Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tumwombee maana CCM hawataki hata kumsikiaYes Lissu anajua sana huenda akaisaidia sana CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumwombee maana CCM hawataki hata kumsikiaYes Lissu anajua sana huenda akaisaidia sana CHADEMA
CCM kama ingekuwa imara wasingevuruga mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa na kuiba kura hadi kujitangazia ushindi wa punyeto wa 99%.Sababu ni CCM imekuwa Imara hakuna kingine
Mkamaten kama anauwa watuKwanini msimshitukie Mbowe anayeua watu?
Mropokaj huyoKama viongozi wa upinzani ndio hawa wa aina ya Tundu Lissu CCM itatwala mpaka mwisho wa dunia. Mtu makini hawezi kuwa na imani kwa vyama vinavyoongozwa na watu aina ya Lissu.
Namuona baba anayumba dah opening ulinzi amalize miaka yake tena akabidhi chama amechoka uasi wa ndani unachosha akili maana amekitoa hichi chama mnali sanaSababu ni huyo Mzee wa Konyagi naona hapo Yuko maji balaa
Ina maana vyombo vya dola vinaogopa kumwajibiIsha Mbowe kama ni kweli anaua watu?!Kwanini msimshitukie Mbowe anayeua watu?
Watajua wenyewe utakula ulipo peleka mbogaCCM kama ingekuwa imara wasingevuruga mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa na kuiba kura hadi kujitangazia ushindi wa punyeto wa 99%.
Anzishen chama chenu kwan shida ni nnNamuona baba anayumba dah opening ulinzi amalize miaka yake tena akabidhi chama amechoka uasi wa ndani unachosha akili maana amekitoa hichi chama mnali sana
Nimeshatuma ujumbe kwa Wadau wote 😂😂😂Karibu sana.
Kila Mtanzania aanzishe chama!Anzishen chama chenu kwan shida ni nn?
Achana na huyo takataka ana chuki binafsiIna maana vyombo vya dola vinaogopa kumwajibiIsha Mbowe kama ni kweli anaua watu?!
Achana na madai ambyo huwezi kuthibitisha.
Wadau gani wewe mpumbavu mkubwaNimeshatuma ujumbe kwa Wadau wote 😂😂😂
NdiyoKila Mtanzania aanzishe chama!
Siwezi kuanzisha chama na sina mipango hiyo.Ndiyo
Kama unaweza anzisha tuu
Huo ni ukweli ulio wazi, mbowe akishinda nafasi ya mwenyekiti chadema itakuwa imejitenga rasmi na vijanaMgombea makini wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa Mhe.Tundu Lissu amekiri hadharani kuwa CHADEMA chini ya Mbowe haina uwezo tena wa kuvitia hata Mwanachama kichaa.
Soma alichosema huko Clubhouse X
"Tazameni chama chetu kinavyozidi kupoteza ile ARI na MORALI ya umma kutuunga mkono kama chama kikuu cha upinzani. Tazameni hata ile nguvu yetu ya vijana iliyokuwa inapelekea chama chetu kiitwe chama cha vijana leo hakuna tena nguvu ya vijana ambao ndio nguvu tegemeo ya chama hasa chama kama CHADEMA kinacholenga kukiondoa chama dola madarakani".
Leo hii vijana wanaona bora wakacheze pool table na ku-bet mitaani kuliko kukipigania chama chao. Ni kwa nini tumefika kwenye hali hii? Hili ndilo swali la msingi sana ambalo wanachama wenzetu wanaokuja kwenye mkutano mkuu wanapaswa kujiuliza na watafakari hali ya hiki chama chetu itakuwaje miaka mitano mingine ijayo kama hatutabadili mifumo ya uongozi wa chama kupitia uchaguzi huu wa januari"
View attachment 3184871
Haahaa pole mkuu, mbowe akishinda vijana watajitenga nayeKama viongozi wa upinzani ndio hawa wa aina ya Tundu Lissu CCM itatwala mpaka mwisho wa dunia. Mtu makini hawezi kuwa na imani kwa vyama vinavyoongozwa na watu aina ya Lissu.
Mgombea makini wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa Mhe.Tundu Lissu amekiri hadharani kuwa CHADEMA chini ya Mbowe haina uwezo tena wa kuvitia hata Mwanachama kichaa.
Soma alichosema huko Clubhouse X
"Tazameni chama chetu kinavyozidi kupoteza ile ARI na MORALI ya umma kutuunga mkono kama chama kikuu cha upinzani. Tazameni hata ile nguvu yetu ya vijana iliyokuwa inapelekea chama chetu kiitwe chama cha vijana leo hakuna tena nguvu ya vijana ambao ndio nguvu tegemeo ya chama hasa chama kama CHADEMA kinacholenga kukiondoa chama dola madarakani".
Leo hii vijana wanaona bora wakacheze pool table na ku-bet mitaani kuliko kukipigania chama chao. Ni kwa nini tumefika kwenye hali hii? Hili ndilo swali la msingi sana ambalo wanachama wenzetu wanaokuja kwenye mkutano mkuu wanapaswa kujiuliza na watafakari hali ya hiki chama chetu itakuwaje miaka mitano mingine ijayo kama hatutabadili mifumo ya uongozi wa chama kupitia uchaguzi huu wa januari"
View attachment 3184871
Sababu ni CCM imekuwa Imara hakuna kingine
100%Mropokaj huyo
Hafai kupewa chama atatoa siri
Kila chama kina siri zake
Ila huyu hafai akaanzishe chama chake au aende kwa zitu