Pre GE2025 Tundu Lissu: Nafungua kesi ya kupigwa bila sababu

Pre GE2025 Tundu Lissu: Nafungua kesi ya kupigwa bila sababu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610

“Naenda Mahakamani kufungua kesi kwanza ya kuvunjiwa mkutano wetu bila sababu, pili Viongozi na Wanachama wetu kupigwa bila sababu, tatu kukamatwa bila sababu, nne kufungwa bila sababu, tano uharibifu wa mali na mengine ambayo Wanasheria watapendekeza”

“Na tumesema tunamshtaki Shosti Nyahoza kama Shosti Nyahoza na tunamshtaki kamishna wa Polisi Awadhi Haji kama Awadhi Haji, hatutaki Mawakili wa Serikali waje waingilie tunataka tushungulike na hawa watuambia matendo yao yalikuwa halali namna gani na kama hayakuwa halali watuambie nani aliyewatuma” —— Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Tundu Lissu akiongea mbele ya Waandishi wa Habari DSM leo August 14,2024.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
 

“Naenda Mahakamani kufungua kesi kwanza ya kuvunjiwa mkutano wetu bila sababu, pili Viongozi na Wanachama wetu kupigwa bila sababu, tatu kukamatwa bila sababu, nne kufungwa bila sababu, tano uharibifu wa mali na mengine ambayo Wanasheria watapendekeza”

“Na tumesema tunamshtaki Shosti Nyahoza kama Shosti Nyahoza na tunamshtaki kamishna wa Polisi Awadhi Haji kama Awadhi Haji, hatutaki Mawakili wa Serikali waje waingilie tunataka tushungulike na hawa watuambia matendo yao yalikuwa halali namna gani na kama hayakuwa halali watuambie nani aliyewatuma” —— Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Tundu Lissu akiongea mbele ya Waandishi wa Habari DSM leo August 14,2024.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Kesi Itaisha mwaka 2070, hata kama akishinda alipwe fidia, hailipwi mpaka Msajili wa Mahakama apeleke Certificate kwa Msajili wa Hazina, tutaona kama italipwa
 
Ila kuna watu wanafiki aisee Africa
Timu nzima imekamatwa watu kimya
Kuna mmoja kabla hata hawajakamatwa alisema kuwa wamguse tu wataona tunalinukisha
Hizi keyboards zina nguvu
 

“Naenda Mahakamani kufungua kesi kwanza ya kuvunjiwa mkutano wetu bila sababu, pili Viongozi na Wanachama wetu kupigwa bila sababu, tatu kukamatwa bila sababu, nne kufungwa bila sababu, tano uharibifu wa mali na mengine ambayo Wanasheria watapendekeza”

“Na tumesema tunamshtaki Shosti Nyahoza kama Shosti Nyahoza na tunamshtaki kamishna wa Polisi Awadhi Haji kama Awadhi Haji, hatutaki Mawakili wa Serikali waje waingilie tunataka tushungulike na hawa watuambia matendo yao yalikuwa halali namna gani na kama hayakuwa halali watuambie nani aliyewatuma” —— Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Tundu Lissu akiongea mbele ya Waandishi wa Habari DSM leo August 14,2024.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Safi sana
 
Policcm ni certified bandits
Yaani kama hilo Awdh, ni shetani la ajabu. Siyo tu halistahili kuwa na mamlaka lililiyo nayo, bali halitakiwi hata kuwa miongoni mwa binadamu. Hili ni sehemu ya shetani. Sijui Samia alilipandisha cheo kwa lengo gani!!
 
Kesi Itaisha mwaka 2070, hata kama akishinda alipwe fidia, hailipwi mpaka Msajili wa Mahakama apeleke Certificate kwa Msajili wa Hazina, tutaona kama italipwa
Kisiasa itakuwa imewasafisha
 
Sijui Samia alilipandisha cheo kwa lengo gani!!
Mkuu 'Bams', unauliza hili swali kweli. Hujui hii ndiyo timu ya ushindi 2025? Nina maana ya "ushindi" utakaopatikana kwa njia zozote; hasa haramu!
Wewe unadhani yupo hapo kwa bahati mbaya?
 
Kesi Itaisha mwaka 2070, hata kama akishinda alipwe fidia, hailipwi mpaka Msajili wa Mahakama apeleke Certificate kwa Msajili wa Hazina, tutaona kama italipwa
Endelea kuweweseka na kuishi kwa mazoea
 
Ila kuna watu wanafiki aisee Africa
Timu nzima imekamatwa watu kimya
Kuna mmoja kabla hata hawajakamatwa alisema kuwa wamguse tu wataona tunalinukisha
Hizi keyboards zina nguvu
Sielewi una maana gani.
Ulitaka "watu"; kwa maana ya waTanzania kulipuka kwa tukio hili, na kwa vile hawakulipuka liwape faraja watenda maovu?
Mnawadharau sana waTanzania, lakini hamjui ni lini hawa mnao wadharau watakapo amua kuwashughulikia. Hilo tu peke yake linatosha kuwatia hofu. Na lina watisha sana; ndiyo maana matendo yenu yanaonyesha hofu hiyo.
 
Back
Top Bottom