FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Sio kweli, Mahits hakuwepo wakati wa Mwinyi, kama alikuwepo alikua hana mamlaka.Mahita alimpiga Mrema Lyatonga mabomu yasiyo na idadi wakati wa mwinyi.
Pia Mwinyi ndie alimpa Mrema unaibu waziri mkuu. Ilikua hakuna cheo hicho kabla.