Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa


Sasa Kama jibu unalo kwamba alikuwa Wakili, suala la siasa hapo linakujaje na tusi juu?
 
Sasa Kama jibu unalo kwamba alikuwa Wakili, suala la siasa hapo linakujaje na tusi juu?
U ought to be ??? Wapi nimeandika kama alikuwa mwanasheria wao?,, au na wewe unaleta "utoto"
 
U ought to be ??? Wapi nimeandika kama alikuwa mwanasheria wao?,, au na wewe unaleta "utoto"

Angalia nwenyewe maswali yako. Sasa unataka nikutafutie hata comment zako?

Sasa utoto na na unyumbu ya nini?

Kutoka kwenye hoja Sasa unanishambulia binafsi
 
Lissu aliponywa ma Mwenyezi Mungu kwa kuwa alikuwa na makusudi nae kuja kutukomboa wana Tanzania.
 
Umekuwa mwepesi wa kusahau sana. Tutakukumbusha kama utataka.

Huu ni udaku! Serikali ndiyo imefanyakazi na Barricks kutokea miaka hiyo hakuna ushahidi wowote wa Lissu zaidi ya uzushi wa vijiweni.
 
Yaani kwa CCM yetu ni kama vile hakuna MAISHA nje ya madaraka. Mazoea mabaya kweli hayo. Yamevuruga hadi chaguzi zetu. Sasa wanataka vyote kabisa. Urais, Bunge na Halmashauri zote kabisa. Vijiji na mitaa walishachukua vyote.
 
Unajielewa kweli ama umeamua kuandika tu. Kwa nini atake kuwakalisha wahujumu uchumi wakati yeye alikuwa muwakilishi wa wananchi tayari? Aliacha kazi za kibunge na kufanya za kilaghai?
Wahujumu uchumi ambao nani aliwaleta? Nani alisaini mkataba? We ndo hujielewi hata kidogo.
 
Huyu jamaa fala tu. Amepigana na wawekezaji wakati alikuwa anawatetea wezi
 
Muda bana huwa hauongopi

Ni miaka mitatu sasa watanzania tumeshachamnua pumba na mchele kuhusu mada aliyoitoa lisu naona kimyaaa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…