Pre GE2025 Tundu Lissu ndiye kiongozi mwenye mvuto zaidi Tanzania, Wananchi wanampenda hata bila kutumia nguvu ya Wasanii/machawa

Pre GE2025 Tundu Lissu ndiye kiongozi mwenye mvuto zaidi Tanzania, Wananchi wanampenda hata bila kutumia nguvu ya Wasanii/machawa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Kila nikijaribu kufuatilia Siasa za Tanzania kwasasa naona Tundu Lissu, ndiye mtu mwenye mvuto na ushawishi zaidi nchini. Wananchi wanampenda hata bila kutumia nguvu ya Wasanii/machawa.

Kiongozi huyo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amejenga sifa ya kuwa kiongozi anayewakilisha matumaini ya wananchi wengi wa Tanzania, kutokana na ujasiri wake, uadilifu, na msimamo wake wa haki na kukemea ufisadi.

Lissu anaweza kuwa mwanga wa matumaini kwa wananchi wanaotamani mageuzi ya kisiasa na kijamii katika nchi yao. Huu ni wakati wako TAL wa kuikomboa nchi.

Leo Lissu ameitisha press hajaita wakina Baba Levo wala kina Mwijaku lakini Tanzania yote imesimama wakati kuna chama hata kugawa mitungi ya gesi tu lazima waite wasanii.

CCM nendeni pale Mikocheni mkachukue notes kutoka kwa Tundu Lissu. Acheni siasa za majitaka.


1739368585643.png
 
labda mvuto wa kuvaa bullet proof vest, makelele na kupiga mdomo :BASED:
 
Pole sana, umekazania bullet proof as if ni ishunya maana sana. Ndio ameshakuwa kiongozi kashtaki sasa 🤣🤣🤣🤣
relax gentleman,
hicho ndicho kinampa mvuto zaidi huyo kibaraka zaidi ya upotoshaji amabao anaendelea nao kwenye hotuba yake :pedroP:
 
Wakuu

Kila nikijaribu kufuatilia Siasa za Tanzania kwasasa naona Tundu Lissu, ndiye mtu mwenye mvuto na ushawishi zaidi nchini. Wananchi wanampenda hata bila kutumia nguvu ya Wasanii/machawa.

Kiongozi huyo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amejenga sifa ya kuwa kiongozi anayewakilisha matumaini ya wananchi wengi wa Tanzania, kutokana na ujasiri wake, uadilifu, na msimamo wake wa haki na kukemea ufisadi.

Lissu anaweza kuwa mwanga wa matumaini kwa wananchi wanaotamani mageuzi ya kisiasa na kijamii katika nchi yao. Huu ni wakati wako TAL wa kuikomboa nchi.

Lissu ni kiongozi shupavu
 
Jeshi la mtu mmoja hili, nyie kutwa nzima makelele ya machawa mara wasanii wote mnawahamishia Dodoma sijui mpaka machawa wa Kenya wanakuja kuwasaidia
calm down gentleman,

mzee wa mdomo na makelele ni mpotoshaji na muongo wa kiwango cha juu sana dah :pedroP:
 
Bado Ana kibarua kizito mbele yake, kwanza kuponya majeraha, akina bon yai hawajawa sawa bado. Pili, kukiinua chama kiuchumi hata posho za viongozi ngazi ya chini na ofisi za chama wilayani na mikoani huko bado ni changamoto, Tatu an kibarua cha kuweka mikakati thabiti ya uteuzi wa wagombea majimboni ili angalau wapatikane kadhaa watakaoimarisha chama wakitokea bungeni. Mungu amsaidie.!
 
Huo ukibaraka mbona mmeshindwa kuudhibitisha? Hamna kesi mmefungua wala lolote? + leo hajavaa bullet proof? Una lingine la kulalamikia mtoto?
kuvaa bullet proof vest si ilikua kiki na unafiki tu uliolenga kumchafua kiongozi wa chadema ati ni tishio la usalama wake hali ya kua anasingizia taasisi zilizo nje ya chadema,

wacha tusikilize upotoshaji zaidi wa kibaraka huyu wa mabwenyenye ya magharibi :pedroP:
 
kuvaa bullet proof vest si ilikua kiki na unafiki tu uliolenga kumchafua kiongozi wa chadema ati ni tishio la usalama wake hali ya kua anasingizia taasisi zilizo nje ya chadema,

wacha tusikilize upotoshaji zaidi wa kibaraka huyu wa mabwenyenye ya magharibi :pedroP:
Bwahahah tafuta topic nyingine. Kama walio mchagua hawakuona hilo ww ni nani bwana mdogo?
Kaa utulie. Ndio imeshakuwa
 
muda wenu wa kuwanyonya Watanzania unafikia ukomo asap :ACTINUP:
vibaraka na upotoshaji wao hakuna mahali wanaenda Tanzania gentleman,

uoga na uvivu wako ndio umaskini wako.

ni vizuri watu wa midomo na makelele mkajikusanya na kupeana moyo kama pwagu na pwaguzi :pedroP:
 
Back
Top Bottom