A antimatter JF-Expert Member Joined Feb 26, 2017 Posts 47,274 Reaction score 126,778 Dec 7, 2020 #21 johnthebaptist said: ...Nionavyo mimi hoja za Lissu zingekuwa za msingi kama angeziongea akiwa kwenye mapambano hapa nyumbani lakini siyo aongelee akiwa Ubelgiji. Click to expand... Ili mle kichwa?!
johnthebaptist said: ...Nionavyo mimi hoja za Lissu zingekuwa za msingi kama angeziongea akiwa kwenye mapambano hapa nyumbani lakini siyo aongelee akiwa Ubelgiji. Click to expand... Ili mle kichwa?!
CHIBURABANU JF-Expert Member Joined Sep 19, 2013 Posts 2,921 Reaction score 3,474 Dec 7, 2020 #22 tindo said: Angekuwa hajapigwa risasi, huu utetezi wako ungekuwa na nguvu. Lakini hadi sasa hata waliomshambulia kwa risasi hawajakamatwa. Click to expand... Lisu kuondoka Tanzania ilikuwa ni lazima kuokoa maisha yake. Maana baada ya kampeni ulinzi uliondolewa,wangemchapa shaba afu mwisho Wa siku siro angetoka hadharani na majibu hafifu.
tindo said: Angekuwa hajapigwa risasi, huu utetezi wako ungekuwa na nguvu. Lakini hadi sasa hata waliomshambulia kwa risasi hawajakamatwa. Click to expand... Lisu kuondoka Tanzania ilikuwa ni lazima kuokoa maisha yake. Maana baada ya kampeni ulinzi uliondolewa,wangemchapa shaba afu mwisho Wa siku siro angetoka hadharani na majibu hafifu.