data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Na hilo ndilo kimbilio laoUhamiaji fanyeni kazi yenu haraka,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hilo ndilo kimbilio laoUhamiaji fanyeni kazi yenu haraka,
Mbona bungeni unamshindwa kwa hoja? Na wewe Ndio maana Kubenea anakutwanga makofiHuyu kilaza kaiua TLS,hafai hata kuwa raisi wa WCB
Soma rudia mara 10 utaelewa ,akili yako bado mbovu tu na usikute We ni Baba wa familiaSoma tena ulichoandika, ni kama mtoto mdogo anajifunza kuandika yani hamna mpangilio mzuri wa maneno wenye kuleta mantiki, hapa JF siyo sehemu yako rudi facebook.
Hii taarifa italeta mtikisiko mkubwa wa dunia.......
Agombee tu hana madhara ni joka la kibisa
Kubenea alisababisha mkaitisha vikao vya dharura kumbembeleza asihameMbona bungeni unamshindwa kwa hoja? Na wewe Ndio maana Kubenea anakutwanga makofi
Membe???Taarifa mbaya sana pale magogoni kwa John Walker
Huyo wa pili hatakaa ahudhurie,labda aletwe akiwa kwenye jeneza!TANGAZO:
Kesho tarehe 24/10/2020 kutakuwa na mdahalo wa kitaifa wa kufunga kampeni katika ukumbi wa Nkurumah;
Wagombea wanaotarajiwa kuhudhuria;
J.P. Magufuli - CCM
T.A. Lissu - CHADEMA
H.R. Sipunda - CHAUMA
Z.R. Kabwe - ACT Wazalendo
NYOTE MNAKARIBISHWA.
Membe kawakosea nini?tabia ya nyumbu ni kuliwa kwa mkupuo,ngoja tuone mara hii.Yule jamaa kule Magogoni saa hizi kichwa kinamuuma.
Hii habari kama ni kweli inaweza ikampa mtu/watu heart attack!
Hyo namba moja mtoe kabisa,TANGAZO:
Kesho tarehe 24/10/2020 kutakuwa na mdahalo wa kitaifa wa kufunga kampeni katika ukumbi wa Nkurumah;
Wagombea wanaotarajiwa kuhudhuria;
J.P. Magufuli - CCM
T.A. Lissu - CHADEMA
H.R. Sipunda - CHAUMA
Z.R. Kabwe - ACT Wazalendo
NYOTE MNAKARIBISHWA.
Sorry nlimaanisha wa kwanza.Huyo wa pili hatakaa ahudhurie,labda aletwe akiwa kwenye jeneza!