Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #561
Kama hoja hii ni ukweli, then naomba mnisamehe sana, maana, mimi ni miongoni mwa tuliomchagiza Lissu agombee!.tulikosea Sana kumwamini lissu kuwa anafaa kuwa rais wa nchi ,tulikosea Sana, mwanaharakati,lissu Hana japo chembe ya hekima ,anatukana Kila kitu mtu, siasa haziwezi tulikosea Sana.
Kwa jinsi nilivyomsikia Tundu Lissu na namna anavyoongea, then huyu Tundu Lissu ni typical yuko kama Magufuli type tena yeye ni zaidi ya Magufuli!.
NB. Sijasema Lissu ni zaidi ya Magufuli kwenye nini, na nawaomba sana msiniulize!.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Mkuu NTIGAHELA , Hili la Lissu kufanana na JPM, hata mimi niliwahi kulisema humu.Lisu hana maana kabisa sifa kubwa ni Hasira. huyu jamaa ni magufuli mwingine
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali tuu, Ili uchaguzi wa 2020 usiwe ni igizo tuu la uchaguzi, Je tumchagize na kushinikiza Tundu Lissu ndiye asimamishwe na upinzani kumkabili John P. Magufuli? kwa sababu mpaka sasa, Tundu Lissu ndie mwanasiasa pekee wa upinzani ambaye so far, ameonyesha ana uwezo wa kumkabili Magufuli kwa vile uwezo wake ni zaidi ya Magufuli?
Kama kawaida yangu, kwenye kila
NB. Sijasema Lissu ni zaidi ya Magufuli kwenye nini, na nawaomba sana msiniulize!.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Mkuu MAPITO Mwanza, jee wajua mimi ni miongoni mwa waliomshauri Lissu agombee?. Hili sio jema?.Mayalla yeye tujiulize yeye kayajuaje Mambo ya Chadema wakati sio mwana Chadema kumbuka anayoyajua ndani ya Chadema hua ni Yale mabaya tuu hajawahi ona mazuri hata siku Moja
Pamoja na yote ila wewe ni ndumila kuwili wasukuma hatuko hivyo labuda wasukuma wa darMkuu MAPITO Mwanza, jee wajua mimi ni miongoni mwa waliomshauri Lissu agombee?. Hili sio jema?.
P
Huyu mwamba ameingia leo, kwavile ni mimi nilimshauri Tundu Lissu amkabili Magufuli ile 2020, kwa vile 2025 mgombea urais wa CCM ni Mwanamke, hii hamasa kubwa kumpokea Lissu ni kiashiria Lissu anaweza kushawishiwa uchaguzi wa 2025 Lissu amkabili mgombea Mwanamke wa CCM!.Wanabodi,
Hivyo kwa vile Watanzania huwa hawachagui sera wala hawachagui vyama bali huchagua watu, kama, Magufuli ameweza kuchaguliwa kihalali na kumshinda Edward Lowassa, kwenye uchaguzi Mkuu huru na wa haki, then you cannot tell about Watanzania huwa wanachagua nini, hivyo Tundu Lissu ambaye ni zaidi ya Magufuli, akisimama na Magufuli, you can never tell what will happen!, Magufuli naweza akaachwa mbali sana! , ila litabaki swali moja tu dogo, with reference ya kilichotokea Zanzibar, hata huku bara, je ikitokea kweli Chadema ikamsimamisha Tundu Lissu na ikatokea Tundu Lissu akishinda, jee atapewa?.
NB. Sijasema Lissu ni zaidi ya Magufuli kwenye nini, na nawaomba sana msiniulize!.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Ukweli unaujua kinachopigwa katika box la kura kwa upande wa urais kwa Tanzani bado ni geresha tu , policcm na vyombo vingine rais wanakua nae tayari.Huyu mwamba ameingia leo, kwavile ni mimi nilimshauri Tundu Lissu amkabili Magufuli ile 2020, kwa vile 2025 mgombea urais wa CCM ni Mwanamke, hii hamasa kubwa kumpokea Lissu ni kiashiria Lissu anaweza kushawishiwa uchaguzi wa 2025 Lissu amkabili mgombea Mwanamke wa CCM!.
That will be a mistake!. Chadema imuweke Tundu Lissu standby iwapo CCM itasimamisha mgombea mwanamume, then Chadema impitishe Lissu, lakini CCM ikimsimamisha mgombea urais Mwanamke ili kumlindia heshima Lissu na kuepushia kufadhaika kwa kugalagazwa kwa kushindwa na Mwanamke, Chadema nayo iteue na kumsimamisha mgombea Mwanamke maana sio busara kumshindanisha jianadume zima na Mwanamke, kushindwa na Mwanamke ni aibu, ata aibika, atadhalilika, kufedheheka, kutahayari, kunyong'onyea na kusononeka!.
Dear School mate Tundu Lissu, najua umepitia makubwa. Welcome back home. Nakuomba sana upunguze kidogo kuliishi jina lako, usimsumbue huyu Mama kama ulivyomsumbuaga yule Madam, Mwenyekiti wako Mbowe tayari ameisha onyesha uungwana na ustaarabu mkubwa, wa hali ya juu@, please do the same!, tufanye siasa za kiungwana na kistaarabu. Kubebwa bebeka, ukipedwa pendeka, ukishikwa shikamana, ukiaminiwa jiaminishe!.
Yaliyopita si ndwele, samehe, tugange yajayo tusonge mbele!.
Welcome back home.
Your school mate
Pasco
Umezeeka vibaya,hivi kwa umri wako hujawahi kujua kuwa CCM wanaiba kura za Urais,ubunge na madiwani. Ashindane kwa tume ipi ya uchaguzi,sisi wa juzi tumejionea watendaji wa serikali na vyombo vya usalama vikipora mabox ya Kura eti wameelekezwa bila hivo kazi hawana. Alfu wewe na uzee wako unaropoka ni vema ujielekeze kuishauri CCM ikubali katiba Mpya kwa Nini inaiogopa,We ni Mnafiki na kwa akili hizo hupaswi kushauri chochote.Huyu mwamba ameingia leo, kwavile ni mimi nilimshauri Tundu Lissu amkabili Magufuli ile 2020, kwa vile 2025 mgombea urais wa CCM ni Mwanamke, hii hamasa kubwa kumpokea Lissu ni kiashiria Lissu anaweza kushawishiwa uchaguzi wa 2025 Lissu amkabili mgombea Mwanamke wa CCM!.
That will be a mistake!. Chadema imuweke Tundu Lissu standby iwapo CCM itasimamisha mgombea mwanamume, then Chadema impitishe Lissu, lakini CCM ikimsimamisha mgombea urais Mwanamke ili kumlindia heshima Lissu na kuepushia kufadhaika kwa kugalagazwa kwa kushindwa na Mwanamke, Chadema nayo iteue na kumsimamisha mgombea Mwanamke maana sio busara kumshindanisha jianadume zima na Mwanamke, kushindwa na Mwanamke ni aibu, ata aibika, atadhalilika, kufedheheka, kutahayari, kunyong'onyea na kusononeka!.
Dear School mate Tundu Lissu, najua umepitia makubwa. Welcome back home. Nakuomba sana upunguze kidogo kuliishi jina lako, usimsumbue huyu Mama kama ulivyomsumbuaga yule Madam, Mwenyekiti wako Mbowe tayari ameisha onyesha uungwana na ustaarabu mkubwa, wa hali ya juu@, please do the same!, tufanye siasa za kiungwana na kistaarabu. Kubebwa bebeka, ukipedwa pendeka, ukishikwa shikamana, ukiaminiwa jiaminishe!.
Yaliyopita si ndwele, samehe, tugange yajayo tusonge mbele!.
Welcome back home.
Your school mate
Pasco
One cannot steal from himself, Tanzania ni mali ya CCM, hivyo CCM haiwezi kuiba chochote bali ni inachukua tuu!.Umezeeka vibaya,hivi kwa umri wako hujawahi kujua kuwa CCM wanaiba kura za Urais,ubunge na madiwani. Ashindane kwa tume ipi ya uchaguzi,sisi wa juzi tumejionea watendaji wa serikali na vyombo vya usalama vikipora mabox ya Kura eti wameelekezwa bila hivo kazi hawana. Alfu wewe na uzee wako unaropoka ni vema ujielekeze kuishauri CCM ikubali katiba Mpya kwa Nini inaiogopa,We ni Mnafiki na kwa akili hizo hupaswi kushauri chochote.
Kikatiba upo sawa nayaheshimu mawazo yako.
Leo nilikuwa naangalia archives za AP media nikapitia kutazama siku Moi anamkabidhi Kibaki Madaraka akiwa kwenye wheelchair na kuhitimisha utawala wake wa miaka 24 na utawala wa KANU tangu wapate uhuru.One cannot steal from himself, Tanzania ni mali ya CCM, hivyo CCM haiwezi kuiba chochote bali ni inachukua tuu!.
P
Mkuu Matrix19 , nilitamani kukuuliza huyo asietegemewa ni kama nani vile wa kuing'oa CCM madarakani from CCM wenyewe?. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Rais mzuri wa Tanzania, lazima atatoka CCM tuu. Je tuendelee kutegemea hili kwa uchaguzi wa 2025?, mimi hesabu zangu zilikuwa ni kwa uchaguzi wa 2030 Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika! hivyo nimewashauri wapinzani Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030!Bado nina imani ipo siku japo sio karibu sana au mbali sana CCM itang'oka madarakani ila sio kupitia vyama vingine pinzani bali ni movement za mtu/watu asiyetegemewa/wasiotegemewa kabisa.
Mkuu Nginana, leo nilikuwa napitia post yako hii ya 2017 ilikuwa very objective. Tundu Lissu sasa anajipanga kumkabili Samia 2025, what are the stakes?.Pascal Mayalla,
Pascal naunga mkono hoja yako.
Kuhusiana na swali lako kama Tundu Lissu akishinda atapewa ushindi au la, ni wazi kuwa kwa mazingira yaliyopo hatapewa.
Kwanza ni vizuri ieleweke kuwa CCM bado ni chama dola na Tanzania bado iko katika mfumo wa utawala wa udikteta wa chama (dola). Huu uchama dola na udikteta wa chama kimazingira vimesimikwa kikatiba na kisheria. Mapendekezo ya Jaji Nyalali yaliyokuwa na lengo la kuiondolea CCM hii hadhi ili vyama vyote vya siasa viwe na uwanja sawa wa mapambano ya kisiasa nchini yalitupiliwa mbali.
Sifa moja kubwa ya mfumo wa udikteta wa chama dola ni kukosekana kwa demokrasia ndani na nje ya chama. Hii maana yake ni kwamba, kwa mfano, wananchama hawana sauti katika maamuzi makubwa yanayohusu chama kama nani apeperushe bendera ya chama katika uchaguzi wa urais.
Nafasi ya kutoa maamuzi ambayo yangetolewa na wananchama kidemokrasia kuhusiana na nani awe mgombea urais kwa tiketi ya chama huporwa na kutekwa na kikundi kidogo cha vigogo (kinaitwa deep state) ambacho sio rasmi lakini ndicho chenye maamuzi ya mwisho. Na deep state ikiishamua ni nani awe mpeperusha bendera wa chama dola basi biashara imekwisha; huyo ndiye de facto rais wa nchi. Huu ndio utaratibu unaotumika kwenye mifumo ya kiutawala ya Kikomunisti/Kijamaa na ambao CCM imeurithi.
Kiufafanuzi, itakumbuka mwaka juzi wakati wa kinyang'anyiro cha kumpata mgombea urais wa CCM wajumbe wa kamati kuu (CC) ya CCM Sophia Simba na Emmanuel Mchimbi walishangaa na kuhamaki ni vigezo gani vilitumika "kuwakata" watia nia zaidi ya 30 akiwemo mtu wao. Hii maana yake ni kwamba hata CC kwenye hili suala ilikuwa ni rubber stamp tu!
Ni deep state pia ndio imeweka utaratibu unaofuatwa siku zote (ambao pia sio rasmi kikatiba) wa kupokezana urais kati ya waumini wa dini mbili kubwa nchini. Na haitoshi tu rais kuwa muumini ya moja kati ya hizo dini mbili kubwa nchini, pia ni lazima atoke katika kikundi/dhehebu fulani.
Pamoja na haya maelezo, ni muhimu sana kwa upinzani na hasa Cdm kuwa na mgombea urais mwenye nguvu za kisiasa zinazotokana na uthubutu wake, uwezo wa kujenga hoja, ushawishi na weledi. Kama ulivyosema katika kambi ya upinzani mwenye hizi sifa kwa sasa ni Tundu Lissu pekee.
Lakini ni muhimu zaidi kwa upinzani kuweka mikakati makhsusi ya kuhakikisha wanaongeza idadi ya wabunge na madiwani. Lengo kimkakati liwe ni kufikia uwiano wa idadi ya wabunge katika bunge na madiwani katika mabaraza utakaowezesha kuwepo kwa checks and balances; kitu ambacho ni muhimu kwa demokrasia kushamiri pamoja na kuwepo kwa uwajibikaji.
Nitarudi ili kujaribu kutegua hiki kitendawili: "Sijasema Lissu ni zaidi ya Magufuli kwenye nini, na nawaomba sana msiniulize!"
Kwani KANU haitawali sasa hao wanaotawala sasa si ni wale wale wa KANU ila wamekuja na vyama vingine kuwadanganya wakenya!!?Leo nilikuwa naangalia archives za AP media nikapitia kutazama siku Moi anamkabidhi Kibaki Madaraka akiwa kwenye wheelchair na kuhitimisha utawala wake wa miaka 24 na utawala wa KANU tangu wapate uhuru.
Bado nina imani ipo siku japo sio karibu sana au mbali sana CCM itang'oka madarakani ila sio kupitia vyama vingine pinzani bali ni movement za mtu/watu asiyetegemewa/wasiotegemewa kabisa.
KANU inatawala kwa kigezo kipi?Kwani KANU haitawali sasa hao wanaotawala sasa si ni wale wale wa
Una uhakika KANU ndio inatawala na kwahivyo KANU ni chama chenye viti vingi bungeni??KANU ila wamekuja na vyama vingine kuwadanganya wakenya!!?
Mwenye akili pevu tu ndio anaweza kuelewa nilichoandika.KANU inatawala kwa kigezo kipi?
Una uhakika KANU ndio inatawala na kwahivyo KANU ni chama chenye viti vingi bungeni??
Wanabodi baada ya mnyama Simba kupewa jina la TL, kuna siku nilisema TL ni zaidi ya Magufuli, hivyo leo mnyama Simba alipopewa jina TL, nikalikumbuka bandiko hili, I was right.Wanabodi,
Kwa jinsi nilivyomsikia Tundu Lissu na namna anavyoongea, then huyu Tundu Lissu ni typical yuko kama Magufuli type tena yeye ni zaidi ya Magufuli!.
NB. Sijasema Lissu ni zaidi ya Magufuli kwenye nini, na nawaomba sana msiniulize!.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Wanabodi,Wanabodi,
Mhe. Tundu Lissu ndiye anayeongoza kwa kuleta vurugu aliponyanyuka akamvurumishia tena Makombora mazito, na kama angeendela kidogo tuu!, Spika ange break down kwa machozi!. (Naamini akifika ofisini kwake, atajifungia kidogo na kuimalizia hasira yake the same way wanawake wote wanamalizaga hasira zao!).
Kwa kuzingatia sifa kuu iliyomfanya Mama kuchaguliwa akiujua fika uwezo wa Madam kwanini anaendelea kumsulubisha kila apatapo fursa?!. This is not fair!.
Kwa vile Mama amepewa cheo kwa ajili ya gender issue, kwa uzi huu, namuomba Mhe. Tundu Lissu na Kambi ya Upinzani, wanapokuwa na hoja za msingi, wamuaddress Madam with courtesy of addressing a decent, honorable lady, ili ku restore confidence ambapo kwa sasa, ameshindwa kabisa, kwa hasira,
Nawauliza wajameni, hivi hiki anachofanya Mhe. Lissu na wengine kumsubulu Madam ambaye ni mwanamke bila huruma, ni sawa kweli?!.
Kiafrika, wanawanake ni ni watu wa kubembelezwa na kuonewa huruma!, hivi hawa wapinzani ni watu wa aina gani wasio hata na huruma kwa wanawake?!, leo ilibakia kidogo tuu madam angelia!, jee hiki wanachofanya ni sawa kweli?!. Ni haki?!
Nawaombeni wapinzani tumtendee haki Madam wetu aendesha kwa haki na kujiamini!. Pia tunamuomba Tundu Lissu aache kumuonea mwanamke, asubiri tupate tena mwanaume mwenzake ndio wapambane, Kiafrika sio vizuri kwa mwanaume kupambana na mwanamke, huku ni kumuonea.
Atakapokuja kutokea mwamume ndio Lissu apambane na sio kumyanyasa Mwanamke.
Pasco.
Kazi iendelee 2025?, TL ndie asimame na Samia?.Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali tuu, Ili uchaguzi wa 2025 usiwe ni igizo tuu la uchaguzi, Je tumchagize na kushinikiza Tundu Lissu ndiye asimamishwe na upinzani kumkabili Samia? kwa sababu mpaka sasa, Tundu Lissu ndie mwanasiasa pekee wa upinzani ambaye so far, ameonyesha ana uwezo wa kumkabili Samia kwa vile uwezo wake ni zaidi ya Samia?