Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Kamanda mwenzangu hupendi ushauri mzuri.umataga ni ungiri flani hivi.
wewe mataga pori wenzako ni Shaka na omary kopa.Kamanda mwenzangu hupendi ushauri mzuri.
Kamanda acha mambo ya kifala.wewe mataga pori wenzako ni Shaka na omary kopa.
Atauliwa na Nani wakati mama anaupiga mwingi?Unataka aje auliwe? Lissu anafanya kazi nzuri nje ya kuisema hii serikali katili kwa wahisani
Huyu aliyebaki ni katili kuliko aliyekufaAtauliwa na Nani wakati mama anaupiga mwingi?
Mtesi wake si alishafariki?
Aaaahhhh!!!! Anaupiga mwingi mnoHuyu aliyebaki ni katili kuliko aliyekufa
Kuelekea kwa maza ako?Aaaahhhh!!!! Anaupiga mwingi mno
Inaonekana kila anayeingia madarakani ni mtesi wake.Atauliwa na Nani wakati mama anaupiga mwingi?
Mtesi wake si alishafariki?
Rudisheni mahari kwa mme wake, sio mnamwita mke wa mtu bila utaratibu.Fimbo ya mbali haiuwi nyoka Mr learned counsel.
Mambo ni mazito maana kamanda kila anachofanya hakifanikiwi
Kibatala na wenzake kila Pingamizi wanaloweka linagonga mwamba.
Hii ni dalili mbaya kwa Mwamba huenda maana huenda wakamnig'iniza.
Kwa sababu upo vizuri na ulidai hii ni kesi ndogo basi njoo umuokoe mwamba.
Hivi kwani Mbowe haupigi mwingi segerea?Atauliwa na Nani wakati mama anaupiga mwingi?
Mtesi wake si alishafariki?
Sasa kamanda mchovu unataka aje nae abambikiwe mengine,keanu hata Sasa zipo bambikizi zinamsubiri, licha ya like jaribiola maharamialililofeli la kutaka kukatisha Manisha yake.Fimbo ya mbali haiuwi nyoka Mr learned counsel.
Mambo ni mazito maana kamanda kila anachofanya hakifanikiwi
Kibatala na wenzake kila Pingamizi wanaloweka linagonga mwamba.
Hii ni dalili mbaya kwa Mwamba huenda maana huenda wakamnig'iniza.
Kwa sababu upo vizuri na ulidai hii ni kesi ndogo basi njoo umuokoe mwamba.
Pingamizi limegonga mwambaHivi kwani Mbowe haupigi mwingi segerea?
Acha kujitoa fahamu😀Kamanda turudi kwenye nyuzi zetu za mipini huku hakutufai.