jifunze kuandika kwanza mkuu,Lisu naweweseka sana, amepania sana kuwa rais , hata kwa damu za watanzania lazima hawe rais, yupo tayari kuongea lolote lile hili international media zimpe attention achafue nchi mataifa makubwa yamsaidie kumkabidhi nchi. He will never archive that...
Hivi mkuu hujui miezi hiyo Trump naye atakuwa anapulia mashine kwenye uchaguzi wake. Halafu wewe unalala ukiamini Trump kaacha kuwaza uchaguzi wao na Corona, anawaza uchaguzi wako. Mwenyewe anaita shit hole nini sijui. Kila mtu ajipange kushinda mechi zake ila kweli sala muhimu.Magufuli anaondoka kwa Hali hii atake asitake. Kuanza huenda vurugu zikaibuka kabla ya uchaguzi. Ofisi za serikali huenda zikaharibiwa kwa njia yoyote ile ikiwa watu watawakimbia wagombea wa upinzani. Hicho ndicho kinatafutwa nasikia Marekani na Uingereza wamejiweka tayari. Tusali Sana wa Tanzania. Pia Membe kasema chochote chaweza kutokea kabla ya October 2020, anajua wamepanga nini.
Kama hamkufuata utaratibu, mlitaka mbembelezwe? Mngeenda kitandani!!
TUKUTANE OKTOBA 28!
Mmmm acha kutishia nyau wewe wanapambana na corona Yao wakija tuwaambukiza Corona tu waipeleke kwao.Lisu keshawaambia Kuna Corona usitarajie wajeMagufuli anaondoka kwa Hali hii atake asitake. Kuanza huenda vurugu zikaibuka kabla ya uchaguzi. Ofisi za serikali huenda zikaharibiwa kwa njia yoyote ile ikiwa watu watawakimbia wagombea wa upinzani. Hicho ndicho kinatafutwa nasikia Marekani na Uingereza wamejiweka tayari. Tusali Sana wa Tanzania. Pia Membe kasema chochote chaweza kutokea kabla ya October 2020, anajua wamepanga nini.
Kila kipindi cha uchaguzi kunatolewa "taratibu za uchaguzi". Hulijui hilo dogo? Mbona viongozi wako walihudhuria kikao cha maelekezo? Hawakuwaambia?Utaratibu umeanza kufahamika miaka hii ya Magufuli? Unaongea utoto gani boss?
Watu timamu wanajua kua huu si wakati wa kushindana na magufuli.
[/QUOTE
Hii itachekesha. Hata Mh.Magufuli hawezi kuamini eti wasiotaka kushindana nae ni timamu. Hata hotuba zake mara nyingi husema hapendi kudanganywa.
Hivyo, hupenda watu smart na timamu,ndo maana huwachukua wapinzani na kujumuika nao kujenga nchi. Hii ni ishara kuwa anakubali wanaompinga ni smart na timamu pengine kuliko magalasa anayoishi nayo chamani.
Kampeni bado, tulia muda ukifika mtatafutana. Nadhan mnamjua vizuri Lissu ni jeshi la mtu m'moja..Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Kampeni bado subiri, akifanya hicho unachokitaka atakuwa amekiuka kanuni za uchaguzi.Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Nakweli mdawa ahadi badoUmemjiɓu sawia
Nadhani ni mgonjwa wa akiliLisu naweweseka sana, amepania sana kuwa rais , hata kwa damu za watanzania lazima hawe rais, yupo tayari kuongea lolote lile hili international media zimpe attention achafue nchi mataifa makubwa yamsaidie kumkabidhi nchi. He will never archive that...
Kumbe kweli kulikua na makosa ya ujazaji form kwa wenyeviti ila mkataka kuiaminisha dunia kwamba mnakatwa kwa kuwa mnaonewa! Nyie watu ni wachonganishi sanaVivyo hivyo, ametumia nafasi hiyo kuwahimiza wagombea wote kuwa waangalifu ña makini sana wanapojaza fomu hizo ili wasije wakaingia ktk mitego midogo midogo ya kufanya makosa ktk ujazaji na kuwapa washindani wao mwanya wa kuwawekea mapingamizi na kujikuta ya uchaguzi wa serikàli za mitaa mwaka 2019 yanajirudia
Huyu mtu Mungu alimnusuru kuuawa kwa mpango maalum , si bure .
Ungewauliza wsiojulikana ndo Wana majibu sahihi ya swali lakoUuawe kwa kipi ulichonacho
Ana amasisha uvunjifu wa sheria
Define sedition?Nadhani una maana ya "anahamasisha watu wajunje sheria", au siyo?
Bado swali liko palepale, HOW?
Labda kiingereza kinaweza kukupa shida, ngoja niseme kwa kiswahili;
Ni kwa vipi amehamasisha watu kuvunja sheria hapo?
Kitaturu unaitendea haki taaluma ya habari.SAFARINI: TABORA, SHINYANGA, GEITA, SIMIYU, MWANZA, MARA na KAGERA
Ameyasema haya akizungumza na wafuasi, wapenzi na wanachama wa CHADEMA wa majimbo ya uchaguzi ya Igunga na Manonga yaliyo ndani ya wilaya ya Igunga mkoa wa Tabora akiwa katika safari ya kutafuta wadhamini wa ugombea wake wa Urais. Tazama na sikiliza video hii 👇 👇
View attachment 1534109
Aidha amewataka wanachama, wafuasi na wapenzi wa CHADEMA kuhakikisha kuwa wanawasindikiza wagombea wao wa Udiwani na Ubunge wanapokwenda kuchukua fomu za kuomba uteuzi ktk ofisi za DEDs ama TCDs ama CCDs ama WEOs ambao ndiyo wanaoratibu mchakato wa uchaguzi kwa niaba ya Tume ya Uchaguzi wa Taifa (NEC) katika ngazi ya Jimbo na Kata...
Vivyo hivyo, ametumia nafasi hiyo kuwahimiza wagombea wote kuwa waangalifu ña makini sana wanapojaza fomu hizo ili wasije wakaingia ktk mitego midogo midogo ya kufanya makosa ktk ujazaji na kuwapa washindani wao mwanya wa kuwawekea mapingamizi na kujikuta ya uchaguzi wa serikàli za mitaa mwaka 2019 yanajirudia
View attachment 1534119
Ni kweli kuna watu wanajipa moyo kwa kuwa wanamiliki mabomu na vidunguaji. Lakini wanajiuliza Lissu anapata nguvu wapi?? Kuna wakati hata naogopa.SAFARINI: TABORA, SHINYANGA, GEITA, SIMIYU, MWANZA, MARA na KAGERA
Ameyasema haya akizungumza na wafuasi, wapenzi na wanachama wa CHADEMA wa majimbo ya uchaguzi ya Igunga na Manonga yaliyo ndani ya wilaya ya Igunga mkoa wa Tabora akiwa katika safari ya kutafuta wadhamini wa ugombea wake wa Urais. Tazama na sikiliza video hii 👇 👇
View attachment 1534109
Aidha amewataka wanachama, wafuasi na wapenzi wa CHADEMA kuhakikisha kuwa wanawasindikiza wagombea wao wa Udiwani na Ubunge wanapokwenda kuchukua fomu za kuomba uteuzi ktk ofisi za DEDs ama TCDs ama CCDs ama WEOs ambao ndiyo wanaoratibu mchakato wa uchaguzi kwa niaba ya Tume ya Uchaguzi wa Taifa (NEC) katika ngazi ya Jimbo na Kata...
Vivyo hivyo, ametumia nafasi hiyo kuwahimiza wagombea wote kuwa waangalifu ña makini sana wanapojaza fomu hizo ili wasije wakaingia ktk mitego midogo midogo ya kufanya makosa ktk ujazaji na kuwapa washindani wao mwanya wa kuwawekea mapingamizi na kujikuta ya uchaguzi wa serikàli za mitaa mwaka 2019 yanajirudia
View attachment 1534119
Wakisha jaza watoe copy wabaki nazo ili ikitokea wakaambiwa wamejaza vibaya kuwepo na evidence
Kitaturu unaitendea haki taaluma ya habari.
Hayo utajua wewe,sisi tunamtaka Lisu tuSijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.