Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

upinzani pekee ambao unaogopwa na mwanaCCM mtangaza nia ya urais ni kutokea ndani ya CCM ila nje ya CCM hakuna upinzani wa kuishinda CCM. CCM hakuna mtu wa kuweka ushindani kwa 2020 kufanya kuwa Magufuli auogope sana
 
upinzani pekee ambao unaogopwa na mwanaCCM mtangaza nia ya urais ni kutokea ndani ya CCM ila nje ya CCM hakuna upinzani wa kuishinda CCM. CCM hakuna mtu wa kuweka ushindani kwa 2020 kufanya kuwa Magufuli auogope sana
Sasa utamshindaje wkt NEC ni yake?
 
Tundu lisu Dini gani na dhehebu gan
Nimeuliza Nina maana embu on a
Au ingia hapahttps://https-www-jamiiforums-com.0.freebasics.com/threads/vatican-inamiliki-dunia.1528092/unread?iorg_service_id_internal=925946837445621%3BAfrLd7erks42wECR
 
Tundu lisu Dini gani na dhehebu gan
Nimeuliza Nina maana embu on a
Au ingia hapahttps://https-www-jamiiforums-com.0.freebasics.com/threads/vatican-inamiliki-dunia.1528092/unread?iorg_service_id_internal=925946837445621%3BAfrLd7erks42wECR
Nakuona ID mpya mwenye Juhudi kaliiiiiiiiiiiii kwenye kazi maalum.
 
Ila katika wapinzani wote Zito nadhani ndio anayeongoza kuibua hoja zenye mantiki kwa mwananchi wa kawaida,sasa najaribu kujiuliza kama ni mwanakitengo,yuko kwa malengo yepi .au ndo wanamuandaa kuwa Rais huko mbeleni,maswali ni mengi kuliko majibu.
Bro..its simple...topic wanampa wao...na wanamjengea kuaminika kwa watu kama mpinzani na kumbe sio....tena yeye cha mtoto ...hivi lipumba na slaa uliwahi wadhania?
 
Usije sababisha ZZK akapigwa risas, hiyo ni nafasi ya mbow
 

Lissu katangaza kuwatia jamba jamba!

Na mtapoteza muda mwingi sana kupinga na kujibaraguza na ndio wanachokitaka,halafu boom bomu la nyuklia!

The Lissu plan is working very very well!
 
Kwa hapa sipingani nawewe mkuu ni kweli Zitto ni kigeugeu ana mambo machafu na ana mapungufu yake lakini kwa Lissu bora Zitto Kabwe namuona anauwezo mkubwa wa kujua mambo na kufatilia na kuchanganua mambo mengi! Zitto ni kichwa sana labda vikashfa anavyo vingi tu ndiyo maana Mh Rais ameshindwa ata kumpa nafasi ila jamaa angetulia nisinge shangaa kuukwaa uwazir.
Anajua kujieleza kuliko ata Lissu, Lissu ni mpayukaji japo wote kwa Ngosha wasubiri tu uwezi kuwafananisha wala kushindana na JPM

Angekuwa Membe 2015 leo hii ZItto angekuwa W FA (mambo ya nje.)
 
Mkuu mpaka Leo hujapewa cheo tu pole sana usikate tamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawasalimu kwa upendo mkuu!!
Juzi Mr. Lisu ukiwa ughaibuni ulipoulizwa vipi utagombea Urais 2020 jibu lako linazidi kumuumiza yule aliyekusudia ufe, yule aliyetumia gharama kubwa kuhakikisha anakufuta kabisa.
Jibu hili "Endapo vyama vya upinzani wakinipa ridhaa ya kugombea urais 2020 nitagombea" limemuumiza Jiwe, leo kaja kutengua sheria ambayo alitia mkono wake kuisani. Hata muswada naamini alipelekewa kwanza na akaupitia kabla ya kupelekwa bungeni. Ila leo anajifanya hakuhusika.
Lisu please weka msumari mwingine ili Januari tuongezewe mishahara na vijana wapate ajira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…