Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashauli nn mkuu, ccm iendele kuwepo mileleKuanzisha chama kikakua nakupata wafuasi wakutosha sio kazi rahisi kama kuandika hisia uku mtandaoni.unaweza ukaanzisha ila kikaishia kua kisindikizaji.Umaarufu wawatu kwenye kuongea misimamo ni tofauti sana na kutenda kwenye nchi zetu hizi ambazo wananchi bado hawajielewi.
Harafu.....😆😆😆kuandika hujui harafu unataka LISu afanyaje
Watanzania hawa wa Simba na Yanga?Economist watanzania wamechoka na waliziano sijui,
Haahaa huo ndo ukweli, Lakini uchaguzi uwe huru na haki tuUenyekiti hatoi Mbowe Bali ni wajumbe qa Mkutano Mkuu
Haahaa hyo milele ni ndoto boss, Iko sikuUnashauli nn mkuu, ccm iendele kuwepo milele
Hao wajumbe watakuwa wapumbavuu wakimchagua tena Mbowe aliyechoka badala ya akili kubwa Lissu.Uenyekiti hatoi Mbowe Bali ni wajumbe qa Mkutano Mkuu
Hao wajumbe watakuwa wapumbavuu wakimchagua tena Mbowe aliyechoka badala ya akili kubwa Lissu.
Je wewe utaungana nao?Jamani wa afrika sijui nani katuloga? Tunaullooo sanaa
na ubinafsi uliozidi.
Kwa upepo ulivyo ndani ya chadema Mbowe hawezi kuachia uwenyekiti wa chadema.
Maana kuna chawa wengi wamepewa pesa kwa ajili ya kumnanga lisu. Tayali wakina NYERERE na wenzie wameanza na propaganda, wapo tayali kumchsmgia Mbowe pesa ya kuchukulia form hii maana yake Mbowe atagombea .
Mbowe akigombea basi lisu hana chake, maana Mbowe yupo tayali kutumia pesa zake zote I'li awanunue wajumbe. Na lazima atashinda I'li kuendelea kulinda masilai yake.
Nashauli lisu anzisheni CHAMA kingine,na wakina mbatia, Mwabukusi, dr slaa nk, watanzania wapo na nyie ,tumechoka na siasa za akina Mbowe, Abduli,
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Hata kuandika hujui. Ndio maana hujui pia taratibu za kuanzisha chama hadi kusajili na mchakato wavkuifanya iwe imara. Unachoshauri wewe ni kwamba Lisu aipasue CHADEMA aondoke na kundi kubwa jambo ambalo sio rahisi.Jamani wa afrika sijui nani katuloga? Tunaullooo sanaa
na ubinafsi uliozidi.
Kwa upepo ulivyo ndani ya chadema Mbowe hawezi kuachia uwenyekiti wa chadema.
Maana kuna chawa wengi wamepewa pesa kwa ajili ya kumnanga lisu. Tayali wakina NYERERE na wenzie wameanza na propaganda, wapo tayali kumchsmgia Mbowe pesa ya kuchukulia form hii maana yake Mbowe atagombea .
Mbowe akigombea basi lisu hana chake, maana Mbowe yupo tayali kutumia pesa zake zote I'li awanunue wajumbe. Na lazima atashinda I'li kuendelea kulinda masilai yake.
Nashauli lisu anzisheni CHAMA kingine,na wakina mbatia, Mwabukusi, dr slaa nk, watanzania wapo na nyie ,tumechoka na siasa za akina Mbowe, Abduli,
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Mbowe hawezi kumwachia supermarket yake hiyoHata kuandika hujui. Ndio maana hujui pia taratibu za kuanzisha chama hadi kusajili na mchakato wavkuifanya iwe imara. Unachoshauri wewe ni kwamba Lisu aipasue CHADEMA aondoke na kundi kubwa jambo ambalo sio rahisi.