Ausar
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 2,369
- 3,800
Ndo kama karata ya JPM aliyokuaga anataka kuicheza......na kwa sasa akitaka aende vizuri asigusie kabisa mambo ya JPMLissu kuna namna roho inamuuma akiwa anavizia ushindi alitumia siraha kali za maneno yaliyoacha vidonda visivyotibika kwa Mbowe.waliuonesha ulimwengu kuwa mbowe ni nobody kimsingi walimvua nguo pale posta mpya kwenye mnara wa askari