Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeeleza vizuri lakini kama Lissu anavyotaka iwe, na baadhi ya nchi za Ulaya, ushoga uwe halali kwa maana usitendeke faraghani tena. Watetezi wa ushoga mnataka mwanaume na mwanaume wafungishwe ndoa hapa Tanzania, au? Anza wewe na Lissu. USHENZI tu huo bila aibu mchana kweupe.Umeandika ujinga.Hiyo ibara iko very clear wala haiitaji mambo mengi kufafanuliwa.na isitoshe pia nyie ndio mlioapa kuilinda nakuitunza katiba sasa kama mnaona hicho kipengele kinatumika isivyo stahili si mbadilishe ili kwamba sasa serikali iwe inauwezo wakuchungulia ndani vyumbani mwa watu.Swala la kujaamiana ni mambo yanayofanyika sirini kwahiyo swala la ushoga,usagaji,ulawiti linakua kosa likifika hadharani na sheria za nchi ziko wazi kwenye hilo.Hoja ya Lissu imejikita kwenye faragha na hapa ndipo msingi wa hiyo ibara ulipo.Sasa wewe kinachokushinda kuelewa ni nini.
CCM hawawezi kuweka hiyo sheria maana itakula sana kwao kuanzia kwa hao watunga sheria mpaka kwa mabalozi wa nyumba kumi.Ushoga unapingwa kwa maneno ya majukwaani.ucha uzwazwa wewe.kama kweli mnauchungu sana na ushoga unashindwa nini kuweka sheria kali dhidi ya ushoga na serikali mnayo nyie wenyewe.acha kutufanya wote wajinga kama wewe.
Katika Ilani yake, CHADEMA kimedhamiria kubadili Katiba katika siku 100 za kuingia madarakani. Kwa kauli ya mgombea Urais, Katiba itahalalisha ushoga (wanaume wafungishwe ndoa). Hilo ni takwa la mataifa ya ulaya kwa nchi zinazoendelea, la wanasitisha mikopo/misaada.Kama sheria ipo, sasa hofu ni nini? Watakaofanya ushoga watashtakiwa. Vitu vingine havihitaji hata mijadala
Hoja imefungwa rasmi. Tuache unafiki
Kwahili kila mtu anaemuheshimu mwenyezi Mungu lazima apinge ushoga maana hata Biblia inapinga jambo hili. Nashangaa atakaelikubali anasoma vitabu gani atujuze.Mshaambukizwa na Boss wenu semeni mnakubaliana na ushoga kwanza au lah?
CCM kama chama inapinga ushoga, Magufuli kama mgombea anapinga ushoga. Je, CHADEMA kama chama mnapingana na ushoga? Lissu kama mgombea anapingana na ushoga?
Naona umeshakuwa nabii. Katiba huwa inabadilishwa na chama?Katika Ilani yake, CHADEMA kimedhamiria kubadili Katiba katika siku 100 za kuingia madarakani. Kwa kauli ya mgombea Urais, Katiba itahalalisha ushoga (wanaume wafungishwe ndoa). Hilo ni takwa la mataifa ya ulaya kwa nchi zinazoendelea, la wanasitisha mikopo/misaada.
Utaibiwaje kitu ambacho huna?Upuuzi mtupu!!! Mmeshikwa pabaya....Mwaka huu haibiwi mtu kura,zitalindwa!!
Unamzungumziaje huyu?Mshaambukizwa na Boss wenu semeni mnakubaliana na ushoga kwanza au lah?
CCM kama chama inapinga ushoga, Magufuli kama mgombea anapinga ushoga. Je, CHADEMA kama chama mnapingana na ushoga? Lissu kama mgombea anapingana na ushoga?
Subiri utakuja kuona mbele ya safari.Utaibiwaje kitu ambacho huna?