Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na Salamu za Krismas: Mwaka 2020 ulikuwa mwaka mgumu na wenye machungu mengi kwa nchi na wananchi wetu

Hahahaaa unaweweseka tu nchi yetu iko poa Rais wetu ana afya njema...ww uliekimbia kivuli chako endelea sisi tuko poa karibu ule xmass na nyama za punda ziko poa sana sana
 
Lucifer ni huyu tulie nae kwa sasa ambae ameifanya nchi hii imekua ya ovyo, kila mmoja analia si vijana, wazee, wakina mama na watoto. Kazi yake ni ubabe na kuua ndicho huyu Lucifer alichotumwa.
👉Wanalia wajinga na wanaotaka kushindana na serikali ilihali wanajua kabisa hawana nguvu yoyote ile. Wasiotaka kufanya kazi na kujishughulisha kisa wana vidigree uchwara.

👉Watu wasiotaka kukubaliana na hali halisi ya maisha yao ,ambao kuliko wanunue chakula cha 1000 kwao ni bora wanunue bando ili washinde Jf na twitter kuweka hashtags😀.

👉Wanaomiliki iphone za 700K hadi 3.5M na bado wanalili akira na kukosa mitaji.

👉Hata alieandika huu uzi nae ni mjinga na mpumbavu vilevile.
 
Uko sahihi...tupo tofauti kimawazo...hii ndiyo demokrasia...kwa hiyo kwangu Mimi huyo Lissu ni mnafiki mkubwa, Kibaraka na rafiki yake shetani....wewe na watu wengine ambao ni wachache mnamuona huyo Lissu ni shujaa...sawa tu...kwangu Mimi huyo Lissu ni mtu wa hovyo kabisa...halafu ni mwongo mkubwa...
 
Merry Christmas TL. Umegundua sasa watanzania ni watu tofauti sana. Hawaandamani kwa niaba ya kupiga kura. Wanaandamana kufuata mdundiko tu
 
Zandiki ni lile dude unalolisujudia, Tundu Lissu ni mtu mwema rais halali wa nchi hii
 
Wewe ni shetwaini kabisaaa
 
Kama huna hoja jilie tu hilo pilau la bure kwa shemeji yako .
 
kwako wewe huyu anayeua watz wanaomkosoa kwa kutumia haki yao ya kikatiba ndiye mtu wa Mungu eeh?!.
 
Hii ndo Uzi wa kwanza wa Tundu Lisu kupotezewa hapa JF, yaani mpaka leo hii una kurasa 4 tu ? Pole sana Tundu, ...
 
Ungesema Mheshimiwa Rais halali wa Tanzania ametutakia krismas njema
What is Kitabu cha Yohana
 
kwako wewe huyu anayeua watz wanaomkosoa kwa kutumia haki yao ya kikatiba ndiye mtu wa Mungu eeh?!.
Wewe una sifa zote za uropokaji na uzushi...halafu Sina Shaka kabisa kuwa hata uwezo wako wa kuchambua Mambo ni wa kiwango Cha chini kabisa...na hata katiba yenyewe sidhani Kama uliwahi kuisoma achilia mbali hata kuiona katiba hiyo...
 
Aidha, wapo kwa mamilioni mengi wanaosononeka kimya kimya kwasababu ya kutokupatiwa ajira au kkwa kutolipwa mishahara au pensheni zao halali au kwa kutotendewa haki zao nyingine mbalimbali.

Kweny hii aya amegusa KUNDI kubwa la vijana ma graduate kada ya AFYA na ELIMU....

Pia issue ya MAFAO umekua mwiba mkali sanaa...
 
Wewe una sifa zote za uropokaji na uzushi...halafu Sina Shaka kabisa kuwa hata uwezo wako wa kuchambua Mambo ni wa kiwango Cha chini kabisa...na hata katiba yenyewe sidhani Kama uliwahi kuisoma achilia mbali hata kuiona katiba hiyo...
sawa mlamba viatu vya watawala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…