johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kashilila ana mamlaka ya kugawa nyumba out of statutory allocationTundu Lisu amesema ni kweli aliishi Nyumba aliyopaswa kuishi KUB lakini Kwa Sababu Mbowe alikuwa na Nyumba nyingine tulimwomba Katibu mkuu Dr Kashilila Nyumba hiyo ilaliwe na Kiongozi mwingine wa upinzani
Dr Kashilila akasema anayepaswa kukaa msaidizi wa KUB ambaye ni Mnadhimu wa Kambi ya upinzani bungeni
Ahsanteni Sana
Nawatakia Sabato Njema π
Huyu sio mangi ni mmachame/mmeruMangi anapigwa tofaliππππ
Umewahi kusoma hata chuo cha umma na kuishi hostel? πKashilila ana mamlaka ya kugawa nyumba out of statutory allocation
Sabato NJEMA KweliTundu Lisu amesema ni kweli aliishi Nyumba aliyopaswa kuishi KUB lakini Kwa Sababu Mbowe alikuwa na Nyumba nyingine tulimwomba Katibu mkuu Dr Kashilila Nyumba hiyo ilaliwe na Kiongozi mwingine wa upinzani
Dr Kashilila akasema anayepaswa kukaa msaidizi wa KUB ambaye ni Mnadhimu wa Kambi ya upinzani bungeni
Ahsanteni Sana
Nawatakia Sabato Njema π
Ukweli humuweka Mtu huru naye huwa Huru kweli kweli πThis is too childish now!
All this back and forth mudslinging to what end?
Huo ni utoto.Ukweli humuweka Mtu huru naye huwa Huru kweli kweli π
Jamse Mbowe vipi mbona umepanic ?Kashilila ana mamlaka ya kugawa nyumba out of statutory allocation
Utoto ndio una Ukweli kama ulikuwa hujui ππHuo ni utoto.
Nyumba ya KUB mbowe halafu kuigawa Kashilila awasaliane na Lisu kumpa Sio kweli hapo .Lazima Kashilila aliwasiliana na KuB Mbowe na Mbowe akasema wampe LisuTundu Lisu amesema ni kweli aliishi Nyumba aliyopaswa kuishi KUB lakini Kwa Sababu Mbowe alikuwa na Nyumba nyingine tulimwomba Katibu mkuu Dr Kashilila Nyumba hiyo ilaliwe na Kiongozi mwingine wa upinzani
Dr Kashilila akasema anayepaswa kukaa msaidizi wa KUB ambaye ni Mnadhimu wa Kambi ya upinzani bungeni
Ahsanteni Sana
Nawatakia Sabato Njema π
Hahaha π€£ π€£ π€£ Jamaa boya sanaHuyu sio mangi ni mmachame/mmeru
Makamu wa nini?Kwahy hy ndio sababu ya Lissu kupata cheo cha umakamu? Mana Lissu amepata umakamu baada ya lile tukio.
Anyway, kwahy kabla ya Lissu, nani alikuwa makamu?
Hapo namzungumzia Lissu, kwan Lissu n makamu wa nini?Makamu wa nini?
Uwage unaelewa Uzi πΌNyumba ya KUB mbowe halafu kuigawa Kashilila awasaliane na Lisu kumpa Sio kweli hapo .Lazima Kashilila aliwasiliana na KuB Mbowe na Mbowe akasema wampe Lisu
Nyumba ni issue ya 2010 πHapo namzungumzia Lissu, kwan Lissu n makamu wa nini?
Umakamu wa rais.
Lisu aache uongo na uoptoshaji,Tundu Lisu amesema ni kweli aliishi Nyumba aliyopaswa kuishi KUB lakini Kwa Sababu Mbowe alikuwa na Nyumba nyingine tulimwomba Katibu mkuu Dr Kashilila Nyumba hiyo ilaliwe na Kiongozi mwingine wa upinzani
Dr Kashilila akasema anayepaswa kukaa msaidizi wa KUB ambaye ni Mnadhimu wa Kambi ya upinzani bungeni
Ahsanteni Sana
Nawatakia Sabato Njema π