Tundu Lissu, nenda mahakamani badala ya kulalamika huko Kenya

Unaonekana unaumia sana
Sio kuumia TU bali lakini heshima yake imeishusha. Eti hakuona baya loloye kule Kenya, hata wakenya walimpiuza sana. Eti kule Kenya hakuona baya hata Moja na Tanzania hakuna zuri hata moja. Ni upuuzi mtupu usiokubalika Kenya na Tanzania.
 
Skiza dogo..
Sio wakenya wanahitaji au wanatamani style ya CCM bali ni sirikale yao ndio imatamani inayofana sirikale ya 🐐🐸🐸 bahati mbaya wamekwama sababu Kenya wanatawala watu wenye akili wanaojitambua kuliko huko TANZANIA na sirikale yenu inayofurahia kutawala misukule
 
End result ya siasa na utawala ni amani, usalama na ustawi wa wananchi wake bila kubaguana; fursa sawa kwa walio wengi. Tanzania kwenye haya iko mbali sana ya Kenya na nchi nyingi Afrika.
 
End result ya siasa na utawala ni amani, usalama na ustawi wa wananchi wake bila kubaguana; fursa sawa kwa walio wengi. Tanzania kwenye haya iko mbali sana ya Kenya na nchi nyingi Afrika.
Ukiniambia iko mbali sana kwa ukatili ukandamizaji ubadhilifu utekaji uuaji nitakuelewa
 
Ukiniambia iko mbali sana kwa ukatili ukandamizaji ubadhilifu utekaji uuaji nitakuelewa
Hata huko nchi za Magharibi kuna watu wanapotea, wanakamatwa tyuuu, wanauawa, wanafukuzwa nchi na kufungwa gerezani. Mimi binafsi sina mashaka na watu wawili watatu wanaopotea kwenye nchi. Kwenye nchi wapo wahalifu, wahujumu, hawaini na vibaraka wa nchi nyingine. Usalama wa taifa watakuwa na kazi gani kama sio kuwajua, kuwafichua na kuwachukulia hatua watu hao kulingana na udogo na ukubwa wa makosa yao? Mbona wewe na mimi hatujatekwa wala kuawa, wanaotekwa wamefanya nini?
 
Tz ni njema except kwa wakora tu waliozoea kufinywa kila siku.
 
Haki za binadamu ziko nchi gani hapa duniani? Hata wanyama wanakulana. Ulaya ndio kabisaa hakuna haki Wala demokrasia, ni bomu juu ya bomu hata kwa watoto na wanawake. Ona alochokifanya Rais wa Marekani, kama angefanya hivi mama Samia wanasiasa uchwara kama Lisu wangesemaje?

View: https://youtu.be/ZcpqKXY_59w?si=qErHytFFqwIiJalH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…