Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...kwa hiyo enzi hizo ulikuwa unaweza kushinda hata kura zisitoshe? Maana unadai hii mara ya pili kushinda. Vipi Mzee wa LEAT, Mwanasheria kweli wewe?... kwa kushinda kiti hicho. Hii ni mara ya pili mara ya kwanza ilikuwa 1995 lakini kura hazikutosha ...Nimefanya kazi naye pale LEAT
Jamani niweke huru, unajua nn? Kuna mdada tuliwekeana dau kama Tundu Lissu akishinda mdada akasema hana ela ya kutoa ila atavua nguo zote hadharani,mi nkahaidi laki kama akishindwa. Nipe uhakika kama Lissu yuko juu nkamtafute uyu mdada magomeni! TUNDU LISSU OYEEe!
Acha roho mbaya we ccm nini...lolRaha jipe mwenyewe.
...kwa hiyo enzi hizo ulikuwa unaweza kushinda hata kura zisitoshe? Maana unadai hii mara ya pili kushinda. Vipi Mzee wa LEAT, Mwanasheria kweli wewe?