antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Ili mle kichwa?!...Nionavyo mimi hoja za Lissu zingekuwa za msingi kama angeziongea akiwa kwenye mapambano hapa nyumbani lakini siyo aongelee akiwa Ubelgiji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili mle kichwa?!...Nionavyo mimi hoja za Lissu zingekuwa za msingi kama angeziongea akiwa kwenye mapambano hapa nyumbani lakini siyo aongelee akiwa Ubelgiji.
Lisu kuondoka Tanzania ilikuwa ni lazima kuokoa maisha yake.Angekuwa hajapigwa risasi, huu utetezi wako ungekuwa na nguvu. Lakini hadi sasa hata waliomshambulia kwa risasi hawajakamatwa.