Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

mwananchi wameishiwa kumbe

Lissu ni potential, ila sio muda wake huu

2025 can work better for him kama akiruhusiwa na kama wakianza siasa za mvuto na kuwa karibu na raia


Kupiga Jalamba 2020 kwa preparations za 2025 inaweza kuwa jambo jema.

Ila Lissu & co wafanye tu team na ZZK.
Waangalie siasa za Kenya.

TAML can fit better as PM au Spika wa Bunge la JMT but not as a president.
 
Lissu aseme hivyo kirahisi rahisi bila ridhaa ya Chama chake!
Ndy Siasa hizi...
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yawezekana Constitution yao inatoa ruksa kwa members!!

November alikuwa nae huko ughaibuni kabla ya kuelekea Segerea....
 
unanikumbusha mwanamke akizaa watoto wawili, wakati anazaa anajiapiza hazai tena!..ghafla mimba

hivi kwa TZ hii, tume hii, upinzani huu na record za JPM za barabara kila kona, Lissu anamtisha nani??

kama EL alifikia pale, record yake haiji kuvunjwa miaka ya karibuni
Kwenye tume nakubaliana na wewe lkn kwenye barabara sio sawa, watanzania hawana akili ya kuangalia rekodi huwa wanaangalia upepo wa kipindi hicho.
 
Lowasa kwwnza hawezi kukubali, pia yule mwenyekiti wa kudumu hawezi kukubali maana anajua atashugulikiwa sababu ndiye aliye piga pyupyu katundu kaliso. Huvyo msitegemee kama atagombea urahisi sio mrais kama anavyofikiria. Huyu jamaa hata ubalozi wa nyumba kumi hafai. Maana ubunge umemshinda kutwa kucha anawaza kuorganize maandamano hafanyi kazi ambazo wananchi walimtuma akaenda tls ndo kaiua kabisaaaaa, kile chama kimegeuka chama cha siasa, mnataka kuiweka rehani nchi kwa huyu chizi ili aiuze kwa wazungu, shame on you guys mnaosapoti TAL kuwa rahisi kirahisirahisi tu


Mtu mzima kuropoka ni fedheha. Ebu iambie JF ni lini na wapi Lisu ali-organize maandamano katika nchi hii. Na ni maandamano gani hayo? Kuwa kama mwanaume Mkuu sio kuongea kama mtoto wa kike
 
Nazani safari hii Chadema wanasahihisha makosa yao.

Tuliwashauri kuwa unapokutana na mchina usiongee kiswahili wakati yeye anatema kichina, hamtoelewana.

Kuingia kwenye uchaguzi wakati mpinzani wako ndiye mmiliki wa tume pamoja na vyombo vya ulinzi alafu unategemea kushinda na kutangwaza mshindi, da! Huko ni kuota ndoto za mchana tena ukiwa unaogelea ndani ya swimming pool

Ndio, unapokutana na mchina wote walima muongee lugha moja ndipo mtaoelewana.
Kama wao wanamiliki vikosi vya ulinzi na nyie milikini vya kwenu, ( Rejea maamuzi ya bunge la Ulaya "TUTATOA MSAADA/ULINZI WOWOTE UTAKAO HITAJIKA KWA WAPIGANIA HAKI, WANAHARAKATI" )
Hiyo in fursa adimu wakati sahihi.

Kama wao wanamiliki tume ya uchaguzi basis na ninyi milikini ya kwenu, Rejea tamko la USA kupitia waziri wa mambo ya nje "2020 in lazima tusimamie/kuakikisha uchaguzi huru na wahaki unafanyika Tanzania"
Hapo jecha atakimbia.

Toka vyama vingi vianzishwe hakuna kipindi kizuri kwa wapinzani kama 2020 na hii ni kwasababu:-
1: Serekali ya awamu ya tano imefeli kwenye mambo ya kidiplomasia
2:Watumishi wengi wa uma na sekta binafsi wanalia hali ngumu na hawaoni matumaini
3: Ccm imewazarau wakongwe wao na kuwapa nafasi watu wasiokijua chama.
4:Watu wamenyimwa kuongea na vifuwa vyao vimejaa na watakapopata nafasi lazima waongee kwa ngumi,mateke nk.
5:..........
6:...........
7;...........

NB: Dhahabu iliyosafi ni lazima ipite kwenye tanuru la moto ndipo itang'aa. Taifa lazima litikisike ili likitulia tuwe na historia sahihi itakayotuongoza mbele na kuwafanya viongozi kujua nini gharama halisi ya uonevu.


Mwenye ufahamu na aelewe....

Kula tano mwanangu. Nina dada yangu mrembo ndio kafikia umri wa kuolewa. Kama huna mke njoo beba bure, kama unaye weka mazingira ya wa pili au hata mchepuko basi. Nimeependa sana hapo wajue gharama za uonevu.
 
Hapo sasa ukweli unaanza kujidhihirisha
Mapema sana Lisu ungesubiri kidogo hao jamaa watakumalizia kabisa kikulacho kinguoni mwako.. umefufua vita yako upya na wabaya wako
 
Ashinde asishinde sisi tunataka Lissu asimame na Magufuli.
Lissu hawezi.kuwa rais wa TZ.Ukweli ni Mchungu lakini lazima tuseme
Magufuli anatengeneza Njia ya Nchi kuwa Ya kimataifa japo hajielewi.
AMINI AMINI NAWAAMBIA 2020-2025
Magufuli ataendelea kuongoza
na kipindi cha utawala wake wa awamu ya pili. atàfanya mengi na mazur sanaa compare na sasa
 
Back
Top Bottom