Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amezungumza na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe baada ya matokeo kutangazwa.
Pia soma Pre GE2025 - Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi
Tulizungumza (Yeye na Freeman Mbowe) baada ya matokeo kutangazwa na muda wote mpaka tukaenda kwenye kikao na akazungumza baada ya hapo hatujazungumza tena na hatujazungumza kwa sababu nzuri tu. Tunahitaji kupumzika yeye (Mbowe) na mimi sote tunahitaji kupumzika
Pia soma Pre GE2025 - Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi
Tulizungumza (Yeye na Freeman Mbowe) baada ya matokeo kutangazwa na muda wote mpaka tukaenda kwenye kikao na akazungumza baada ya hapo hatujazungumza tena na hatujazungumza kwa sababu nzuri tu. Tunahitaji kupumzika yeye (Mbowe) na mimi sote tunahitaji kupumzika