walambwe miguu?
 
Na Mwal. Maziku, Singida

Makamanda salaam!

Waswahili wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Kitendo cha kiongozi wa CHADEMA Ndugu Lissu kutanguliza maombi binafsi kwa Rais ni usaliti mkubwa usio kubarika. Kwa hakika mtu huyu hakustahili kupewa majukumu ya umakamu Mwenyekiti kwani ameonyesha dhamira yake si njema, baadhi ya maombi ni pamoja na ;

1. KUOMBA KULIPWA MISHAHARA YA KIBUNGE, POSHO, NA MALUPULUPU YOTE- Kwa akili ya kawaida huwezi kupinga mtu kudai maslahi yake lakin hoja yangu ni kwanini aweke jambo hili kama kipaumbele akijua fika mahitaji ya chama? Unakumbuka msimamo wetu juu ya posho?

2. ATAFUTIWE PASSPORT YA KUSAFIRIA BAADA YA KUPOTEZA YA AWALI- Kiongozi wa chama cha Upinzani unakutana na Rais unaanza na hoja ya pasi ya kusafiria ? tena uliyoipoteza kwa uzembe ? Yani tabia za kina John Mrema kwenda kulewa pale Triple Seven ndio unaanza kuzionyesha wazi wazi? Ulipoteza vipi ile ya awali?

3. APATIWE ULINZI BINAFSI NA WASAIDIZI WA KUTEMBEA NAO- Hivi kaka Tundu Lissu umekuaje wewe? Umepata fursa ya kipekee kuzungumza na Rais unaweka hili kama kipaumbele? Hili lilipaswa kuwa nje ya majadiliano kaka, aisee aibu naona mimi. Tumbo Tumbo Tumbo!

4. WABUNGE 19 - VITI MAALUM WAONDOLEWE BILA KUFUATA KANUNI- Hili liko wazi wabunge waondelewe baada ya Baraza kuu kukutana na sio kufanya uhuni kutokana na wivu dhidi ya Halima na wenzie. Kaka Lissu wewe hujui kwanini mpaka sasa baraza halijakaa? Umetuangusha sana TL sheria haiko hivyo!

Kama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo tusipopata viongozi wazuri huyu Lissu na wenzie wanaojijali wao tu na matumbo yao wataua chama hiki. Sasa nimeelewa kwanini Kamanda Mbowe hataki kumpa mtu mwingine kiti, wengi wabinafsi na Tundu Lissu ni mmoja wao.
Umetumwa we mpuuzi, Unaongea pumba gani?
 
Dada yangu Maryam, ingekuwa ndio wewe umepigwa risasi hizo zote thelasini na., Je ungemuomba nini raisi wa JMT!
Aliporudi hapa na kuzurura kila kona ya nchi mpaka akipiga selfie kwenye mishikaki,nani alimlinda?

Acheni kukuza watu!

Kama ni hivyo...tunayo orodha kubwa sana ya watu wa kulindwa akiwemo na Makonda.
 
Kama wewe ni mwalimu basi watoto wanaosoma hapo hawana tofauti na watu wenye mtindio wa ubongo
 
Mariam unayejiita ni Mwalimu huko Singida hili limebuma. Hongera kwa kuogeshwa matusi unaayostahili. Humu ndani watu wanajitambua. Sio ofisi ya Chama chako kileeee au bunge lako lileeeee. Wewe ni mpotoshaji mkuu. Habari ya TL na Rais iko televised dunia nzima kwa usahihi wake wewe unajaribu kupotosha. Usijaribu tena tumekusamehe. Leo ijumaa.
Mkuu wacha kumtisha kwa lugha kama "usijaribu tena tumekusamehe"
Huyo binti ana haki ya kutoa maoni yake.Kufunga watu midomo na kutoa vitisho ni dalili kwamba hauna nguvu za hoja bali hoja za nguvu.
 
Na Mwal. Maziku, Singida

Makamanda salaam!

Waswahili wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Kitendo cha kiongozi wa CHADEMA Ndugu Lissu kutanguliza maombi binafsi kwa Rais ni usaliti mkubwa usio kubarika. Kwa hakika mtu huyu hakustahili kupewa majukumu ya umakamu Mwenyekiti kwani ameonyesha dhamira yake si njema, baadhi ya maombi ni pamoja na ;

1. KUOMBA KULIPWA MISHAHARA YA KIBUNGE, POSHO, NA MALUPULUPU YOTE- Kwa akili ya kawaida huwezi kupinga mtu kudai maslahi yake lakin hoja yangu ni kwanini aweke jambo hili kama kipaumbele akijua fika mahitaji ya chama? Unakumbuka msimamo wetu juu ya posho?

2. ATAFUTIWE PASSPORT YA KUSAFIRIA BAADA YA KUPOTEZA YA AWALI- Kiongozi wa chama cha Upinzani unakutana na Rais unaanza na hoja ya pasi ya kusafiria ? tena uliyoipoteza kwa uzembe ? Yani tabia za kina John Mrema kwenda kulewa pale Triple Seven ndio unaanza kuzionyesha wazi wazi? Ulipoteza vipi ile ya awali?

3. APATIWE ULINZI BINAFSI NA WASAIDIZI WA KUTEMBEA NAO- Hivi kaka Tundu Lissu umekuaje wewe? Umepata fursa ya kipekee kuzungumza na Rais unaweka hili kama kipaumbele? Hili lilipaswa kuwa nje ya majadiliano kaka, aisee aibu naona mimi. Tumbo Tumbo Tumbo!

4. WABUNGE 19 - VITI MAALUM WAONDOLEWE BILA KUFUATA KANUNI- Hili liko wazi wabunge waondelewe baada ya Baraza kuu kukutana na sio kufanya uhuni kutokana na wivu dhidi ya Halima na wenzie. Kaka Lissu wewe hujui kwanini mpaka sasa baraza halijakaa? Umetuangusha sana TL sheria haiko hivyo!

Kama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo tusipopata viongozi wazuri huyu Lissu na wenzie wanaojijali wao tu na matumbo yao wataua chama hiki. Sasa nimeelewa kwanini Kamanda Mbowe hataki kumpa mtu mwingine kiti, wengi wabinafsi na Tundu Lissu ni mmoja wao.
Mimi nilisema zamani humu Lissu sio mwanasiasa mzuri hili la mama ni wazi amemtelekeza Mbowe na kamtelekeza kitambo

Kawakataza wenzake tanzania wasikutane na mama mkutano wa vyama vya upinzani lakini ajabu yeye kaomba kukutana na mama belgium

Lissu si aina nzuri ya kiongozi na mwanasiasa angebaki tu kama mwanasheria wa chama na wakili wa kujitegemea.

Ulipomaliza uchaguz 2020 hakupita ata mkoa mmoja kueleza msimamo wa chama wala shukurani baada yale matokeo aliwaza kurudi belgium kwa style ile ya kutumiwa sms eti anataka kuuliwa
 
Na Mwal. Maziku, Singida

Makamanda salaam!

Waswahili wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Kitendo cha kiongozi wa CHADEMA Ndugu Lissu kutanguliza maombi binafsi kwa Rais ni usaliti mkubwa usio kubarika. Kwa hakika mtu huyu hakustahili kupewa majukumu ya umakamu Mwenyekiti kwani ameonyesha dhamira yake si njema, baadhi ya maombi ni pamoja na ;

1. KUOMBA KULIPWA MISHAHARA YA KIBUNGE, POSHO, NA MALUPULUPU YOTE- Kwa akili ya kawaida huwezi kupinga mtu kudai maslahi yake lakin hoja yangu ni kwanini aweke jambo hili kama kipaumbele akijua fika mahitaji ya chama? Unakumbuka msimamo wetu juu ya posho?

2. ATAFUTIWE PASSPORT YA KUSAFIRIA BAADA YA KUPOTEZA YA AWALI- Kiongozi wa chama cha Upinzani unakutana na Rais unaanza na hoja ya pasi ya kusafiria ? tena uliyoipoteza kwa uzembe ? Yani tabia za kina John Mrema kwenda kulewa pale Triple Seven ndio unaanza kuzionyesha wazi wazi? Ulipoteza vipi ile ya awali?

3. APATIWE ULINZI BINAFSI NA WASAIDIZI WA KUTEMBEA NAO- Hivi kaka Tundu Lissu umekuaje wewe? Umepata fursa ya kipekee kuzungumza na Rais unaweka hili kama kipaumbele? Hili lilipaswa kuwa nje ya majadiliano kaka, aisee aibu naona mimi. Tumbo Tumbo Tumbo!

4. WABUNGE 19 - VITI MAALUM WAONDOLEWE BILA KUFUATA KANUNI- Hili liko wazi wabunge waondelewe baada ya Baraza kuu kukutana na sio kufanya uhuni kutokana na wivu dhidi ya Halima na wenzie. Kaka Lissu wewe hujui kwanini mpaka sasa baraza halijakaa? Umetuangusha sana TL sheria haiko hivyo!

Kama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo tusipopata viongozi wazuri huyu Lissu na wenzie wanaojijali wao tu na matumbo yao wataua chama hiki. Sasa nimeelewa kwanini Kamanda Mbowe hataki kumpa mtu mwingine kiti, wengi wabinafsi na Tundu Lissu ni mmoja wao.
LISSU AELEZA MAMBO SABA (7) ALIYOZUNGUMZA NA RAIS SAMIA
1. Ajenda ilikuwa "hali ya siasa ya nchi yetu." mazungumzo yamechukua takribasi saa moja, na mojawapo ya mambo niliyozungumza nae ni juu ya mwenendo wa kesi ya Mbowe

2. Ajenda ya pili ni suala na la vyama vya upinzani kufanya shughuli za kisiasa kwa mujibu wa sheria.

3. Jambo la tatu ni suala la #KatibaMpya na nimemwambia Mh. Rais ana nafasi ya kuhakikisha tunapata #KatibaMpya na anatengeneza mfumo wa kidemokrasia.

4. Ajenda ya nne, ni inayonihusi mimi na wenzangu tuliolazimika kuikimbia nchi yetu sababu ya vitisho. Nimemwambia Rais kwa mamlaka yake, nina haki ya kupatiwa matibabu kwa mujibu wa sheria, na mazingira yanayohusu kuondolewa kwangu @TunduALissu bungeni na kutokulipwa mafao yangu.

5. Nimemwambia Mh. Rais kuwa mimi @TunduALissu ninahitaji kurudi nyumbani, na ninahitaji atoe kauli ya kunikaribisha nyumbani na nitakuwa salama, nimehakikishiwa nitapata hati ya kusafiria, kwa kuwa yangu iliibiwa Ujerumi. Nimewaongelea pia wenzangu @WenjeEzekiah na @godbless_lema

6. Nimemweleza mh. Rais sisi @ChademaTz hatuna wabunge Bungeni kwa kuwa wale wabunge tumewafukuza uanachama. Nimemwomba Mh. Alishughulikie hilo.

7. Ajenda ya mwisho nimemwomba Mh. Rais atuongoze katika kuliponya Taifa kutokana na majeraha tuliyonayo, kwa kutekeleza ahadi yake ya kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani.
 
Mkuu ukilindwa na usalama... makamu mwenyekiti wa upinzani una compromize kila kazi za chama...
Dada yangu Maryam, ingekuwa ndio wewe umepigwa risasi hizo zote thelasini na., Je ungemuomba nini raisi wa JMT!
 
Na Mwal. Maziku, Singida

Makamanda salaam!

Waswahili wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Kitendo cha kiongozi wa CHADEMA Ndugu Lissu kutanguliza maombi binafsi kwa Rais ni usaliti mkubwa usio kubarika. Kwa hakika mtu huyu hakustahili kupewa majukumu ya umakamu Mwenyekiti kwani ameonyesha dhamira yake si njema, baadhi ya maombi ni pamoja na ;

1. KUOMBA KULIPWA MISHAHARA YA KIBUNGE, POSHO, NA MALUPULUPU YOTE- Kwa akili ya kawaida huwezi kupinga mtu kudai maslahi yake lakin hoja yangu ni kwanini aweke jambo hili kama kipaumbele akijua fika mahitaji ya chama? Unakumbuka msimamo wetu juu ya posho?

2. ATAFUTIWE PASSPORT YA KUSAFIRIA BAADA YA KUPOTEZA YA AWALI- Kiongozi wa chama cha Upinzani unakutana na Rais unaanza na hoja ya pasi ya kusafiria ? tena uliyoipoteza kwa uzembe ? Yani tabia za kina John Mrema kwenda kulewa pale Triple Seven ndio unaanza kuzionyesha wazi wazi? Ulipoteza vipi ile ya awali?

3. APATIWE ULINZI BINAFSI NA WASAIDIZI WA KUTEMBEA NAO- Hivi kaka Tundu Lissu umekuaje wewe? Umepata fursa ya kipekee kuzungumza na Rais unaweka hili kama kipaumbele? Hili lilipaswa kuwa nje ya majadiliano kaka, aisee aibu naona mimi. Tumbo Tumbo Tumbo!

4. WABUNGE 19 - VITI MAALUM WAONDOLEWE BILA KUFUATA KANUNI- Hili liko wazi wabunge waondelewe baada ya Baraza kuu kukutana na sio kufanya uhuni kutokana na wivu dhidi ya Halima na wenzie. Kaka Lissu wewe hujui kwanini mpaka sasa baraza halijakaa? Umetuangusha sana TL sheria haiko hivyo!

Kama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo tusipopata viongozi wazuri huyu Lissu na wenzie wanaojijali wao tu na matumbo yao wataua chama hiki. Sasa nimeelewa kwanini Kamanda Mbowe hataki kumpa mtu mwingine kiti, wengi wabinafsi na Tundu Lissu ni mmoja wao.
kaongelea hoja ya katiba mpya. hapa umekwepa kuiweka
kaongelea hoja ya kesi ya mbowe hapa umekwepa pia kuiweka
kaongelea hoja ya uhuru wa mikutano na kuandamana vyama vya siasa umeikwepa pia.
kwa mtizamo wako hoja ya wabunge 19 ni ya maslahi ya LISU na hizo nilizoainisha hapo juu nazo ni maslahi ya Lisu.

hebu nikuulize ungekuwa wewe umeponea kuuwawa na waliotaka kukuuwa hawajachukuliwa hatua na bado wapo mtaani je ukipata nafasi ya kumweleza mtu mwenye mamlaka yakuweza kukupa uhakika wa ulizi ungeacha kumweleza juu ya hilo.?

ungekuwa wewe ulizulumiwa haki zako na kunamtu anamalaka juu ya kuweza kusababisha upewe haki zako je usingemweleza?
tuache hilo la passport maana yeye ndiye anajua vizingiti alivyokutana navyo na ninajua umenielewa.
swali la kujiuliza ni watanzania wangapi wapo nchini Belgium lakini Rais hakutaka kukutana nao na akataka kukutana na Lisu.
why Lisu? jibu ni kwamba anahoja binafsi kama hizo alizozieleza kwa Rais na anahoja zinazo ligusa Taifa pia anahoja za chama chake na Lisu amegusa nyanja zote hizo.

In short kama Rais alitaka kukaa na kujua kero za chama hakuwa na budi kwenda Belgium kukutana na Lisu angewaita viongozi wa chadema Ikulu magogoni na wangemweleza kero zao hizo unazoziwaza wewe siajabu zisingekuwepo zingekwepo za kitaifa zaidi maana chadema ni chama kikuu cha upinzani.
 
Naona Lisu anataka passport mpya kwa sababu ile yake anayodai imepotea haitaki kwa sababu ya mihuri ile inayoonyesha yeye ni mkimbizi wa kisiasa tumieni akili hapo
 
Kweli Lissu ni mbinafsi sana , katika hoja zake zote alizoongea na raisi hakuna inayomgusa raia wa kawaida moja kwa moja... nilifikir angemueleza kupanda kwa gharama za maisha kwa raia , tozo zisizona kichwa wala miguu nk.
 
Back
Top Bottom