Tundu Lissu: Nilizungumza na Mbowe baada ya matokeo kutangazwa baada ya hapo hatujazungumza tena

Lissu kuna namna roho inamuuma akiwa anavizia ushindi alitumia siraha kali za maneno yaliyoacha vidonda visivyotibika kwa Mbowe.waliuonesha ulimwengu kuwa mbowe ni nobody kimsingi walimvua nguo pale posta mpya kwenye mnara wa askari
Ndo kama karata ya JPM aliyokuaga anataka kuicheza......na kwa sasa akitaka aende vizuri asigusie kabisa mambo ya JPM
 
Naona wachagga mmeumia sana, kwamba chama kimtegemee Mbowe? Chadema huku wilayani na majimbo mbona hatuna ruzuku na tumejenga ofisi na kuchangishana hela za kampeni.

Huyo Mbowe ni lini amewahi peleka fedha mikoani zaidi ya ruzuku kuishia makao makuu tu? Hata hiyo 300 Million aliyotoa mkutano mkuu unadhani anaweza itoa mashinani?

Acha watu waumize kichwa namna ya kuendesha chama tuache kuwa dependent
 
Wote wanaodhani chama kitashindwa kujiendesha ni hawajui siasa. Lissu hana pesa ila atakiendesha chama sababu watu wa kuchangia wapo na Mbowe sio boya kukisusa chama kirahisi. Lissu atapata support yote kutoka kwa Wananchi, wadau,matajiri na wafanyabiashara.

Lissu mpaka kupata uenyekiti ni bonge la title haya mazungumzo ni yeye kua humble kwa Mbowe.

First time naona Helicopter ni 2005 uchaguzi mbowe alitua na Helicopter uwanja wa kwakopa mwananyamala. Mbowe ni Legend kwa Chadema na anastahili heshima zote ila wakati una mambo yake ambayo hayazuiliki. Naamini kila kitu kipo kama kilivyotakiwa kiwepo in cosmic scale.
 
Mapumziko ni mazuri ila mje na pendekezo langu haraka iwezekanavyo.
Watangamyika hawana muda wa kusubiri tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…