Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

Na mm nna hakika "chadema" hawawezi kuhudhuria maana katka chaguz zote hao "chadema" ndo huwa wanakataa.. Kuna kipndi 2015 katka chaguz za wabunge walikua wanaonyesha live "chadema" wakaaona wanagaragazwa wakastitisha Mara moja huo ujinga
Yaani hasa wa wagombea Urais nani anaweza kumgalagaza JPM kwa hoja? Hakuna lazima waingie mitini
 
Ila wewe jamaa roho ngumu kweli. Unakuwa msemaji wa hiari wa Chadema bila kuombwa wakati uliikataa Chadema wewe mwenyewe? Unashauri ili iweje wakati muda wote unaombea wenzako mabaya muda wote.
 
Kama Baba Jesca anatawala kwa raha zake hakuna anayeshindwa kuongoza geto letu TZ
 
kuna watu mkifungua mdomo ndo ujinga unajidhihiridha wazi. nilitegemea utoe sababu kwa nini hafai uraisi ukilinganisha uwezo wake na majukumu ya uraisi.

kilicho jaa kwenye bandiko lako ni chuki juu ya chadema
 
Lowasa bado yupo tu
Lowasa ana nyota kali lakin hana maeno ya ushawishi anaomba kura kama bado yupo ccm
Bodaboda, machinga, mama ntilie hao watakuwa rafiki zangu, PIPOZI PIPOZI
 
Huyu ana-backup kubwa ya mataifa ya nje na watanzania,watu hawatalala ule upande wa pili leo,huko kote anakofanya ziara siyo kwa bahati mbaya,
Sasa naelewa zile resolutions za mabunge ya EU na Marekani

..walifikiri wanaweza kufanya tukio la kinyama kama lile halafu hao wakubwa wakaendelea kuwachekea.

..na kwa ujinga wao wakaongeza kufanya mambo mengine, hata yanayogusa hisia za walipa kodi na wanaowaweka madarakani wafadhili wetu.

..matokeo yake wafadhili kuchomoa makucha yao. Likifanyika kosa lingine kuna mtu ataparurwa na kupata michubuko na makovu mskubwa.
 
Baada ya Lissu The Great kutangaza nia , kichaka kilichojaa mijusi na panya kimelipuliwa na kiberiti , wadudu wote chali !
 
Kwa kuzingatia sifa kuu mbili tu muhimu Zitto ni zaidi ya Lissu kwa nafasi ya Urais Upinzani. Sifa zangu mbili ni

1. Ukomavu wa kisiasa
Zitto amekomaa kisiasa kuliko Lissu. Zitto amekabiliwa na misukosuko mingi ya kisiasa na amevuka yote.

2. Exposure (Kujua na kujulikana)
Zitto anajua mambo mengi sana. Anajulikana sana kitaifa na kimataifa. Ana network kubwa sana duniani na ndani ya Tanzania. Zitto ana deserve kuwa Rais na atamudu zaidi kuliko Lissu.

Lissu achukue Uenyekiti wa Chadema kwanza ndio awaze Urais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…