Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

mana shutuma anazoibua ni nzito sana ingekuwa mtu mwengine kesha restishwa in peace.
Hata jela haijui..kwani ashawahi hata kupelekwa mahakamani? Na kama kuna kesi...kumewahi kuwa na mwendelezo wowote?
 
Wawekezaji wako CCM,CHADEMA hakuna wawekezaji.
 
MADAM BENSON UNAHANGAIKA SANA KUFANYA SABOTAGE YA BIG FIGURE KAMA KUKU ANAYEHATAMIA MAYAI.
TULIA KIJANA
 
Hata jela haijui..kwani ashawahi hata kupelekwa mahakamani? Na kama kuna kesi...kumewahi kuwa na mwendelezo wowote?
Ila katika wapinzani wote Zito nadhani ndio anayeongoza kuibua hoja zenye mantiki kwa mwananchi wa kawaida,sasa najaribu kujiuliza kama ni mwanakitengo,yuko kwa malengo yepi .au ndo wanamuandaa kuwa Rais huko mbeleni,maswali ni mengi kuliko majibu.
 
Kim Jong Un
Laurent Kabila
Donald Trump
Hawa ukomavu wameupata wakiwa madarakani..
broo uzoefu alionao Lissu wa kuibwaga serikali ya CCM mahakamani mara kwa mara, ni dhahiri ni mkomavu wa kushughulikia mambo magumu zaidi..
Naona nawe pressure imekupanda mapema hata hajawasili.
 
Hatumhitaji tena Rais kichaa. Tumechoshwa na madudu anayofanya kila uchao. Lissu njoo uokoe jahazi 2020 tafadhali.
 
Umelogwa wewe, ungejua hakuna hata anaekuekewa ungeacha post zako za kijinga.
 
Siku hizi umekua m.b.u.m.b.u.m.b.u! Nini shida kijana?njaa ama...
Hivi kweli ulichoandika hapo ndo majibu kwanini lissu hawezi kuwa Rais ukilinganisha na zitto.
 
Siku niliposikia zito kukamata halafu viongozi wa chama chake wakasema kwamba amekuwa akihamishwa mahabusu hii mara ile, nikajua tayari sarakasi hizi.
 
No.5: not applying for but contesting to
 
wakitumia udhaifu wa tume ya uchaguzi sidhani kama kutakuwa na kitakacho sababisha hao jamaa wapite. Na wakipita nitapenda kuona serikali ya mseto/sijui ndo ya umoja wa kitaifa ili tuandike historia mpya na kukata mizizi ya wanaodhani walizaliwa kutawala milele
 
So long mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi amechaguliwa na Rais then CCM lazima ishinde tu la sivyo yatakua maajabu ya 8 ya dunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…