ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,966
- 2,596
Wasukuma sijui mkoje??ushamba nyie,ujinga nyie.ndo maana ngome ya ccm ni Kanda ya ziwaMwenye akili si ujibu maswali yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasukuma sijui mkoje??ushamba nyie,ujinga nyie.ndo maana ngome ya ccm ni Kanda ya ziwaMwenye akili si ujibu maswali yangu
Wala sikutaka walipuke bali nilikuwa nasoma comments tu kwenye mijadala ya humuSielewi una maana gani.
Ulitaka "watu"; kwa maana ya waTanzania kulipuka kwa tukio hili, na kwa vile hawakulipuka liwape faraja watenda maovu?
Mnawadharau sana waTanzania, lakini hamjui ni lini hawa mnao wadharau watakapo amua kuwashughulikia. Hilo tu peke yake linatosha kuwatia hofu.
Mkuu, Black Sniper', wala haihitaji mtu kuwa "mfuasi wa vyama" kujua jambo jema/baya linalohusisha mtu au kundi la watu; hata kama hukubaliani na mtu kundi hilo.Wala sikutaka walipuke bali nilikuwa nasoma comments tu kwenye mijadala ya humu
Sio mfuasi wa vyama kabisa ila nimechangia kutokana na maneno na upendo fake
Nimekuelewa mkuuMkuu, Black Sniper', wala haihitaji mtu kuwa "mfuasi wa vyama" kujua jambo jema/baya linalohusisha mtu au kundi la watu; hata kama hukubaliani na mtu kundi hilo.
Issue siyo kulipwa, issue ni kujulikana Nan kamtumaKesi Itaisha mwaka 2070, hata kama akishinda alipwe fidia, hailipwi mpaka Msajili wa Mahakama apeleke Certificate kwa Msajili wa Hazina, tutaona kama italipwa