Pre GE2025 Tundu Lissu ndiye kiongozi mwenye mvuto zaidi Tanzania, Wananchi wanampenda hata bila kutumia nguvu ya Wasanii/machawa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bwahahah tafuta topic nyingine. Kama walio mchagua hawakuona hilo ww ni nani bwana mdogo?
Kaa utulie. Ndio imeshakuwa
topic ni mvuto wa mpotoshaji,

ambae akivaa bulet proof vest anavutia sana na kupata huruma ya wadau
 
Sawa ila hivyo ni vitu vidogo sana ukilinganisha na majeraha ya Watanzania wengi ambao wana majeraha makubwa mioyoni mwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…