Elections 2010 Tundu Lissu naye mwendo mdundo...!

Elections 2010 Tundu Lissu naye mwendo mdundo...!

Hureeeeeeeeeeeeee!!

Sasa kazi imetimia upande wa Ubunge, tusubiri urais wa Daktari.
 
Very interesting and relaxing;

Nasema tena Namshukuru MUNGU mwaka huu kura yangu imekuwa na dhamani kubwa.

Hongera DK.SLAA Mkombozi wa Wanyonge kitu muhimu mara moja muanze mchakato wa kubadili katiba na Kuungana ili MAFISADI WAONDOKE KABISA NCHI HII.
 
MKUU,KWANGU MIMI NADHANI HAKUNA USHINDI MTAMU KAMA HUU WA lISU NA ULE WA sUGU KULE MBEYA MJINI,
Lisu anogopewa sana na akina makamba kwa umahiri wake na ushupavu ktk hoja.Ni yeye kiasi kikubwa ndiye aliyezima kampeni za maji taka dhidi ya Dr.wa ukweli(Phd)baada ya kuwatahadharisha kumwaga maovu yao.wengine walifukuzwa kazi huko nyuma n.k.
Huyu sugu nadhani watu wanaoumiza vichwa hivi sasa ni akina Kibonde na wale vigogo wao wa radio uhuru B(crauds fm)ambao walimpa maovu yote hata kujaribu kumfungulia kesi ya kifisadi ili ashindwe kugombea.Mungu si Athumani Kibonde kwa miaka mitano ijayo atawakiliswa na mheshimiwa J Mbilinyi na atake asitake atpiga saluti kwake;Sugu moto chini heeeeee! Sugu moto chini Haaaaaaaa!
Kweli nguvu ya umma inaongea,pamoja na kuchakachua kote bado majimbo kibao tena yale muhimu.GOD IS GREAT!!!
 
Baada ya kusoma pongezi za watu kwa Tundu Lisu na mmoja hata akisema ' Angekunywa Sumu' ikiwa Tundu Lisu asingeshinda, nimeona niombe mtu au watu wanaomfahamu Mbunge mteule waelezee namna wanavyomjua ...
 
Baada ya kusoma pongezi za watu kwa Tundu Lisu na mmoja hata akisema ' Angekunywa Sumu' ikiwa Tundu Lisu asingeshinda, nimeona niombe mtu au watu wanaomfahamu Mbunge mteule waelezee namna wanavyomjua ...

Trash for NOW
 
Angalau roho yangu ina amani
Tundu Lissu big up tuko nyuma yako Kwa sala nenda ukatete watanzania
 
huyu jamaa ni msomi aliyekuwa marekani eidha akifundisha au ameajiliwa kwenye law chamber mojawapo huko. alikuja tanzania akataka kuzama ndani ya ccm aka-bounce back. akaamua kuingia chadema na nadhani ni moja ya wanasheria ya chadema.
 
Natoa pongezi zangu za dhati kwa Lissu kwa kushinda kiti hicho. Hii ni mara ya pili mara ya kwanza ilikuwa 1995 lakini kura hazikutosha sasa zimetosha. Jimbo lake lilimegwa mara mbili ili kumfanya ashindwe na aliletewa Njau ambaye wana undugu wa mbali, wakili, na ana pesa nyingi ili kuhakikisha Lissu anashindwa. Nimefanya kazi naye pale LEAT, najua umahiri wake wa utafiti, kujenga hoja na kusema bila woga. Atatoa mchango mkubwa sana bungeni na tujiandae kwa hoja kali kutoka kwake.
 
huyu jamaa ni msomi aliyekuwa marekani eidha akifundisha au ameajiliwa kwenye law chamber mojawapo huko. alikuja tanzania akataka kuzama ndani ya ccm aka-bounce back. akaamua kuingia chadema na nadhani ni moja ya wanasheria ya chadema.

Hajawahi kuwa CCM. Mwaka 1995 aligombea NCCR-Mageuzi kura hazikutosha. Amefanya kazi LEAT ambacho ni taasisi ya Wanasheria Watetezi wa Mazingira ambayo nilipata bahati ya kuianzisha na kuingoza kuanzia mwaka 1994-2003. Ni Wakili mzuri sana na ndiye alitemtetea Dr. Slaa katika kesi ya uchaguzi. Umaarufu wake zaidi ni katika masuala ya madini na alikuwa mstari wa mbele kupinga mikataba ya madini na kupinga sheria mbovu ya madini.
 
kusema kweli tangu nimemfahamu sijawahi kusikia akimung'unya maneno
 
Maadamu tunaye LISU, basi Dr. Slaa ajenge CHADEMA kwa kuweka viongozi imara kwa Tanzania nzima.

Kazi kubwa sana mbele yetu. Na ahakikishe wale madiwani wa Chadema, wanajituma si kawaida ili kuweka mfano.

Mafanikio hayo ndiyo itakuwa Ticket ya Slaa mwakani 2015 bila kujali kama atashinda au atashindwa.

Wachakachuaji wamemaliza kazi maana usiku mzima wa jana walikuwa kazini.
 
Hureeeeeeeeeeeeeeee
Hey hey hey.....sasa naona KINUBI kimepata mpigaji mwingine tena. ALUTA CONTINUA.

Tundu Lisu.....juuuuuuu kabisa!:israel:😛eace:😛eace:
 
Hivi sasa lazima MIKATABA ya madini imeanza kurekebishwa. Maana kama Barrick na wenzake wakisia Tindu Lisu wanajua ni ROCKET ya vita vya VIETNAM. La, huyu jamaa kama ndo yule nimfahamuye, nitaanza kuhudhuria BUNGENI toka mkoani kwangu...du....MHHHHHH....I do/t trust both eyes and ears of mine.
 
Kwa mtaji huu tukiendelea na mikataba mibovu, ufisadi........na uchafu mwingine, Basi tujue tutakuwa tumelaaniwa, na aliyetoa laana kafa.Wapiganaji hongera sasa kazi ianze, ndio kwanza asubuhi, safari ya ukombozi bado mbichi.
 
Back
Top Bottom