Lazima ukaze kama shipa eti eeh! Huyo Membe hangaikeni naye wenyewe na upande ule wana Lissu! Shida iko wapi?Chadema bwana
Juzi tu wanapiga kelele twende na Membe leo washamsahau wameanza na Lisu tena. Aliyewaita nyumbu aliwaza mbali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima ukaze kama shipa eti eeh! Huyo Membe hangaikeni naye wenyewe na upande ule wana Lissu! Shida iko wapi?Chadema bwana
Juzi tu wanapiga kelele twende na Membe leo washamsahau wameanza na Lisu tena. Aliyewaita nyumbu aliwaza mbali sana
Unataka mshipa nikuchape nao?Lazima ukaze kama shipa eti eeh! Huyo Membe hangaikeni naye wenyewe na upande ule wana Lissu! Shida iko wapi?
Nilijua tu kuna mtu jambo hili litamkosesha amani na furaha! Ona sasa unautukana huku umeukalia! Akiwa rais wa kiungo hicho chako utamkubali? Kinyaa kweli wewe!Urais wa Mkundu labda
Hapa ni kwa kuamua, lakini si kwa free & fair election [emoji850]Lissu hawezi.kuwa rais wa TZ.Ukweli ni Mchungu lakini lazima tuseme
Magufuli anatengeneza Njia ya Nchi kuwa Ya kimataifa japo hajielewi.
AMINI AMINI NAWAAMBIA 2020-2025
Magufuli ataendelea kuongoza
na kipindi cha utawala wake wa awamu ya pili. atàfanya mengi na mazur sanaa compare na sasa
Ujinga! Ndiyo adabu uliyofundishwa kwenu? Ungekuwa unaweza kuutumia mkeo asingekuwa anagongwa nje huku akikukashifu na kumsifia hawara!Unataka mshipa nikuchape nao?
Akina mama zetu wanaathirika sana na sera za mawe. Lazima wahusikeNazan ungemwambia yeye kama yeye pasipo kuhusisha mama yake!
Hebu soma coment yako ya kwanza alafu uniambie kinachokukasirisha ni nini?Ujinga! Ndiyo adabu uliyofundishwa kwenu? Ungekuwa unaweza kuutumia mkeo asingekuwa anagongwa nje huku akikukashifu na kumsifia hawara!
Nasubiria hoja za First Contestant!!.TANGAZO:
Kesho tarehe 24/10/2020 kutakuwa na mdahalo wa kitaifa wa kufunga kampeni katika ukumbi wa Nkurumah;
Wagombea wanaotarajiwa kuhudhuria;
J.P. Magufuli - CCM
T.A. Lissu - CHADEMA
H.R. Sipunda - CHAUMA
Z.R. Kabwe - ACT Wazalendo
NYOTE MNAKARIBISHWA.
Jf haihitaji waliosomea kuandika vizuri,Bali wajenga hoja wazuriHujui kuandika,rudi shule kwanza.
Mzee wa kushtakiwa MIGA
Alisema atagombea au yuko tayari kugombea?Lissu aseme hivyo kirahisi rahisi bila ridhaa ya Chama chake!
Acha mamneno yako, ametangaza nia, hajazuia wagombea wengine kutangaza nia zao, hata Mhe. Magufuli aliisha tangaza nia hata kabla chama chake hakijamteua. Kinachowaogopesha, ni ile nguvu ya MUNGU aliyonayo Mpakwa mafuta Lissu. Asingekuwa amepakwa mafuta, hakika asingefufuka katika kifo kilichokuwa kimemtokea.Lissu aseme hivyo kirahisi rahisi bila ridhaa ya Chama chake!
Sawa lakini hili limekuzidi Uwezo. Kaa kimya iache ipitehuna hoja