johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tundu Lissu amesema ni kweli aliishi Nyumba aliyopaswa kuishi KUB lakini kwa sababu Mbowe alikuwa na Nyumba nyingine tulimwomba Katibu mkuu Dkt. Kashilila Nyumba hiyo ilaliwe na Kiongozi mwingine wa upinzani
Mbowe kusema alimpa Lissu nyumba, soma Mbowe: Nyumba ya Dodoma nilipewa na Serikali, nikampa Lissu
Dr Kashilila akasema anayepaswa kukaa msaidizi wa KUB ambaye ni Mnadhimu wa Kambi ya upinzani bungeni
Ahsanteni Sana
Nawatakia Sabato Njema 😄
Pia soma
Mbowe kusema alimpa Lissu nyumba, soma Mbowe: Nyumba ya Dodoma nilipewa na Serikali, nikampa Lissu
Dr Kashilila akasema anayepaswa kukaa msaidizi wa KUB ambaye ni Mnadhimu wa Kambi ya upinzani bungeni
Ahsanteni Sana
Nawatakia Sabato Njema 😄
Pia soma