DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Tena kwa kuhara baada ya kula mipilau ya LumumbaChoiceVariable na mwashamba wanajinyea
Hivi wewe ni Maghayo ?GOAT wa Siasa Tz kwangu ni Magufuli
Mkali, matendo ni mengi kuliko maneno, hacheki na wezi
Sawa fundi bishooNakupendaga, nikuone PM
Imekua hivyo tena? Maghayo aniniambia mimi ni GWAMAKA USWEGE Alexander The Great Deeboyfrexh wewe leo unaniambia ni fundi bishoo?Sawa fundi bishoo
Wewe unaniambia mimi ni Maghayo kwanini?Imekua hivyo tena? Maghayo aniniambia mimi ni GWAMAKA USWEGE Alexander The Great Deeboyfrexh wewe leo unaniambia ni fundi bishoo?
Sio kuhakikisha NJAA tu ndo haisomeki, shule nayo muhimu ni muhimu sana mkuuu na UJASIRI. Jamaa elimu yake ya masuala ya sheria inamsaidia sana, nini aseme nini aache, ajitetee vipi nk.Tundu Lissu ndo mwanasiasa bora Kuwahi kutokea Tanzania .
Kapigwa risasi Ila yupo imara
Kawekwa ndani sana Ila yupo imara
Kaondolewa bungeni bila sababu za msingi Ila yupo imara.
Tundu Lissu ndo mwanasiasa aliyeweza kuishinda njaa ya tumbo na kubaki na umaarufu wake ule ule.
Hivyo Lissu to me is GOAT
Great of all time.
Nb vijana hakikisheni njaa haisomeki katika AKILI zenu na MOYO ndo mtafika hii hatua aliyoifikia Lissu ya kuwa GOAT
Kumbe Maghayo ni mweusi mfupi mwenye kipara?🤣Wewe unaniambia mimi ni Maghayo kwanini?
Mimi tokea lini nikawa mweusi mwenye kipara, mfupi?