Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi naamini hii kitu kitakuja kutokea 2020 October ila sitoshangaa kama Chadema hawata udhulia uo mdahalo.TANGAZO:
Kesho tarehe 24/10/2020 kutakuwa na mdahalo wa kitaifa wa kufunga kampeni katika ukumbi wa Nkurumah;
Wagombea wanaotarajiwa kuhudhuria;
J.P. Magufuli - CCM
T.A. Lissu - CHADEMA
H.R. Sipunda - CHAUMA
Z.R. Kabwe - ACT Wazalendo
NYOTE MNAKARIBISHWA.
Gazeti la Mwananchi linaripoti kuwa, Mbunge wa Singida, Mheshimiwa Tundu Lissu, ameweka wazi kuwa yupo tayari kugombea Urais 2020.
Mshaanza kuogopa tehtehtehteh... Tulia muda uongeeLissu aseme hivyo kirahisi rahisi bila ridhaa ya Chama chake!
Mkuu wewe ndiye msemaji wa familia ya Tundu?Jimbo lake Singida huko kashindwa kuongoza,familia yake kashindwa mwache aropoke tu.
watoto wale wanaitaji kusoma wakili mkuu rais wa nini sijui,sio kuja kusalimu hospitali. Mke pia anahitaji huduma.
Bado ww unafkiria kuwa na mikiki ya siasa!
Waonee huruma waliokuzunguka
Kaiua vipi. Toa hoja acha uzushiHuyu kilaza kaiua TLS,hafai hata kuwa raisi wa WCB
Hamumtaki Membe?Kaiua vipi. Toa hoja acha uzushi
Tunajua ni jinsi gani mnahaha sasa na ndiyo maana mlipochungulia kwa sangoma wenu mkaona mje na mswada wa vyama vya siasa ili akichaguliwa kugombea msajili aseme huyo hafai.Lowasa kwwnza hawezi kukubali, pia yule mwenyekiti wa kudumu hawezi kukubali maana anajua atashugulikiwa sababu ndiye aliye piga pyupyu katundu kaliso. Huvyo msitegemee kama atagombea urahisi sio mrais kama anavyofikiria. Huyu jamaa hata ubalozi wa nyumba kumi hafai. Maana ubunge umemshinda kutwa kucha anawaza kuorganize maandamano hafanyi kazi ambazo wananchi walimtuma akaenda tls ndo kaiua kabisaaaaa, kile chama kimegeuka chama cha siasa, mnataka kuiweka rehani nchi kwa huyu chizi ili aiuze kwa wazungu, shame on you guys mnaosapoti TAL kuwa rahisi kirahisirahisi tu
Usahaurifu,anaweza akawa anafukuzwa na Simba akiona majani mazuri anasahau kuwa alikuwa anafukuzwa na kuanza kula majani!Hebu ziseme tabia za nyumbu
Umesahau kutembea kwa mafunguUsahaurifu,anaweza akawa anafukuzwa na Simba akiona majani mazuri anasahau kuwa alikuwa anafukuzwa na kuanza kula majani!