Ahaaaahaaahaa wameanza kuweweseka hao....Huyu kilaza kaiua TLS,hafai hata kuwa raisi wa WCB
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaaahaaahaa wameanza kuweweseka hao....Huyu kilaza kaiua TLS,hafai hata kuwa raisi wa WCB
Huyu jamaa si anagombea kupitia chadema? Membe aliambiwa na katibu akane tuhuma. Ni mambo ya ndani ya chama tawala hayo.Hamumtaki Membe?
Mchi yetu inaumizwa na mikataba mibovu ya siri Lisu peke anaweza kutunasua kwenye mtego wa mikataba mzalendo Uvccm tumuunge mkono Lisu hali ni mbya sana mtaaniKwa mziki wa Tundu Antipas Lissu haika hapa kama nchi tutasogea mbele.
1: Ana akili
2: Utashi wa kisiasa
3: Uwezo wakupambania matatizo yabwatu
4: Mtu asiye kubali kushinwa katika mambo anayoyaamini.
5: Mwenye kutokuogopa
6: Anaudhubutu wakufanya jambo
7: Upeo mkubwa wakusikiliza na kushauriwa
8: Asiye penda majivuno
9: Anayejali matatizo ya watu
Mwenye dhamira ya kweli na nchi yake .
Acha uzuzu, mambo haya waachie wenye akili kuyajadili!Jimbo lake Singida huko kashindwa kuongoza,familia yake kashindwa mwache aropoke tu.
watoto wale wanaitaji kusoma wakili mkuu rais wa nini sijui,sio kuja kusalimu hospitali. Mke pia anahitaji huduma.
Bado ww unafkiria kuwa na mikiki ya siasa!
Waonee huruma waliokuzunguka
Mwenyekiti alikuwa Belgium November. Inaelekea limeshajadiliwa kichama.
Hawa jamaa bhana,2020 Mara twende na Membe mwanadiplomasia aliebobea,Jasusi aliebobea,sasa hivi tayar yameshabadir giaUmesahau kutembea kwa mafungu
Tunahitaji rais ataeheshimu utawala wa sheria na haki na usawa.Kwa maoni yangu Mh. Tundu Lissu anafaa zaidi akifanya kazi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali, DPP au waziri wa sheria na katiba. Urais ni mzuri lakini tutakosa kuona taste yake hasa ktk taaluma yake where it needed most. Mi napenda akisonga front ktk law battles na siyo administrative
Huyo hata asilimia 10 ya kura zote hapati walah!Mchi yetu inaumizwa na mikataba mibovu ya siri Lisu peke anaweza kutunasua kwenye mtego wa mikataba mzalendo Uvccm tumuunge mkono Lisu hali ni mbya sana mtaani
Wanafata upepo hawajui wanataka niniHawa jamaa bhana,2020 Mara twende na Membe mwanadiplomasia aliebobea,Jasusi aliebobea,sasa hivi tayar yameshabadir gia
Sasa hofu ya nini?? Jiwe mwisho wake 2020 hatutaki kuongozwa na vichaa. Mtu anapenda misifa kila muda hatufai. Twende na Lissuunanikumbusha mwanamke akizaa watoto wawili, wakati anazaa anajiapiza hazai tena!..ghafla mimba
hivi kwa TZ hii, tume hii, upinzani huu na record za JPM za barabara kila kona, Lissu anamtisha nani??
kama EL alifikia pale, record yake haiji kuvunjwa miaka ya karibuni
Hahaha Jiwe hatokanyaga, kichwani hamna kitu.TANGAZO:
Kesho tarehe 24/10/2020 kutakuwa na mdahalo wa kitaifa wa kufunga kampeni katika ukumbi wa Nkurumah;
Wagombea wanaotarajiwa kuhudhuria;
J.P. Magufuli - CCM
T.A. Lissu - CHADEMA
H.R. Sipunda - CHAUMA
Z.R. Kabwe - ACT Wazalendo
NYOTE MNAKARIBISHWA.
Kama ameshindwa kuliongoza aliwezaje kuchaguliwa kwa vipindi viwili mfululizo? Na kama unasema jimbo lake ameshindwa kuliongoza unadhani lile la Chato jamaa alifanikiwa kuliongoza?Jimbo lake Singida huko kashindwa kuongoza,familia yake kashindwa mwache aropoke tu.
watoto wale wanaitaji kusoma wakili mkuu rais wa nini sijui,sio kuja kusalimu hospitali. Mke pia anahitaji huduma.
Bado ww unafkiria kuwa na mikiki ya siasa!
Waonee huruma waliokuzunguka
Sasa hofu ya nini?? Jiwe mwisho wake 2020 hatutaki kuongozwa na vichaa. Mtu anapenda misifa kila muda hatufai. Twende na Lissu
Sure mkuu, arudi Facebook tuSoma tena ulichoandika, ni kama mtoto mdogo anajifunza kuandika yani hamna mpangilio mzuri wa maneno wenye kuleta mantiki, hapa JF siyo sehemu yako rudi facebook.