chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Tundu Antipas Mugwai Lissu, akichangia mada huko space Twitter, alieleza kwamba aliwahi kufanya kazi katika kampuni hiyo akiwa kama mshauri wa masuala ya ardhi.
Kauli hii inaleta ukakasi kidogo. May be kuna Watanzania wenzetu wanaotarajiwa kuwa viongozi, lakini wakati mwingine wanauza mechi kwa mabeberu.
#MakuwadiWaSokoHuria
Wanalia nchi inauzwa, kumbe wao ndio makuwadi
Kauli hii inaleta ukakasi kidogo. May be kuna Watanzania wenzetu wanaotarajiwa kuwa viongozi, lakini wakati mwingine wanauza mechi kwa mabeberu.
#MakuwadiWaSokoHuria
Wanalia nchi inauzwa, kumbe wao ndio makuwadi