I also agree Tundu Lissu is the right candidate for presidency in 2020 for opposition in general.....
Siyo Edward Lowassa, si Fredrick Sumaye na wala si Zitto Kabwe and I know hawezi kuwa Freeman Mbowe wala Saed Kubenea ama Lazaro Nyalandu ama Fahmi Dovutwa...
For sure, kama wanataka kuleta hamasa na amsha amsha ya watu kuunga mkono opposition ktk uchaguzi ujao, Tundu Lissu is the right pick hadi kwenye ushindi...
SIFA ZA TUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISSU KUONESHA KUWA NDIYE RAIS AJAYE 2020 - 2025:
• Ni mjuvi wa sheria za ndani na za kimataifa kwa kiwango cha kutisha sana
• Anayo national and international exposure ya kutosha na kuzidi sana
• Ni mwanadiplomasia mwenye uwezo wa kutosha sana
• Ndiye mtu pekee aliyepitia misukosuko inayofanana na ya Nelson Mandela (aliyewahi fungwa gerezani na kuja kuwa Rais wa Jamhuri ya watu wa Afrika ya Kusini).
Huyu naye (TAML) kafungwa mara nyingi sana na kifungo cha mwisho ni hiki cha zaidi ya mwaka sasa cha maumivu ya kuuguza majeraha ya risasi za SMG zilizojaribu kuzima nyota yake ya Uongozi na Utawala kwa kumuua kabisa
• Ni mwana Uchumi mbobevu kabisa.
Na kwa kifupi kabisa huyu bwana ndiye mtu sahihi na kipekee kwa sasa mwenye uwezo wa kukabiliana na Pombe Magufuli mpaka amlete kwenye mamlaka ya kutii na hata kumwangusha chini kwa kishindo kikuu kama Daudi alivyomwangusha Mfilisti Goliath!!
Kama Tundu Lissu atakubali kuwa mgombea Urais mwaka 2020, mimi peke yangu na kwa gharama zangu mwenyewe nitahakikisha natafutia kura za [√] zisizopungua 1,000,000 kwa ajili yake na chama atakacho gombea!!