The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Kwani unafikiri Syria walitaka iwe hivyo. Mifumo mibovu ya ukandamizaji, mgawanyo na utengenezaji wa matabaka husababisha yote hayo. Jana shangazi katoa darasa zuri sana kwenye mkutano wa ACT .... tafuta video umsikilize.Yaani mnataka tuwe kama Syria??
Kesho saa tatu ujiripoti.Mie sio CDM ila napenda sana vurugu, nitaandamana ili nianzishe vurugu
Nalog off
Endelea kujifariji,mazingirq ya Eqypt na Syria Ni tofauti na ya Tanzania,Mambo yenu ya kuiga ndio Mana mnafeli kwa kila Jambo,kuitoa ccm kunahitaji kujipanga sana so njia za mkatoMange haikuwezekana tu kwa sababu ya timing. During Election time it's much easy kuorganize ... watu wanakuwa na Euphoria. Unahitaji watu kama 50,000 tu kulianzisha .... Kama wameweza Egypt, Syria hivi kweli unafikiria Tz haiwezekani kwa ajili tu ya POPLICCM ...!!
Unakuta na ww unaitwa baba na wanao kichaa kama ww, wanawake mna tabu sana kuishi na misukule ndaniNdo maana huna marinda kwa kupenda vya dezo
Sijakupangia, nimekudharau.Naomba tusipangiane mkuu. Huko unaponiona pia niliambiwa nawaangusha. Am free soul. Raha ya uanonymous
Mbona siku zote wana nchi wapo barabarani kuna shida gani tundulisu kuwaamulu waende tena?Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.
Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.
My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
hahahaaa . . . nacheka huku naogopaHuyu ndio anafaa kulingana na nyakati tulizonazo leo hii.
tKesho saa tatu ujiripoti.
Tii bila shuruti
Nani ataingia barabarani kusema ni rahisi na kigezo gani atakitumia kuonyesha kaibiwa? Sioni mtanzania yeyote atakayemfuata labda wajinga peke yao sababu huo ni uongo. Wakati Akwilina anapigwa risasi viongozi wote walikimbia leo nani atawasikiliza hawa wehuHuyu ndio anafaa kulingana na nyakati tulizonazo leo hii.
wewe ni mjinga sana!Mange haikuwezekana tu kwa sababu ya timing. During Election time it's much easy kuorganize ... watu wanakuwa na Euphoria. Unahitaji watu kama 50,000 tu kulianzisha .... Kama wameweza Egypt, Syria hivi kweli unafikiria Tz haiwezekani kwa ajili tu ya POPLICCM ...!!
Atawaingiza ndugu zake. Familia yake ameiacha Ubelgiji ili aje alete vurugu huku!! Atanyooka tu awamu hii.Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.
Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.
My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Wewe kweli ni Mr. Zero!! Watz siyo wajinga hivyo subiri October 2020 uone cha moto!!Mange haikuwezekana tu kwa sababu ya timing. During Election time it's much easy kuorganize ... watu wanakuwa na Euphoria. Unahitaji watu kama 50,000 tu kulianzisha .... Kama wameweza Egypt, Syria hivi kweli unafikiria Tz haiwezekani kwa ajili tu ya POPLICCM ...!!
Watz hawaamui nani mshindi. Mshindi TZ anaamuliwa na akina Jecha.Wewe kweli ni Mr. Zero!! Watz siyo wajinga hivyo subiri October 2020 uone cha moto!!