Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

Kwa mziki wa Tundu Antipas Lissu haika hapa kama nchi tutasogea mbele.
1: Ana akili
2: Utashi wa kisiasa
3: Uwezo wakupambania matatizo yabwatu
4: Mtu asiye kubali kushinwa katika mambo anayoyaamini.
5: Mwenye kutokuogopa
6: Anaudhubutu wakufanya jambo
7: Upeo mkubwa wakusikiliza na kushauriwa
8: Asiye penda majivuno
9: Anayejali matatizo ya watu
Mwenye dhamira ya kweli na nchi yake .
Mchi yetu inaumizwa na mikataba mibovu ya siri Lisu peke anaweza kutunasua kwenye mtego wa mikataba mzalendo Uvccm tumuunge mkono Lisu hali ni mbya sana mtaani
 
Jimbo lake Singida huko kashindwa kuongoza,familia yake kashindwa mwache aropoke tu.
watoto wale wanaitaji kusoma wakili mkuu rais wa nini sijui,sio kuja kusalimu hospitali. Mke pia anahitaji huduma.
Bado ww unafkiria kuwa na mikiki ya siasa!
Waonee huruma waliokuzunguka
Acha uzuzu, mambo haya waachie wenye akili kuyajadili!
 
Mwenyekiti alikuwa Belgium November. Inaelekea limeshajadiliwa kichama.

Kichama linajadiliwa Na Kamati kuu

Mnarudia Yale Yale ya 2015 ya Mwenyekiti kwenda Masaki Kwa Mzee Na kurudi Na jina la Mgombea Na kazi ya Chama ikawa kunyoosha Mikono juu Mlimani city
 
Kwa maoni yangu Mh. Tundu Lissu anafaa zaidi akifanya kazi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali, DPP au waziri wa sheria na katiba. Urais ni mzuri lakini tutakosa kuona taste yake hasa ktk taaluma yake where it needed most. Mi napenda akisonga front ktk law battles na siyo administrative
Tunahitaji rais ataeheshimu utawala wa sheria na haki na usawa.
Atejali haki za wote bila upendeleo
Fikiria hilo
 
Mchi yetu inaumizwa na mikataba mibovu ya siri Lisu peke anaweza kutunasua kwenye mtego wa mikataba mzalendo Uvccm tumuunge mkono Lisu hali ni mbya sana mtaani
Huyo hata asilimia 10 ya kura zote hapati walah!
 
Haya sasa na tusubiri kuona Dr. Slaa mwingine.

Lowasa bado hajatosheka na vile vile kuna possibility ya atakayetemwa CCM kwenda huko.

Sidhani kama Lisu anamaanisha hiyo kauli yake. Ila kilichopo ni kutafuta namna ya kumrejesha rasmi katika mijadala ya kisiasa.
 
unanikumbusha mwanamke akizaa watoto wawili, wakati anazaa anajiapiza hazai tena!..ghafla mimba

hivi kwa TZ hii, tume hii, upinzani huu na record za JPM za barabara kila kona, Lissu anamtisha nani??

kama EL alifikia pale, record yake haiji kuvunjwa miaka ya karibuni
Sasa hofu ya nini?? Jiwe mwisho wake 2020 hatutaki kuongozwa na vichaa. Mtu anapenda misifa kila muda hatufai. Twende na Lissu
 
TANGAZO:
Kesho tarehe 24/10/2020 kutakuwa na mdahalo wa kitaifa wa kufunga kampeni katika ukumbi wa Nkurumah;
Wagombea wanaotarajiwa kuhudhuria;
J.P. Magufuli - CCM
T.A. Lissu - CHADEMA
H.R. Sipunda - CHAUMA
Z.R. Kabwe - ACT Wazalendo
NYOTE MNAKARIBISHWA.
Hahaha Jiwe hatokanyaga, kichwani hamna kitu.
 
Bad strategy. Ajipange kwanza kuliko kuwaambia adui zako mipango prematurely
 
Jimbo lake Singida huko kashindwa kuongoza,familia yake kashindwa mwache aropoke tu.
watoto wale wanaitaji kusoma wakili mkuu rais wa nini sijui,sio kuja kusalimu hospitali. Mke pia anahitaji huduma.
Bado ww unafkiria kuwa na mikiki ya siasa!
Waonee huruma waliokuzunguka
Kama ameshindwa kuliongoza aliwezaje kuchaguliwa kwa vipindi viwili mfululizo? Na kama unasema jimbo lake ameshindwa kuliongoza unadhani lile la Chato jamaa alifanikiwa kuliongoza?
 
Sasa hofu ya nini?? Jiwe mwisho wake 2020 hatutaki kuongozwa na vichaa. Mtu anapenda misifa kila muda hatufai. Twende na Lissu

karuhusiwa na chadema?

ni muda wa kumfahamu Mbowe sasa!..mmeliwa
 
Soma tena ulichoandika, ni kama mtoto mdogo anajifunza kuandika yani hamna mpangilio mzuri wa maneno wenye kuleta mantiki, hapa JF siyo sehemu yako rudi facebook.
Sure mkuu, arudi Facebook tu
 
Back
Top Bottom