Tundu Lissu nakushauli uungane na Mwabukusi, James Mbatia na Dr Slaaa mwanzishe CHAMA kipya

Tundu Lissu nakushauli uungane na Mwabukusi, James Mbatia na Dr Slaaa mwanzishe CHAMA kipya

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Jamani wa afrika sijui nani katuloga? Tunaullooo sanaa
na ubinafsi uliozidi.
Kwa upepo ulivyo ndani ya chadema Mbowe hawezi kuachia uwenyekiti wa chadema.
Maana kuna chawa wengi wamepewa pesa kwa ajili ya kumnanga lisu. Tayali wakina NYERERE na wenzie wameanza na propaganda, wapo tayali kumchsmgia Mbowe pesa ya kuchukulia form hii maana yake Mbowe atagombea .
Mbowe akigombea basi lisu hana chake, maana Mbowe yupo tayali kutumia pesa zake zote I'li awanunue wajumbe. Na lazima atashinda I'li kuendelea kulinda masilai yake.
Nashauli lisu anzisheni CHAMA kingine,na wakina mbatia, Mwabukusi, dr slaa nk, watanzania wapo na nyie ,tumechoka na siasa za akina Mbowe, Abduli,
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Jamani wa afrika sijui nani katuloga? Tunaullooo sanaa
na ubinafsi uliozidi.
Kwa upepo ulivyo ndani ya chadema Mbowe hawezi kuachia uwenyekiti wa chadema.
Maana kuna chawa wengi wamepewa pesa kwa ajili ya kumnanga lisu. Tayali wakina NYERERE na wenzie wameanza na propaganda, wapo tayali kumchsmgia Mbowe pesa ya kuchukulia form hii maana yake Mbowe atagombea .
Mbowe akigombea basi lisu hana chake, maana Mbowe yupo tayali kutumia pesa zake zote I'li awanunue wajumbe. Na lazima atashinda I'li kuendelea kulinda masilai yake.
Nashauli lisu anzisheni CHAMA kingine,na wakina mbatia, Mwabukusi, dr slaa nk, watanzania wapo na nyie ,tumechoka na siasa za akina Mbowe, Abduli,
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Jifunze basi kuandika.
 
Jamani wa afrika sijui nani katuloga? Tunaullooo sanaa
na ubinafsi uliozidi.
Kwa upepo ulivyo ndani ya chadema Mbowe hawezi kuachia uwenyekiti wa chadema.
Maana kuna chawa wengi wamepewa pesa kwa ajili ya kumnanga lisu. Tayali wakina NYERERE na wenzie wameanza na propaganda, wapo tayali kumchsmgia Mbowe pesa ya kuchukulia form hii maana yake Mbowe atagombea .
Mbowe akigombea basi lisu hana chake, maana Mbowe yupo tayali kutumia pesa zake zote I'li awanunue wajumbe. Na lazima atashinda I'li kuendelea kulinda masilai yake.
Nashauli lisu anzisheni CHAMA kingine,na wakina mbatia, Mwabukusi, dr slaa nk, watanzania wapo na nyie ,tumechoka na siasa za akina Mbowe, Abduli,
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Nyie tu wachawi wenyewe hata kura bado maneno mengi.
 
Uenyekiti hatoi Mbowe Bali ni wajumbe qa Mkutano Mkuu
Mbowe anaweza kuwa na mapungufu yake ni sawa. Lissu anaweza kuwa mbadala sahihi pia ni sawa. Ninachokiona si sawa ni approach inayotumika kuanzia kutangaza nia, kutetea na kunadi sera kwa watu wa Lissu!
 
Mbowe anaweza kuwa na mapungufu yake ni sawa. Lissu anaweza kuwa mbadala sahihi pia ni sawa. Ninachokiona si sawa ni approach inayotumika kuanzia kutangaza nia, kutetea na kunadi sera kwa watu wa Lissu!
Economist watanzania wamechoka na waliziano sijui,
 
Kuanzisha chama kikakua nakupata wafuasi wakutosha sio kazi rahisi kama kuandika hisia uku mtandaoni.unaweza ukaanzisha ila kikaishia kua kisindikizaji.Umaarufu wawatu kwenye kuongea misimamo ni tofauti sana na kutenda kwenye nchi zetu hizi ambazo wananchi bado hawajielewi.
 
Jamani wa afrika sijui nani katuloga? Tunaullooo sanaa
na ubinafsi uliozidi.
Kwa upepo ulivyo ndani ya chadema Mbowe hawezi kuachia uwenyekiti wa chadema.
Maana kuna chawa wengi wamepewa pesa kwa ajili ya kumnanga lisu. Tayali wakina NYERERE na wenzie wameanza na propaganda, wapo tayali kumchsmgia Mbowe pesa ya kuchukulia form hii maana yake Mbowe atagombea .
Mbowe akigombea basi lisu hana chake, maana Mbowe yupo tayali kutumia pesa zake zote I'li awanunue wajumbe. Na lazima atashinda I'li kuendelea kulinda masilai yake.
Nashauli lisu anzisheni CHAMA kingine,na wakina mbatia, Mwabukusi, dr slaa nk, watanzania wapo na nyie ,tumechoka na siasa za akina Mbowe, Abduli,
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Watagombana tu,wote much know 😁
 
Back
Top Bottom