Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwita Maranya relax kwanza,kivipi siitendei haki tittle?
"KWANZA POLENI NA
SAMAHANINI
KWA HALI YA SINTOFAHAMU ILIYOTOKEA
LEO"
Hapo ninamaanisha kwamba, heading ilitakiwa kubeba uzito zaidi ya ulivyoiweka. Maana hili si suala la kuomba msamaha tu bali, hii ni suluhu ambayo tumekuwa tukiifikiria muda mrefu, sasa ilipotoka taarifa kama hii ndipo nikadhani ungeweka umuhimu kwenye muafaka/suluhu ya Sugu na Ruge. Lakini nadhani heading hiyo uliyochagua ndiyo angle uliyolitazama swala lenyewe, poa tu hakuna shaka tuko pamoja.
sasaaliyeomba msamaha ni sugu au ruge? hapa naona ruge ndio kaomba msamaha amekubali ili yaishe manake vinega mziki wao ulikuwa sio wa kititi na walikuwa wanaendelea kusambaa kwa kasi na waliokuwa wanaumia ni wasanii.
sasaaliyeomba msamaha ni sugu au ruge? hapa naona ruge ndio kaomba msamaha amekubali ili yaishe manake vinega mziki wao ulikuwa sio wa kititi na walikuwa wanaendelea kusambaa kwa kasi na waliokuwa wanaumia ni wasanii.