Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

Chadema bwana
Juzi tu wanapiga kelele twende na Membe leo washamsahau wameanza na Lisu tena. Aliyewaita nyumbu aliwaza mbali sana
Wacha uongo we zezeta , lina na wapi Chadema walisema wanamtaka Membe? Huyu Membe ni product yenu wenyewe na lazima atawasumbua sana labda mumtwange risasi kama mlivyofanya kwa Lissu.
 
Chadema bwana
Juzi tu wanapiga kelele twende na Membe leo washamsahau wameanza na Lisu tena. Aliyewaita nyumbu aliwaza mbali sana
Wacha uongo we zezeta , lina na wapi Chadema walisema wanamtaka Membe? Huyu Membe ni product yenu wenyewe na lazima atawasumbua sana labda mumtwange risasi kama mlivyofanya kwa Lissu.
 
Lissu hawezi.kuwa rais wa TZ.Ukweli ni Mchungu lakini lazima tuseme
Magufuli anatengeneza Njia ya Nchi kuwa Ya kimataifa japo hajielewi.
AMINI AMINI NAWAAMBIA 2020-2025
Magufuli ataendelea kuongoza
na kipindi cha utawala wake wa awamu ya pili. atàfanya mengi na mazur sanaa compare na sasa
 
Hawa jamaa bhana,2020 Mara twende na Membe mwanadiplomasia aliebobea,Jasusi aliebobea,sasa hivi tayar yameshabadir gia
Kwani wanavunja kifungu gani cha Katiba/ Sheria za Tanzania hata kama wanabadili gia unazo zisema?
 
Nazani safari hii Chadema wanasahihisha makosa yao.

Tuliwashauri kuwa unapokutana na mchina usiongee kiswahili wakati yeye anatema kichina, hamtoelewana.

Kuingia kwenye uchaguzi wakati mpinzani wako ndiye mmiliki wa tume pamoja na vyombo vya ulinzi alafu unategemea kushinda na kutangwaza mshindi, da! Huko ni kuota ndoto za mchana tena ukiwa unaogelea ndani ya swimming pool

Ndio, unapokutana na mchina wote walima muongee lugha moja ndipo mtaoelewana.
Kama wao wanamiliki vikosi vya ulinzi na nyie milikini vya kwenu, ( Rejea maamuzi ya bunge la Ulaya "TUTATOA MSAADA/ULINZI WOWOTE UTAKAO HITAJIKA KWA WAPIGANIA HAKI, WANAHARAKATI" )
Hiyo in fursa adimu wakati sahihi.

Kama wao wanamiliki tume ya uchaguzi basis na ninyi milikini ya kwenu, Rejea tamko la USA kupitia waziri wa mambo ya nje "2020 in lazima tusimamie/kuakikisha uchaguzi huru na wahaki unafanyika Tanzania"
Hapo jecha atakimbia.

Toka vyama vingi vianzishwe hakuna kipindi kizuri kwa wapinzani kama 2020 na hii ni kwasababu:-
1: Serekali ya awamu ya tano imefeli kwenye mambo ya kidiplomasia
2:Watumishi wengi wa uma na sekta binafsi wanalia hali ngumu na hawaoni matumaini
3: Ccm imewazarau wakongwe wao na kuwapa nafasi watu wasiokijua chama.
4:Watu wamenyimwa kuongea na vifuwa vyao vimejaa na watakapopata nafasi lazima waongee kwa ngumi,mateke nk.
5:..........
6:...........
7;...........

NB: Dhahabu iliyosafi ni lazima ipite kwenye tanuru la moto ndipo itang'aa. Taifa lazima litikisike ili likitulia tuwe na historia sahihi itakayotuongoza mbele na kuwafanya viongozi kujua nini gharama halisi ya uonevu.


Mwenye ufahamu na aelewe....
 
Kichama linajadiliwa Na Kamati kuu

Mnarudia Yale Yale ya 2005 ya Mwenyekiti kwenda Masaki Kwa Mzee Na kurudi Na jina la Mgombea Na kazi ya Chama ikawa kunyoosha Mikono juu Mlimani city
2005????
 
Wajinga watamsikiliza. Huyu ni taka taka zenye harufu mbaya. Kila akisimama ni misuguano na kelele. Hana peace of heart and mind. Kajawa na mapepo ya Giza.
 
Back
Top Bottom