Tundu Lissu: Nyumba niliyoishi nilipewa na Katibu wa Bunge Dkt. Kashilila nikiwa kama Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani na Wala siyo Mbowe!

Umekurupuka 🐼
 
Lissu mwongo nyumba ilikuwa ya KUB si mnadhimu.
 
Hivi nyie wachagga mnasoma Uzi na kuelewa? πŸ˜‚
Soma secular ndio utajua Lissu ni mwongo na mnafiki wa kiwango cha kusikitisha.

Stahiki za KUB ni sawa na Naibu Spika wa Bunge la JMT.

Mnadhimu wa upinzani hana stahiki zozote ni sawa na mbunge wa kawaida.

Hili jambo mbona dogo sana kulielewa au umekunywa ulanzi asubuhi asubuhi!.

Lissu ni mjinga hana lolote zaidi ya kutaka kujipatia umaarufu kipindi hiki cha uchaguzi.

Lissu aliwahi kutuaminisha baada ya kifo cha Magufuli zilikutwa fedha nyingi nyumbani kwake. Ebu niambie na hili nalo uliliamini ?.
 
Lisu zile risasi zimemfyatuwa akili jumla.

Hata kama tunahitaji reform lakini siyo kwa Lisu.

Mbowe amalize mitano tena watu wenye uwezo wajiandae sasa kumpokea kijiti Mbowe 2030.
Mbowe ameshastaafu serikalini na Zitto Kabwe amemkumbusha

" MBWA akikaribia Kufa hupoteza uwezo wa Kunusa na NYOKA akikaribia Kufa hukimbilia barabarani"
 
Watanzania hatutaki kusikia hayo. Tunataka hoja zenye nguvu.
 
Huyu jamaa hana ubavu wa kushindana na Mbiwe kisiasa au hata kwa weredi, ukurupukaji wake juu ya mambo ni weakness yake kubwa.
Kwa siku chache tu tumeona sura halisi ya huyu jamaa, mtu kwa shutuma, mtu wa purukushani asiye na fadhila hata kidogo.
Hafai kuongoza CDM kabisa.

Wajumbe tuondoleeni hii kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…