Elections 2010 Tundu Lissu naye mwendo mdundo...!

"Eeh nafsi yangu umhimidi BWANA na vyote vilivyo ndani yangu vilihimidi jina lake Takatifu!" CHADEMA Veeeeeeeeeeeeemmmmmmmmmmmmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield:

halooo, sina neno lakini kupiga Magoti nakumshukuru Mungu.
 
nampongeza sanaaaaaaaaaaaaa,ninge kunywa sumu asinge pita
 
Piipooooooooooooooooooooooooz pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Kudos man.
 
Hongera mrithi wa mikoba ya Dr. Slaa bungeni.......................................Tunaamini mbunge mmoja wa Chadema ni sawa na hamsini wa CCm kiutashi na kihekima...............It is quality versus quantity......................
 
Duh! TUNDU!!? huyu Bwana nguvu yake ni kama wabunge 70 wa CCM tena wale wapiganaji katika vita ya ufisadi!.
DR. SLAA TUNAHESHIMU MCHANGO WAKO KWA WATANZANIA! Maana nguvu yako ilikuwa ya wabunge 100 umeamua ukae pembeni uingize wabunge wachache lakini ambao nguvu yao ni kama SUNAMI!
 
Hili bunge linachimbika mwaka huu. Maana huyu jamaa ni kichwa cha Missile za waisraeli za kuwadungulia mahezbolah
 
ngoja nifute machozi...............................yafuraha offcoz!:A S-cry:
 
Wera weraaaaaaaaaaaaaaaa wera weraaaaaaaaaaaaaaaa Hongera Lisu kaka hongera!!!!!!!!!!!
 
1 tundu = 20 thithiem mp's , da man, full confident full evedence, big up chadema.
 
BAM! Hapo sawa sasa, Dr Slaa amepata mwakilishi pale, jamaa sio mchezo nae hatoi mambo bila kusoma. Nadhani watawapa somo kwanza wenzao ili wakiingia mjengoni wawe na hoja za uhakikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…