Elections 2010 Tundu Lissu naye mwendo mdundo...!

Slaa alisema lissu ndio mrithi wa mikoba yake bungeni - ngoma inogile mjengoni ididomya!
 

Safi sana hiyo CCM wezi na mwaka huu lazima watakiona cha mtema kuni kilichomtoa kanga manyoya.
 
welaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. nimatokeo pekee niliyokuwa nikiyasubiri mno siku ya leo.ccm kazi ipo
 
Jamani wapendwa mwenye link ya Radio naomba anipatie niweze kujua kinachondelea maana nipo ofisin hakuna radio zaidi ya computer. Nisaidieni wapendwa
 
Nina hamu kubwa na mpiganaji wangu huyu
 
Kabila na Njowepo, hamnnishindi mimi...!! Nina hamu ya kupata confirmation kuwa kashinda, nimeshapata tetesi za ushindi wa mpiganaji huyu...!!
 
ndizo nazosubiri kwa hamu kubwa aisee
 
Mtanzania la leo linasema TUNDULISU ameshinda.
 
msiwe na hofu ameshinda. LISU Ni KISU kwa CCM. Mpiganaji wa dhati:nono::smile-big:
 
Waungwana wenye hamu ya kujua matokeo ya Mh. Antipasi TUNDU LISU, Ukweli ni kwamba sikukosea kumuita Mh. kwa maana it has been vehemently confirmed that TUNDU LISU has won the consistuency. Hivyo shak ondoa, mpiganaji wetu atakuwa mjengoni soon. thanks
 
Matokeo ya mwaka huu yanaonyesha dhahiri watu wanaanza kubadilika.
 
Kabila na Njowepo, hamnnishindi mimi...!! Nina hamu ya kupata confirmation kuwa kashinda, nimeshapata tetesi za ushindi wa mpiganaji huyu...!!
Na mimi nina hamu ya kujua huyu mpiganaji kafikia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…