Tundu Lissu, Nchimbi wawapatanisha Mr Sugu na Ruge wa Clouds FM

Tundu Lissu, Nchimbi wawapatanisha Mr Sugu na Ruge wa Clouds FM

I dont trust Ruge!! Roho yake hutulia ukimpigia magoti!! Wasanii waweke msingi kutawala soko lao wawe na sauti!
 
Sugu and Ruge are nothing but a pair of opportunists who wish to aggrandize their popularity at any cost. Thus I don't see any point in their reconciliation inasmuch as their animosity was something deliberately organised in their own interest.
 
Sugu kwa upande wake amesema mgogoro wao ulikuwa ni vita vya kutetea maslahi ya wasanii, hivyo ni vita vyenye malengo, sasa kila vita vyenye malengo lazima vifike mwisho malengo yakitimia hivyo amesema maadam lengo la mapatano hayo ni kwa maslahi ya wasanii wote, anawaomba washabiki wake wote wakiwemo Vinega kutambua sasa bifu limekwisha. Akamtania Nchimbi kuwa hata yeye anajipanga kufanya makubwa zaidi ikiwemo kujiandaa kuushika wadhifa wa uwaziri kama Nchimbi (akimaanisha 2015!).
 
Pia nimeambiwa hyo ishu inazungumziwa redioni saivi "wafu fm"....
Natarajia kupata maelezo ya kutosha toka kwa Sugu, kwamba vita ile ya Anti-virus ulikuwa ni ugomvi binafsi na sio suala la la mfumo wa maslahi kimusic.....
Hii habari imeniharibia siku kudadake!
 
waendeleze harakati kwa kuwa virus co ruge tu....kama mmesikiliza antivirus volume 2 mtakuwa mmeligundua hilo
 
My Take.
Kupatana ni jambo jema, hivyo sasa tutaziona nyimbo za Sugu na Vinega zikirindima Clouds japo msitegemee kuusikia Anti virus!.

Kupatana ni jambo moja, kutekekeza mapatano ni jingine, na kuyatibu makovu ya bifu lao pia ni jambo jingine kabisa.

Kwa maoni yangu, nawaona Jo na Ruge ni magentlemen na sio watu wa visasi hivyo lazima wakubali to strech their reconciliation hands a bit more ili kuwa accomodate the wounded ones ambao wana makovu ya udhalimu wao!.

Nawapongeza wote kwa uamuzi huu!.
 
huwezi fanya mapatano na sisiem, sugu vipi tena? kwani walikupunguzia kitu hawa kilaudis? mbona tulikupa full suport mkuu!!!!!!!! umempa nchimbi ujiko wa bure, wakati alishajiporomokea na livazi lake la taifa, nataraji kuwe na ulaghai ili ubaya wa kina ruge aendelee kuwepo wa kuumwaga hadharani, i.e sugu moto chini.
 
Nahisi kama wamepatana kwa muda tu!
Maana kwa tamaa za Ruge sidhani kama mwafaka utadumu.
 
My Take.
Kupatana ni jambo jema, hivyo sasa tutaziona nyimbo za Sugu na Vinega zikirindima Clouds japo msitegemee kuusikia Anti virus!.

Kupatana ni jambo moja, kutekekeza mapatano ni jingine, na kuyatibu makovu ya bifu lao pia ni jambo jingine kabisa.

Kwa maoni yangu, nawaona Jo na Ruge ni magentlemen na sio watu wa visasi hivyo lazima wakubali to strech their reconciliation hands a bit more ili kuwa accomodate the wounded ones ambao wana makovu ya udhalimu wao!.

Nawapongeza wote kwa uamuzi huu!.
Very honest advice mkuu tena kutoka kwa mkongwe unayeheshimika kama wewe! Binafsi nimekaa na kuzungumza na hawa wasanii inahuzunisha sana! Tena wasanii wakubwa ajabu! Nakubali huu ni ulimwengu wa mabepari lakini walau uwe ubepari wenye utu na kuheshimu kazi ya mwenzio na si kumtumia kwa maslahi binafsi then una mdamp kidhalilishaji!! Nafikiri tumeona akina mzee kipara kule upande wa filamu wakifa ktk dhiki ya ajabu pamoja na kuwajenga hawa vijana wa sasa! Lazima ujengwe mfumo utaompa sauti msanii kupitia hakimiliki na sheria zingine muhimu pia kutengeneza soko huru kwa wenye vipaji.kwa kuwakumbusha pia Ruge na Sugu si mara ya kwanza kupatana na tatizo mara nyingi anakuwa Ruge kutaka kuonesha hakukosea ili Sugu ampigie magoti kama alivyozoea! Brother Ruge badilika mahangaiko haya ya Dunia tusiyoijua kesho tujifunze kuwa roho safi! Yetu macho!
 
Another Oscar winning movie in the making...Hiyo ndio TZ zaidi ya unavyoifahamu.

Mambo mengine ya kitaifa Kapuni.
 
Joseph Mbilinyi

TAARIFA:

KWANZA POLENI NA SAMAHANINI KWA HALI YA SINTOFAHAMU ILIYOTOKEA LEO KUTOKANA NA TAARIFA ZA GHAFLA ZA USULUHISHI KATI YETU NA RUGE/CLOUDS FM, NI KUTOKANA NA UNYETI WA ISSUE YENYEWE ILIBIDI TUFANYE HIVYO KWA NIA NJEMA KABISA...

KWANZA NAOMBA TUJIPONGEZE KWA KUWA TUKIO LA LEO NI USHINDI KWA VINEGA KWA MAANA KWAMBA MADAI YETU YOTE YA
MSINGI NDIO YALIKUWA MSINGI WA MAJADILIANO NA RUGE AMEKUBALI KUYATEKELEZA YOTE... KUANZIA SUALA LA STUDIO YA RAIS KURUDISHWA KWA BASATA ILI IWE YA WASANII WOTE, PIA T.F.U IJIKABIDHI KWA CHAMA HALALI CHA WASANII YAANI T.U.M.A KAMA AMBAVYO TULIKUWA TUNADAI NA MPAKA ISSUE ZA WASANII KUNYANYASWA NA KUBANIWA NA PIA SUALA LA MALIPO HAFIFU VYOTE VIMEJADILIWA NA KUKUBALIWA KWA UTEKELEZAJI...

HAIKUWA KAZI RAHISI, KWANZA ILIANZA KWA WAO KUMPIGIA MWENYEKITI WANGU MBOWE KUTAKA TUKAE CHINI, AMBAPO KAMANDA MBOWE ALINISHAURI TUKAE NAO CHINI KAMA KWELI WANA NIA YA KUYAMALIZA...

BAADAYE WAKAMPIGIA MR SHIGONGO AMBAYE NI WAZI KUWA NI KATI YA WATU WANGU WA KARIBU NAYE BAADA YA KUONGEA NA MR. KUSAGA TU ALINIPIGIA NA KUNISHAURI HIVYO HIVYO...

NA KAMA HAIKUTOSHA WAKALIFIKISHA HILI SUALA KWENYE KAMATI YA BUNGE AMBAYO ILINITAKA NIIPE MAELEZO YA KIINI CHA MGOGORO NA NIKAFANYA HIVYO AMBAPO PIA BAADA YA KUNIELEWA WAKASHAURI NIKAE NAO CHINI...

NA HATIMAYE SUALA HILI LIKAISHIA MIKONONI MWA WAZIRI NCHIMBI PAMOJA NA MHE. TUNDU LISSU (MP) KUWA WAPATANISHI WETU...WAZIRI NCHIMBI AKAANZA KWA KUMUITA RUGE DODOMA NA ALIKUJA TUKAKAA KWA HATUA YA KWANZA NA HATIMAYE LEO TUKAKAA TENA MAKAO MAKUU YA WIZARA YA UTAMADUNI CHINI YA DR NCHIMBI NA MHE TUNDU LISSU NA HATIMAYE TUKAFIKIA
HATUA HII YA LEO...

VITA YETU ILIKUWA NA HOJA HATUKUWA TUNAPIGANA TU KWA CHUKI BINAFSI KAMA BAADHI YA WATU WALIVYOKUWA WANAJARIBU KUIWEKA, KWAHIYO KAMA HOJA ZETU ZIMEELEWEKA KWA SASA TUNATAKIWA KUSHUKURU NA KUFURAHIA...

LAKINI NAOMBA NIWAHAKIKISHIE MISIMAMO IKO PALE PALE NA NIMEWAWEKA WAZI KUWA ANTI-VIRUS ITAENDELEA KUWEPO ILI
KUENDELEA KU-SCAN VIRUS WENGINE KAMA MAMENEJA MASOKO NA WENGINE WATAKAOJITOKEZA KWANI NCHI INAPOSHINDA VITA AU HATA KUFIKIA TU MAKUBALIANO YA AMANI NA NCHI ADUI YAKE HAINA MAANA NCHI HIYO INAVUNJA JESHI LAKE...
ASANTENI SANA...

Sos:FB
 
[h=6]Joseph Mbilinyi
[/h][h=6]TAARIFA:KWANZA POLENI NA SAMAHANINI KWA HALI YA SINTOFAHAMU ILIYOTOKEA LEO KUTOKANA NA TAARIFA ZA GHAFLA ZA USULUHISHI KATI YETU NA RUGE/CLOUDS FM,NI KUTOKANA NA UNYETI WA ISSUE YENYEWE ILIBIDI TUFANYE HIVYO KWA NIA NJEMA KABISA...KWANZA NAOMBA TUJIPONGEZE KWA KUWA TUKIO LA LEO NI USHINDI KWA VINEGA KWA MAANA KWAMBA MADAI YETU YOTE YA MSINGI NDIO YALIKUWA MSINGI WA MAJADILIANO NA RUGE AMEKUBALI KUYATEKELEZA YOTE...KUANZIA SUALA LA STUDIO YA RAIS KURUDISHWA KWA BASATA ILI IWE YA WASANII WOTE,PIA T.F.U IJIKABIDHI KWA CHAMA HALALI CHA WASANII YAANI T.U.M.A KAMA AMBAVYO TULIKUWA TUNADAI NA MPAKA ISSUE ZA WASANII KUNYANYASWA NA KUBANIWA NA PIA SUALA LA MALIPO HAFIFU VYOTE VIMEJADILIWA NA KUKUBALIWA KWA UTEKELEZAJI...HAIKUWA KAZI RAHISI,KWANZA ILIANZA KWA WAO KUMPIGIA MWENYEKITI WANGU MBOWE KUTAKA TUKAE CHINI,AMBAPO KAMANDA MBOWE ALINISHAURI TUKAE NAO CHINI KAMA KWELI WANA NIA YA KUYAMALIZA...BAADAYE WAKAMPIGIA MR SHIGONGO AMBAYE NI WAZI KUWA NI KATI YA WATU WANGU WA KARIBU NAYE BAADA YA KUONGEA NA MR. KUSAGA TU ALINIPIGIA NA KUNISHAURI HIVYO HIVYO...NA KAMA HAIKUTOSHA WAKALIFIKISHA HILI SUALA KWENYE KAMATI YA BUNGE AMBAYO ILINITAKA NIIPE MAELEZO YA KIINI CHA MGOGORO NA NIKAFANYA HIVYO AMBAPO PIA BAADA YA KUNIELEWA WAKASHAURI NIKAE NAO CHINI...NA HATIMAYE SUALA HILI LIKAISHIA MIKONONI MWA WAZIRI NCHIMBI PAMOJA NA MHE. TUNDU LISSU(MP) KUWA WAPATANISHI WETU...WAZIRI NCHIMBI AKAANZA KWA KUMUITA RUGE DODOMA NA ALIKUJA TUKAKAA KWA HATUA YA KWANZA NA HATIMAYE LEO TUKAKAA TENA MAKAO MAKUU YA WIZARA YA UTAMADUNI CHINI YA DR NCHIMBI NA MHE TUNDU LISSU NA HATIMAYE TUKAFIKIA HATUA HII YA LEO...VITA YETU ILIKUWA NA HOJA HATUKUWA TUNAPIGANA TU KWA CHUKI BINAFSI KAMA BAADHI YA WATU WALIVYOKUWA WANAJARIBU KUIWEKA,KWAHIYO KAMA HOJA ZETU ZIMEELEWEKA KWA SASA TUNATAKIWA KUSHUKURU NA KUFURAHIA...LAKINI NAOMBA NIWAHAKIKISHIE MISIMAMO IKO PALE PALE NA NIMEWAWEKA WAZI KUWA ANTI-VIRUS ITAENDELEA KUWEPO ILI KUENDELEA KU-SCAN VIRUS WENGINE KAMA MAMENEJA MASOKO NA WENGINE WATAKAOJITOKEZA KWANI NCHI INAPOSHINDA VITA AU HATA KUFIKIA TU MAKUBALIANO YA AMANI NA NCHI ADUI YAKE HAINA MAANA NCHI HIYO INAVUNJA JESHI LAKE...

ASANTENI SANA...
[/h]
 
attachment.php
\

Kuna habari kuwa Sugu amelamba bahasha ya kaki iliyonona
 
King Kong,

Habari ni nzuri sana lakini heading yake hujhaitendea haki.

Hii habari ni nzuri sana kwa wasanii wa muziki wa kizazi kipya lakini pia na washabiki na wapenzi wa muziki kwa ujumla.

Napenda nitumie fursa hii kuwapongeza Mh. Sugu na Bw. Ruge bila kuwasahau Mh. Nchimbi na Mh. Lissu kwa kufanikisha suluhu na muafaka huu, sasa kazi iwe ni moja tu kuendeleza udugu na ushirikiano kwa manufaa ya pande zote mbili.

Nimekumbuka ile methali isemayo, ndugu wapatanapo, chukua jembe ukalime, sasa hapa mjini itabidi tukalime lami!!:lol::lol:
 
King Kong,

Habari ni nzuri sana lakini heading yake hujhaitendea haki.

Hii habari ni nzuri sana kwa wasanii wa muziki wa kizazi kipya lakini pia na washabiki na wapenzi wa muziki kwa ujumla.

Napenda nitumie fursa hii kuwapongeza Mh. Sugu na Bw. Ruge bila kuwasahau Mh. Nchimbi na Mh. Lissu kwa kufanikisha suluhu na muafaka huu, sasa kazi iwe ni moja tu kuendeleza udugu na ushirikiano kwa manufaa ya pande zote mbili.

Nimekumbuka ile methali isemayo, ndugu wapatanapo, chukua jembe ukalime, sasa hapa mjini itabidi tukalime lami!!:lol::lol:

Mwita Maranya relax kwanza,kivipi siitendei haki tittle?

"KWANZA POLENI NA
SAMAHANINI
KWA HALI YA SINTOFAHAMU ILIYOTOKEA
LEO". Na "Sugu aomba msamaha kwa yalitokea leo" tofauti nini hapo?
 
Back
Top Bottom