MchukiaUonevu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 207
- 79
Bongo bana, yaani tifu la hawa jamaa linapewa promo kiasi hiki kweli? Ngoja tusubiri majibu baadae ili tujue nani kashinda. Najua tu wataongea na vyombo vya habari (Sugu) na huyu mwenzie tutajulishwa na mpambe wake (kibonde) soon. Japo nimependa kitendo chao cha kuondoa tofauti!